picha

Uchambuzi wa hadithi za mtume

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Uchambuzi wa Hadith za Mtume (s.a.w).

                aliyoyaridhia. 

                  hadi kwa msimuliaji wa hadith hiyo. 

 

Mfano wa Matin na Isnad ya Hadith;

Amesimulia Abdallah toka kwa Malik toka Abu Hurairah ambaye ameeleza kuwa Mtume wa Allah amesema, “Mlaji mwenye ………..ni sawa na …..” (Tirmidh).

 

Isnad, ni Wapokezi (wasimulizi) wa Hadith; Abdallah, Malik na Abu Hurairah.

Matin,  ni Kauli ya Mtume (s.a.w); “Mlaji mwenye…..ni sawa na ….”. 

          Maneno yaliyo katika, “……….” ndio Matin ya Hadith. 

 

                  Rawi (Rawahu): ni mkusanyaji, mwandishi, mpokezi wa Hadith.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/01/08/Saturday - 12:24:04 am Topic: Jifunze Main: Dini File: Download PDF Views 3602

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Zingatio:

Swala husimama kwa kuhifadhiwa na kuswaliwa kwa khushui na kudumu na swala katika maisha yote.

Soma Zaidi...
(xvi)Huepuka ugomvi na mabishano

Waumini wa kweli huepuka kabisa tabia ya ugomvi na mabishano.

Soma Zaidi...
MAADILI MEMA KATIKA UISLAMU

Yajuwe maadili mema yaliyotajwa katika quran

Soma Zaidi...
HISTORIA YA UANDISHI WA HADITHI

Historia fupi ya uandishi wa Hadith za Mtume (s.

Soma Zaidi...
Uandishi wa hadithi wakati wa tabiina (wafuasi wa maswahaba)

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...