Upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo.

Post hii inahusu zaidi upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo dalili zake na namna ya kumsaidia mgonjwa mwenye tatizo hilo.

Upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo na dalili zake na jinsi ya kuzuia.

1. Upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo, utokea sana kwa watu wanaoishi sehemu za ziwani au kwenye majimaji mbalimbali na mnyoo huyo kwa kitaalamu huitwa Necatir Americans na Aina hii ya upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo huitwa Hookworms Anemea.

Dalili za mgonjwa wa Anemia inayosababishwa na minyoo.

-ukifunua kwenye jicho utakuta Kuna weupe na kiasi kidogo Cha damu kinachoonekana na kama damu Iko kidogo jicho uonekana jeupe kabisa na pia kwenye mikono huwa nyeupe kuliko kawaida na hivyo hivyo kwenye ulimi hali ya ulimi uwa nyeupe kuliko kawaida na midomoni hasa kwenye lips napi pia uwa peupe.

 

2. Mgonjwa wa kupungukiwa damu usikia uchovu, hii ni kwa sababu damu ndiyo inayohusika na kusafisha chakula pamoja na hewa ya oksijeni kwa hiyo vitu hivyo vikikosa mwilini na kuwepo kwa kiwango kidogo lazima mwili utakosa chakula na hewa itakuwa ndogo kwa hiyo mtu ataanza kusikia uchovu mara kwa mara na kushindwa kufanya kazi zake za kila siku hatimaye kama damu haitaongezewa haraka anaweza kuzimia .

 

3.Dalili za moyo kushindwa kufanya kazi ujitokeza.

Hii ni pamoja na mapigo ya moyo kubadilika yanaweza kwenda mbio kwa Sababu ya kutumia nguvu kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili kuliko kawaida kwa sababu damu haifiki sehemu zote na siyo ya kutosha kwa hiyo moyo utumia nguvu Ili kusfilisha damu kila mahali hali ambayo usababisha mishipa ya damu kupasuka na kusababisha madhara makubwa.

 

4. Kiasi Cha madini ya chuma kupungua.

Kama mtu ana upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo kiasi Cha madini ya chuma upungua kwa kiasi kikubwa kwenye damu hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa minyoo kwenye mwili ambao usababisha kupungua kwa madini ya chuma.

 

5. Kupumua kwa shida.

Kupumua kwa shida utokea kwa sababu ya kutokuwepo kwa hewa ya kutosha kwenye damu, tukumbuke kuwa kazi ya damu ni kubeba hewa kutoka kwenye mapafu kwenda sehemu mbalimbali za mwili na kwa sababu ya maambukizi hewa haitoshi kwa hiyo lazima mgonjwa atapumua kwa shida kwa sababu ya kutokuwepo kwa hewa ya kutosha kwenye mwili.

 

6.Mapigo ya moyo upungua.

Kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye mwili na idadi ya damu kwenye mwili ni kidogo na mapigo ya moyo upungua kwa sababu ya kupungua kwa kiwango Cha damu mwilini.

 

Angalisho:tunajua kuwa damu ni muhimu mwilini na ikipungua ni hatari sana kwenye mwili kwa hiyo tuwe makini ikiwa damu itapungua kuliko kawaida na tule vyakula vya kuongeza damu na pia tutumie sana dawa za kuua minyoo inayosababishwa upungufu wa damu.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2021/12/11/Saturday - 12:28:31 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1328

Post zifazofanana:-

Mafunzo ya HTML Level 2 somo la 4 (HTML FULL COURSE FOR BEGINNERS LESSON 4)
Karibu tena katika somo la nne la mafunzo ya HTML level2 html full course for beginners. Katika somo hili utajifunza kuhusu attributes na namna zinavyofanya kazi Soma Zaidi...

Vyakula vya kusaidia katika matibabu ya kiungulia
PoPosti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo unaweza kutumia iwapo umepata tatizo la kiungulia Soma Zaidi...

Mafunzo ya HTML level 1 somo la 6 (HTML basic level FOR BEGINNERS)
hili ni somo la sita katika mfululizo wa mafunzo ya HTML level 1. Katika somo hili tutajifunza mambo makuu matatu ambayo ni kuweka menyu, kuweka background color na kufanya faili lako liwe responsive. Soma Zaidi...

Namna ya kuongeza na mjamzito ili kupata taarifa zake na kutoa msaada
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kugundua tatizo lake na kutoa msaada pale penye uhitaji. Soma Zaidi...

Maumivu ya mgongo.
Post yetu Leo inaenda kuzungumzia Maumivu ya nyuma ni malalamiko ya kawaida. Kwa upande mkali, unaweza kuchukua hatua za kuzuia au kupunguza matukio mengi ya maumivu ya mgongo. Ikiwa kinga itashindikana, matibabu rahisi ya nyumbani na mbinu sahihi za m Soma Zaidi...

Namna ya kujikinga na kifua kikuu
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia au kujikinga na kifua kikuu, hizi ni njia ambazo utumika ili kujikinga na kifua kikuu Soma Zaidi...

Kukusanywa na kuhifadhiwa kwa quran
Quran (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Dalili na ishara za jeraha kwenye ngozi
Posti hii inaonyesha dalili,sababu na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa aliyepata jeraha kwenye ngozi kwa kuingiliwa na kitu Kama mwiba,Pini,sindano n.k Soma Zaidi...

Sababu za kutokea kwa saratani ya matiti
Saratani ya matiti ji moja kati ya saratani zinazosumbuwa wqnawake wengi. Katika somo hili utajifunza chanzo cha kutokea saratani ya matiti Soma Zaidi...

Sababu za Mayai kushindwa kuzalishwa kwa mwanamke
Posti hii inahusu zaidi sababu za kushindwa kuzalishwa mayai kwa mwanamke, ni tatizo ambalo utokea kwa mwanamke ambapo mwanamke anashindwa kuzalisha mayai. Soma Zaidi...

Sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi
Kiufipi posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi Soma Zaidi...

Dalili za ukimwi za kwenye ulimi na mdomo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za ukimwi za kwenye ulimi na mdomo Soma Zaidi...