CSS

picha
CSS - SOMO LA 8: UPAMBAJI WA MAANDISHI (TEXT STYLING)

Katika somo hili, utajifunza mbinu mbalimbali za kubadilisha muonekano wa maandishi kwa kutumia CSS, kama vile kupamba maandishi kwa mistari, kivuli, nafasi kati ya herufi, na mpangilio wa maneno.
picha
CSS - SOMO LA 7: KUTUMIA FONTI (FONTS) KWENYE CSS

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kudhibiti mwonekano wa maandishi kwa kutumia fonti kwenye CSS. Utajifunza jinsi ya kubadilisha aina ya fonti, ukubwa, mtindo, unene, na mpangilio wa maandishi ili yaweze kuonekana kwa mvuto na usomaji bora.
picha
CSS - SOMO LA 6: KUWEKA BACKGROUND KWENYE HTML KWA KUTUMIA CSS

Katika somo hili, utajifunza jinsi ya kudhibiti muonekano wa sehemu ya nyuma (background) ya HTML element kwa kutumia CSS. Utaweza kuongeza rangi, picha, kuweka picha zisirudiwarudiwe, na hata kusogeza picha kwenye maeneo tofauti ya ukurasa.
picha
CSS - SOMO LA 5: NJIA TANO ZINAZOTUMIKA KUWEKA RANGI KWENYE CSS

Katika somo hili utajifunza aina tano za kuweka rangi kw akutumia css
picha
CSS - SOMO LA 4: AINA ZA CSS SELECTO

Katika somo hili uatkwenda kujifunza aina za css selectors
picha
CSS - SOMO LA 3: SYNTAX ZA CSS YAANI SHERIA ZA UANDISHI WA CSS

Katika somo hili utakwenda kujifunza sheria za uandish wa css yaani syntax za css
picha
CSS - SOMO LA 2: JINSI YA KU WEKA CODE ZA CSS KWENYE HTML

katika somo hili utajifunza jinsi ya ku install css kwenye ukurasa wa html
picha
CSS - SOMO LA 1: MAANA YA CSS, KAZI ZAKE NA HISTORIA YAKE

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya CSS, pia nitakujulisha kazi zake. Mwisho utatambuwa historia ya CSS toka kuanzishwa.