Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Funga ya mwezi wa Ramadhani ni nguzo ya nne katika Uislamu.
- Kufunga mwezi wa Ramadhani ni utambulisho wa Uislamu wa mtu.
- Kufunga mwezi wa Ramadhani ni amri ya Mwenyezi Mungu (s.w).
Rejea Qur’an (2:183).
- Kufunga mwezi wa Ramadhani ni utambulisho wa Ucha-Mungu wa mtu.
- Kutofunga mwezi wa Ramadhani makusudi hupelekea kukosa msamaha.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa!
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii inakwenda kukufundisha mambo ambayo hubatilisha udhu yaani mam,boa mbayo yanaharibu udhu.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha kuhusu swala ya kupatwa yaani kupatwa kwa juwa na kupatwa kwa mwezi swalat kusuf na swalat khusuf
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha taratibu zinazofanyika katika kuzuru kaburi la muislamu.
Soma Zaidi...Haya ni mamno muhimu yanayozingatiwa kabla ya kuanza zoezi la kugawa mirathi ya marehemu.
Soma Zaidi...