Posti hii inahusu zaidi Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini, ni Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini ambao usababisha madhara kama ifuatavyo.
Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini.
1.Upungufu wa madini ya Shaba mwilini usababisha kupungua kwa kiwango kikubwa Cha damu mwilini, tunajua kuwa madini ya Shaba usaidia kutengeneza chembechembe za damu kwa hiyo upungufu wa madini ya Shaba ufanya damu kupungua mwilini.
2.Upungufu wa madini ya Shaba mwilini usababisha kupungua kwa nguvu ya mifupa kwenye mwili,kwa sababu tunajua kuwa kazi ya madini ya Shaba mwilini ni kuimarisha mifupa,kwa hiyo Ukosefu wa madini ya Shaba usababisha mifupa kulegea na maumivu ya mgongo na kiuno uongezeka.
3.Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini usababisha kupungua kwa kinga mwilini, kwa maana pasipokuwa na madini ya Shaba mwilini kunakuwepo na Maambukizi mbalimbali kwenye mwili kwa sababu kinga ya mwili upungua.
4.Upungufu wa Madini ya Shaba mwilini usababisha matatizo mbalimbali kwenye ubongo, moyo na nerve kwa sababu madini ya Shaba ya nakuwepo kwa kiwango kikubwa kwenye moyo, nerve na ubongo, tunajua kazi kubwa za hizi ogani ni kubwa mno.
5.Upungufu wa Madini ya Shaba usababisha maambukizi kwenye ngozi maana ulinzi wa maambukizi kwenye ngozi utegemea na madini ya Shaba,
Kwa hiyo madini ya Shaba mwilini yanapaswa kuwa sawia Ili kuleta ufanisi mkubwa katika shughuli mbalimbali za mwili.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia
Soma Zaidi...Makala hii iatakuletea aina kuu tano za vywkula vyenye protini nyingi zaidi. Kama ulikuwa unajiuliza kuwa ni vyakula ipi hasa vinaweza kukupatia protini kwa wingi ni vipi, makala hii ndio majibu yako kwa swali hilo.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za upungufu wa iodini ambapo kitaalamu hujulikana Kama goiter. Goiter Ni Sababu ya kawaida ya goiter duniani kote ni ukosefu wa iodini katika chakula. Nchini Marekani, ambako utumiaji wa chumvi yenye iodini ni j
Soma Zaidi...Hii ni orodha ya matunda yenye vitamini C kwa wingi sana ikiwemo machungwa, mapera na mapapai
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za mchai chai, ni mmea ambao upandwa na watu kama maua, dawa au kikolezo cha chai na Kuna wengine kabisa wanatumia kama sehemu Mojawapo ya dawa kwa hiyo tutaona faida za mmea huu wa mchai chai.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula ambavyo vinaweza kupunguza presha ya kupanda
Soma Zaidi...Tufaha ni katika matunda adimu na matamu, je unazijuwa faida zake kkiafya?
Soma Zaidi...