picha

Upungufu wa homoni ya estrogen

Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni ya estrogen na dalili zake, aina hii ya homoni ikipungua mwilini uleta madhara na matatizo mbalimbali kwenye mwili.

Upungufu wa homoni ya estrogen na dalili zake.

1.aina hii ya mvurugiko wa homoni upo kwa wingi kwa wanawake wale waliofikia ukomo wa kujifungua hasa hasa kuanzia miaka thelathini na tano na kuendelea na hasa hasa wale waliofikia ukomo wa hedhi ambapo kwa kitaalamu huitwa menopause, kwa upande wa kimo wanawake wembamba uathiriwa zaidi kuliko wanawake wanene, zifuatazo ni dalili za mvurugiko wa homoni ya estrogen.

 

 

2. Kuwepo kwa ukavu ukeni.

Hii ni dalili Mojawapo inayowapata sana akina Mama wenye mvurugiko au upungufu wa homoni ya estrogen, kwenye uke kunakuwepo ukavu na hali hii usababisha maumivu au kutopelekea kufurahia kwa tendo la ndoa na sababu ya kukosa Ute Ute usababisha mikwaruzo kwenye uke.

 

 

3. Maumivu makali wakati wa kushiriki tendo la ndoa.

Kwa kawaida Ili mwanaume aweze kushiriki na kufurahia tendo la ndoa ni lazima maandalizi yawepo Ili kuweza kuwepo kwa Ute ambao usababisha uboo kupita kwa hiyo kama Ute haupo lazima mama atapata maumivu wakati wa kushiriki tendo la ndoa.

 

4. Kuwepo kwa homa za vipindi vipindi.

Kwa sababu ya kuwepo kwa upungufu au mvurugiko wa homoni ya estrogen na mwili nao pia uvurugika ambapo homa za vipindi utokea mara kwa mara hali ambayo usababisha mwili kutokuwa kwenye hali yake ya kawaida.

 

5. Kuvuja jasho wakati wa usiku.

Kwa sababu ya kuwepo kwa homa za vipindi usababisha Mama kuwa na jasho wakati wa usiku, hata kama Kuna baridi kiasi gani yeye mhusika uhisi joto wakati wa usiku.

 

6. Matatizo ya kupoteza kumbukumbu uweza kutokea.

Kwa sababu ya maumivu au mwli kupungukiwa kwa homoni muhimu ya estrogen uendana na tatizo la kupoteza kumbukumbu kwa hiyo utawakuta akina Mama wengi wenye umri wa kuingia menopause Wana shida ya kusahau sana hii ni kwa sababu ya kupoteza homoni ya estrogen.

 

7. Kujisikia mvivu na mzito hasa  wakati wa kufanya kazi.

Kwa kawaida katika hali ya kupoteza homoni hii mama ujihisi ana uchovu wa mara kwa mara na mara nyingine uhisi mchovu wa mara kwa mara

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 4494

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 ai web app     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Samahani nauliza mjamzito akiwa na presha140/90 Kuna madhara?

Presha ya kupanda hypertension huweza kuzumbuwa watu kwa jinsia zote, na umri wote. Wajawazito pia wamekuwa wakisumbuliwa na presha hii mara kwa mara.

Soma Zaidi...
dalili za mimba changa na siku ya kupata mimba

Jifunze namna ya kuthibitisha dalili za ujauzito kuwa ni za kweli. Tambuwa namna ya kupima mimba na muda mujarabu wa kupima

Soma Zaidi...
Saratani zinazowasumbua watoto.

Posti hii inahusu zaidi saratani zinazowashambulia watoto. Hizi ni aina mbalimbali za saratani ambazo upenda kuwasumbua watoto ambao ni chini ya umri wa miaka mitano na uleta madhara katika kipindi cha makuzi yao.

Soma Zaidi...
Imani potofu kuhusu uzazi wa mpango

Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu uzazi wa mpango, ni imani walizonazo Watu kuhusu matumizi ya uzazi wa mpango.

Soma Zaidi...
Mambo ya kuzingatia kwa mtoto mara tu anapozaliwa

Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia kwa mtoto pindi anapozaliwa,tunajua wazi kuwa mtoto anapoanza kutokeza kichwa tu ndio mwanzo wa kuanza kumtunza mtoto na kuhakikisha anafanyiwa huduma zote za muhimu na zinazohitajika.

Soma Zaidi...
Kondomu za kike

Posti hii inaonyesha Faida na hasara za Kondomu za kike

Soma Zaidi...