Uandishi wa hadithi wakati wa mtume (s.a.w)
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- SUNNAH NA HADITH
6.1 Uandishi wa Hadith za Mtume (s.a.w).
I. Uandishi wa Hadith wakati wa Mtume (s.a.w).
- Hapakuwa na uandishi mkubwa wa Hadith wakati wa Mtume (s.a.w) kwa sababu zifuatazo;
- Mtume (s.a.w) mwenyewe alikuwepo, hivyo walimfuata kupata maelekezo yake na kuiga mwenendo wake.
- Kipindi hicho maswahaba walijishughulisha sana na uandishi, uifadhi na utekelezaji wa mafundisho wa Qur’an katika maisha yao yote.
- Mwanzo, Mtume (s.a.w) aliwakataza maswahaba wake kuandika Hadith ili wasijekuchanganya na aya za Qur’an.
- Lakini hata alipowaruhusu hawakujishughulisha kuandika Hadith tena,
kwani walizoea kutoandika.
- Kipindi hicho, Mtume (s.a.w) na maswahaba walijishughulisha zaidi katika kuusimamisha Uislamu na kuuhami na maadui.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 Kitabu cha Afya π2 web hosting π3 ai web app π4 Simulizi za Hadithi Audio π5 Dua za Mitume na Manabii π6 Madrasa kiganjani
π1 Kitabu cha Afya π2 web hosting π3 ai web app π4 Simulizi za Hadithi Audio π5 Dua za Mitume na Manabii π6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
(viii)Wenye khushui katika swala
Waumini wa kweli waliofuzu huwa na khushui (unyenyekevu) katika swala.
Soma Zaidi...Fadhila za kujenga msikiti
Kuna malipo makubwa kwa ambaye amejenga msikiti kwa ajili ya kuoatavradhi za Allah.
Soma Zaidi...