Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Uchambuzi wa Hadith za Mtume (s.a.w).
aliyoyaridhia.
hadi kwa msimuliaji wa hadith hiyo.
Mfano wa Matin na Isnad ya Hadith;
Amesimulia Abdallah toka kwa Malik toka Abu Hurairah ambaye ameeleza kuwa Mtume wa Allah amesema, “Mlaji mwenye ………..ni sawa na …..” (Tirmidh).
Isnad, ni Wapokezi (wasimulizi) wa Hadith; Abdallah, Malik na Abu Hurairah.
Matin, ni Kauli ya Mtume (s.a.w); “Mlaji mwenye…..ni sawa na ….”.
Maneno yaliyo katika, “……….” ndio Matin ya Hadith.
Rawi (Rawahu): ni mkusanyaji, mwandishi, mpokezi wa Hadith.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Mnafiki ni yule anayeukubaliย Uislamu mdomoni (kwa kauli tu) lakini moyoni mwake na katika matendo yake anaukanusha.
Soma Zaidi...ุนููู ุฃูุจูู ุนูุจูุฏู ุงูุฑููุญูู ููู ุนูุจูุฏู ุงูููููู ุจููู ู ูุณูุนููุฏู ุฑูุถููู ุงูููู ุนููููู ููุงูู: ุญูุฏููุซูููุง ุฑูุณูููู ุงูููููู ุตูู ุงููู ุนููู ู ุณูู ...
Soma Zaidi...Wakati wa Wafuasi wa masahaba (Tabi'ina)101-200 A.
Soma Zaidi...Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...