Post hii inahusu zaidi Ute ambao umo kwenye uke, Ute huu utofautiana kulingana na hali ya mama aliyonayo, kama mama ana mimba uke utakuwa tofauti na yule ambaye hana mimba au kama Ute una una magonjwa na hivyo utakuwa tofauti.
1. Kama tulivyoona hapo juu kwamba Ute utofautiana kulingana na hali ya mama au na kuwepo kwa magonjwa mwilini kwa Mama na pia kuna kipindi Ute uongezeka na kuna kipindi Ute upungua kabisa na pengine uke inakosa kabisaa mpaka madawa yanatumika kupata uke.
2. Kwa hiyo Ute kwenye uke huwa na kazi tofautitofauti kwa mfano kurahisisha uje wakati wa kujamiiana na kuruhusu mbegu kupita wakati wa kujamiiana kwa hiyo kwa akina mama ambao bado wanaendelea kupata watoto ni vizuri kabisa kuhakikisha kubwa wanakuwa na Ute wa kutosha kwenye uke kwa kutumia dawa mbalimbali za kuweza kupata Ute hasa pale ukipungua.
3. Ukosefu wa Ute kwenye uke usababisha maumivu makali wakati wa kujamiiana na pia michubuko wakati wa kujamiiana kwa sababu uume unapopita upita kwa shida na kusababisha kukwaruza sehemu za uke,
4. Pia ukosefu wa Ute usababisha kuwepo kwa magonjwa ya kuambukiza yanayotokea kwa njia ya kujamiiana kama vile upungufu wa kinga mwilini pamoja na magonjwa mengine kama hayo kwa sababu wakati wa kujamiiana kwa sababu ya kuwepo kwa michubuko virusi vinaweza kutoka kwa mwathirika kwenda kwa mwingine asiye mwathirika kwa hiyo Ute una faida zake.
5. Pia wanaume wanapaswa kuwaandaa wanawake wao kabla ya kujamiiana ili kuweza kuwepo kwa Ute maana maandalizi mazuri usababisha Ute kuwepo wa kutosha kwa hiyo ni vizuri kutafuta njia nzuri za kuandamana ili kuweza kuepuka matatizo ya kuwepo kwa magonjwa na michubuko wakati wa kujamiiana.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa uzazi wa mpango kwa watoto, sio akina Mama peke yao wanaofaidika na uzazi wa mpango vile vile na watoto wanafaidika na uzazi wa mpango kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii hasa inahusu kasoro ,utatuzi,na jinsi ya kutunga mimba kwa upande wa mwanamke na mwanaumeΒ .itatupelekea jinsi ya kuangalia kasoro na jinsi ya kutatua hizo kasoro katika jamii zetu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo tunapaswa kujua au kufahamu kuhusu mbegu za kiume, kwa kuwa mbegu za kiume usaidia katika utungaji wa mimba kwa hiyo ni vizuri kabisa kuzitunza Ili kuweza kuepuka matatizo mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa s
Soma Zaidi...Tunaposema uzazi wa mpango, tunamaanisha ile hali ya kuachanisha muda kutoka mtoto hadi mwingine. Inatakiwa angalau mtoto na mtoto wapishane miaka miwili. Uzazi wa mpango ni maamuzi kati ya mama na baba.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kumpeleka mtoto kliniki, kliniki nisehemu ambayo mtoto hupelekwa Ili kujua maendeleo ya mtoto akiwa chini ya umri wa miaka mitano
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea kwa sababu ya kuziba kwa mishipa ya uzazi, ni baadhi ya dalili ambazo ujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa tatizo la kuziba kwa mishipa ya uzazi.
Soma Zaidi...