UPUNGUFU WA DAMU UNAOSABABISHWA NA MINYOO.


image


Post hii inahusu zaidi upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo dalili zake na namna ya kumsaidia mgonjwa mwenye tatizo hilo.


Upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo na dalili zake na jinsi ya kuzuia.

1. Upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo, utokea sana kwa watu wanaoishi sehemu za ziwani au kwenye majimaji mbalimbali na mnyoo huyo kwa kitaalamu huitwa Necatir Americans na Aina hii ya upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo huitwa Hookworms Anemea.

Dalili za mgonjwa wa Anemia inayosababishwa na minyoo.

-ukifunua kwenye jicho utakuta Kuna weupe na kiasi kidogo Cha damu kinachoonekana na kama damu Iko kidogo jicho uonekana jeupe kabisa na pia kwenye mikono huwa nyeupe kuliko kawaida na hivyo hivyo kwenye ulimi hali ya ulimi uwa nyeupe kuliko kawaida na midomoni hasa kwenye lips napi pia uwa peupe.

 

2. Mgonjwa wa kupungukiwa damu usikia uchovu, hii ni kwa sababu damu ndiyo inayohusika na kusafisha chakula pamoja na hewa ya oksijeni kwa hiyo vitu hivyo vikikosa mwilini na kuwepo kwa kiwango kidogo lazima mwili utakosa chakula na hewa itakuwa ndogo kwa hiyo mtu ataanza kusikia uchovu mara kwa mara na kushindwa kufanya kazi zake za kila siku hatimaye kama damu haitaongezewa haraka anaweza kuzimia .

 

3.Dalili za moyo kushindwa kufanya kazi ujitokeza.

Hii ni pamoja na mapigo ya moyo kubadilika yanaweza kwenda mbio kwa Sababu ya kutumia nguvu kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili kuliko kawaida kwa sababu damu haifiki sehemu zote na siyo ya kutosha kwa hiyo moyo utumia nguvu Ili kusfilisha damu kila mahali hali ambayo usababisha mishipa ya damu kupasuka na kusababisha madhara makubwa.

 

4. Kiasi Cha madini ya chuma kupungua.

Kama mtu ana upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo kiasi Cha madini ya chuma upungua kwa kiasi kikubwa kwenye damu hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa minyoo kwenye mwili ambao usababisha kupungua kwa madini ya chuma.

 

5. Kupumua kwa shida.

Kupumua kwa shida utokea kwa sababu ya kutokuwepo kwa hewa ya kutosha kwenye damu, tukumbuke kuwa kazi ya damu ni kubeba hewa kutoka kwenye mapafu kwenda sehemu mbalimbali za mwili na kwa sababu ya maambukizi hewa haitoshi kwa hiyo lazima mgonjwa atapumua kwa shida kwa sababu ya kutokuwepo kwa hewa ya kutosha kwenye mwili.

 

6.Mapigo ya moyo upungua.

Kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye mwili na idadi ya damu kwenye mwili ni kidogo na mapigo ya moyo upungua kwa sababu ya kupungua kwa kiwango Cha damu mwilini.

 

Angalisho:tunajua kuwa damu ni muhimu mwilini na ikipungua ni hatari sana kwenye mwili kwa hiyo tuwe makini ikiwa damu itapungua kuliko kawaida na tule vyakula vya kuongeza damu na pia tutumie sana dawa za kuua minyoo inayosababishwa upungufu wa damu.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    2 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    3 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    4 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    5 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    6 Magonjwa na afya    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Njia za kutibu saratani
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za matibabu ya ugonjwa wa saratani,ni ugonjwa ambao unaweza kupona ikiwa umegundulika mapema katika hatua za mwanzo na kama ugonjwa huu umefikia hatua za mwisho Tiba yake huwa ni kupunguza makali ya ugonjwa. Soma Zaidi...

image Njia za kuangalia sehemu yenye maumivu
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuangalia sehemu yenye maumivu, hili kugundua mahali mtu anaumia ushirikiano mkubwa unahitajika kati ya mgonjwa na mhudumu. Soma Zaidi...

image Kucha langu LA mguu linang'ooka...nini chaweza kuwa tatizo
Je na wewe unasumbukiwa na kunggoka jwa kucha. Tatizo limekunaza una muda gani nalo? Soma Zaidi...

image Zifahamu sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi.
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi ambayo kwa kitaalamu huitwa follapian tube, ni sababu ambazo ufanya mirija ya follapian tube kuziba. Soma Zaidi...

image Sababu za kumsafisha mgonjwa kinywa
Posti hii inahusu zaidi sababu za kumsafisha mgonjwa kinywa, Mgonjwa akiwa anaumwa na pia anakula chakula ni lazima asafishwe kinywa Ili kuweza kuepuka madhara mengine yanayoweza kujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu kinywani. Soma Zaidi...

image Kwanini mdomo unakuwa mchungu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu Soma Zaidi...

image Njia za kujilinda dhidi ya mapunye
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda dhidi ya mapunye Soma Zaidi...

image Mabadiliko kwa wavulana wakati wa kubarehe
Post hii inahusu zaidi mabadiliko kwa wavulana wakati wa kubarehe, ni kipindi ambacho ni kutoka utotoni kwendea ujana. Soma Zaidi...

image Dalili za presha ya kushuka
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za presha ya kushuka Soma Zaidi...

image Jifunze kuhusu msukumo wa damu kwa kitaalamu huitwa pressure
Kupanda kwa msukumo wa damu ni ktendo ambapo moyo husukuma damu kwa nguvu kuliko kawaida ambapo hupelekea matatizo mengi kwenye mwili Soma Zaidi...