image

Umuhimu wa kutumia maembe kiafya.

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maembe kiafya, tunajua wazi kuwa maembe ni tunda ambalo lina umuhimu kwenye afya na uwa na vitamini C kwa hiyo tunapaswa kujua faida zake kama ifuatavyo.

Umuhimu wa kutumia maembe kiafya.

1. Maembe ubolesha metabolic.

Kwa kawaida tunajua aina zote za vyakula ufanya kazi mwilini kwa njia mbalimbali kwa hiyo embe usaidia ufanya kazi wa vyakula mwilini kufanya kazi yake kwa usahihi.

 

2. Pia maembe ubolesha afya ya macho.

Tunajua kuwa macho yanahitaji kiasi kikubwa cha vitamini C kwa hiyo kwa kupitia maembe tunaweza kupata vitamini ambavyo usaidia kwenye macho.

 

3.Maembe uzuia kuongezeka kwa saratani.

Kama tunavyojua kuwa saratani ni kuzalishwa kwa seli zisizokuwa za kawaida kwa hiyo embe usaidia kupunguza kiwango cha seli zisizokuwa za kawaida kupungua kuzalishwa.

 

4. Maembe ukabiliana na sukari hasa sukari ya sehemu ya pili.kwa kawaida sukari aina ya pili utokea pale seli zinazalishwa lakini mwili hauko tayari kupokea seli hizo ila kwa matumizi ya embe tatizo linaweza kupungua kwa kiwango maalumu.

 

5. Embe uongeza alkaline mwilini.

Tunajua wazi kuwa kiasi cha alkaline kikiongezeka usababisha kupungua kwa asidi mwilini ambayo uleta madhara kwenye mwili wa binadamu.

 

6. Pia embe utumika kama vipodozi kwa baadhi ya watu. Kuna watu ambao utengeneza vipodozi mbalimbali kwa kutumia embe na wakapata fedha.

 

7. Pia embe usaidia kwenye watu wenye matatizo ya moyo. Hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha potassium ambacho ukabiliana na sodium ambayo ikiwa nyingi kwenye moyo inaweza kuleta madhara.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1715


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Vyakula vya vitamin B
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin B Soma Zaidi...

Faida za tangawizi
Somo Hili linakwenda kukuletea faida za tangawizi Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula maboga
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kunywa maziwa
Soma Zaidi...

Faida za mchai chai
Posti hii inahusu zaidi faida za mchai chai, ni mmea ambao upandwa na watu kama maua, dawa au kikolezo cha chai na Kuna wengine kabisa wanatumia kama sehemu Mojawapo ya dawa kwa hiyo tutaona faida za mmea huu wa mchai chai. Soma Zaidi...

Zijue Faida ya kula tunda la tango.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini. Soma Zaidi...

FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA BAMIA (OKRA)
Makala hii inakwenda kukuonyesha faida za kula bamia kwa afya afya Soma Zaidi...

Faida za kunywa maji kabla ya kula chochote.
Posti hii inahusu faida za kunywa maji kabla hujula kitu chochote,tunajua kabisa kabla ujala au kunywa chochote sumu nyingi mwilini zinakuwa hazijachanganyikana na chochote kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kuna faida kubwa nyingi za kunywa maji kama ifuatavy Soma Zaidi...

Vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo, na vyakula salama kwa vidonda vya tumbo
Makala hii inakwenda kufundisha vyakuna na vinjwaji salama anavyopaswa kutumia mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Pia utajifunza vyakula na vinywaji hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Bamia
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Nyanya
Soma Zaidi...

Tangawizi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi Soma Zaidi...