UHAKIKI WA HADITHI ZA MTUME


image


Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)


  • Uhakiki wa Hadith za Mtume (s.a.w).

-    Hadith za Mtume (s.a.w) zilihakikiwa kupitia njia mbili kuu;

  1.  Uhakiki wa Isnad.

-  Ulizingatia na kuchambua msururu wa wapokezi (wasimulizi) wa Hadith  

   kwa kuangalia historia yake, ucha-Mungu wake, tabia yake, n.k.

  1. Uhakiki wa Matin.

-  Ulizingatia usahihi wa Hadith kupitia masharti na vigezo vifuatavyo;

  1. Isipingane na aya za Qur’an.
  2. Isipingane na Hadith nyingine iliyothibitika kuwa ni sahihi.
  3. Isimzulie Mtume (s.a.w) kufanya jambo ambalo ni kinyume na Uislamu.
  4. Isipingane na hakika au uhalisia (fact).
  5. Isipingane na hakika au uhalisia wa kihistoria (historical fact).
  6. Isiwe na maneno ya uwongo ndani yake.
  7. Isiwe inaahidi adhabu kubwa sana kwa kosa dogo sana na kuahidi malipo makubwa sana kwa tendo (amali) dogo sana.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    2 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    3 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    4 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    5 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    6 Hadiythi za alif lela u lela    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Aina za hadithi
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Mafunzo yatokanayo na maandalizi ya mtume ki-wahay
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Uandishi wa hadithi wakati wa tabii tabiina
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Tofauti kati ya hijjah na umrah
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Lengo la hijjah na matendo ya ibada ya hijjah na mafunzo yatokanayo
Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Nguzo za swala.
Kipengele hiki kinaelezea nguzo mbalimbali za kuswali. Soma Zaidi...

image Mafunzo kutokana na vita vya badri
Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Kuamini vitabu vya mwenyezi Mungu (s.w)..
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Tofauti kati ya Quran na vitabu vingine vya mwenyezi Mungu
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu
Faradhi kwa maiti ya muislamu (edk form 2:dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...