picha

Uandishi wa hadithi wakati wa mtume (s.a.w)

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

  1. SUNNAH NA HADITH 

     6.1 Uandishi wa Hadith za Mtume (s.a.w).

I. Uandishi wa Hadith wakati wa Mtume (s.a.w).

          -    Hapakuwa na uandishi mkubwa wa Hadith wakati wa Mtume (s.a.w) kwa sababu zifuatazo;

  1. Mtume (s.a.w) mwenyewe alikuwepo, hivyo walimfuata kupata maelekezo yake na kuiga mwenendo wake.

 

  1. Kipindi hicho maswahaba walijishughulisha sana na uandishi, uifadhi na utekelezaji wa mafundisho wa Qur’an katika maisha yao yote.

 

  1. Mwanzo, Mtume (s.a.w) aliwakataza maswahaba wake kuandika Hadith ili wasijekuchanganya na aya za Qur’an.

- Lakini hata alipowaruhusu hawakujishughulisha kuandika Hadith tena,  

   kwani walizoea kutoandika.

 

  1. Kipindi hicho, Mtume (s.a.w) na maswahaba walijishughulisha zaidi katika kuusimamisha Uislamu na kuuhami na maadui.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/01/07/Friday - 11:52:18 pm Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 4058

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 ai web app   

Post zinazofanana:

Uandishi wa hadithi wakati wa tabii tabiina

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Majina ya vijana wa pangoni

Makala hii inakwenda kukutajia majina ya vijana saba wa pangoni

Soma Zaidi...
Zingatio:

Swala husimama kwa kuhifadhiwa na kuswaliwa kwa khushui na kudumu na swala katika maisha yote.

Soma Zaidi...
Uhakiki wa hadithi za mtume

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
(viii)Wenye khushui katika swala

Waumini wa kweli waliofuzu huwa na khushui (unyenyekevu) katika swala.

Soma Zaidi...
Maswali juu ya hadithi

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya)

Soma Zaidi...
Assalam Baada yakufariki wazazi wake mtume alilelewa nanani???

Mtume Muhammad s.a.w amezaliwa yatima asiyena baba. Lakini hii haikumfanya asipate maelezo bora yaliyo mazuri. Je unajuwa aliyemlea baada ya kufariki kwa mama yake?.

Soma Zaidi...