Uzazi wa mpango ni njia inayotumiwa na WA awake na wasichana Ili kupata idadi ya watoto wanaowahitaji na kuepuka mimba zisizotarajiwa.
Umuhimu wa uzazi wa mpango
1. Kupata idadi ya watoto unaohitaji
2. Kuepuka mimba zisizotarajiwa
3. Kuepusha vifo vya mama na mtoto
4. Kuongeza upendo kwa watoto
5. Kumsaidia mama kupata mda wa kushiriki kwenye kazi za jamii
Njia za mbalimbali za uzazi wa mpango
1. Kutumia vidonge
2. Kutumia sindano
3. Kutumia kondomu
4. Kukata milija ya uzazi
5. Kuangalia Ute
6. Kutumia kalenda.
Nani anapaswa kutumia njia hizi
1. Wanawake wote wanapenda
2. Wasichana wanaoendelea na masomo
3. Na wote wenye elimu juu ya njia hizi
Nani hapaswa kutumia njia hizi
1 wanawake wenye mimba
2. Wanye alegi juu ya njia hizi
3. Wale wasio na elimu juu ya njia hizi
4,. Wenye maginjwa ya Kansa
Kwa ujumla njia za uzazi wa mpango ni nzuri maana husaidia kupunguza vifo vya mama na wato,.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Kunyonyesha ni moja katika njia za asili za kuzuia upatikanaji wa miba nyingine. Hata hivyo hii haimaanishi kuwa huwezi kupata mimba ukiwa unavyonyesha.
Soma Zaidi...Dalili za mwanzo za ujauzito zinaweza kuwa ni changamoto kwamwanamke hasa ikiwa ndio mimba yake ya kwanza. Maumivu ya tumbo, kujaa kwa tumbo gesi, kukosa choo ama hamu ya kula na kadhalika huweza pia kuambatana na ujauzito.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kushindwa kuzalishwa mayai kwa mwanamke, ni tatizo ambalo utokea kwa mwanamke ambapo mwanamke anashindwa kuzalisha mayai.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi, ni faida wanazozipata waathirika wa ugonjwa wa Ukimwi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama anaenyonyesha
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa Mama mjamzito, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa Mama mjamzito, hizi Dalili zisipofanyiwa kazi mapema zinaweza kuleta shida kwa Mama kwa hiyo jamii nzima inapaswa kujua Dalili hizi na kuchukua hatua endapo zitajio
Soma Zaidi...