picha

Upungufu wa homoni ya estrogen

Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni ya estrogen na dalili zake, aina hii ya homoni ikipungua mwilini uleta madhara na matatizo mbalimbali kwenye mwili.

Upungufu wa homoni ya estrogen na dalili zake.

1.aina hii ya mvurugiko wa homoni upo kwa wingi kwa wanawake wale waliofikia ukomo wa kujifungua hasa hasa kuanzia miaka thelathini na tano na kuendelea na hasa hasa wale waliofikia ukomo wa hedhi ambapo kwa kitaalamu huitwa menopause, kwa upande wa kimo wanawake wembamba uathiriwa zaidi kuliko wanawake wanene, zifuatazo ni dalili za mvurugiko wa homoni ya estrogen.

 

 

2. Kuwepo kwa ukavu ukeni.

Hii ni dalili Mojawapo inayowapata sana akina Mama wenye mvurugiko au upungufu wa homoni ya estrogen, kwenye uke kunakuwepo ukavu na hali hii usababisha maumivu au kutopelekea kufurahia kwa tendo la ndoa na sababu ya kukosa Ute Ute usababisha mikwaruzo kwenye uke.

 

 

3. Maumivu makali wakati wa kushiriki tendo la ndoa.

Kwa kawaida Ili mwanaume aweze kushiriki na kufurahia tendo la ndoa ni lazima maandalizi yawepo Ili kuweza kuwepo kwa Ute ambao usababisha uboo kupita kwa hiyo kama Ute haupo lazima mama atapata maumivu wakati wa kushiriki tendo la ndoa.

 

4. Kuwepo kwa homa za vipindi vipindi.

Kwa sababu ya kuwepo kwa upungufu au mvurugiko wa homoni ya estrogen na mwili nao pia uvurugika ambapo homa za vipindi utokea mara kwa mara hali ambayo usababisha mwili kutokuwa kwenye hali yake ya kawaida.

 

5. Kuvuja jasho wakati wa usiku.

Kwa sababu ya kuwepo kwa homa za vipindi usababisha Mama kuwa na jasho wakati wa usiku, hata kama Kuna baridi kiasi gani yeye mhusika uhisi joto wakati wa usiku.

 

6. Matatizo ya kupoteza kumbukumbu uweza kutokea.

Kwa sababu ya maumivu au mwli kupungukiwa kwa homoni muhimu ya estrogen uendana na tatizo la kupoteza kumbukumbu kwa hiyo utawakuta akina Mama wengi wenye umri wa kuingia menopause Wana shida ya kusahau sana hii ni kwa sababu ya kupoteza homoni ya estrogen.

 

7. Kujisikia mvivu na mzito hasa  wakati wa kufanya kazi.

Kwa kawaida katika hali ya kupoteza homoni hii mama ujihisi ana uchovu wa mara kwa mara na mara nyingine uhisi mchovu wa mara kwa mara

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 4517

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 ai web app     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Wanaopasawa kutumia PEP

PEP Ni dawa ambazo utumiwa na watu wanaojamiiana na watu wenye virus vya ukimwi ila wenyewe hawawezi kupata kwa sababu ya kutumia dawa hizo.

Soma Zaidi...
Dalili za ongezeko la homoni ya estrogen

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mtu anaweza kupata ikiwa homoni ya estrogen imeongezeka, hizi dalili zikitokea mama anapaswa kuwahi hospital ili kuweza kupata matibabu au ushauri zaidi.

Soma Zaidi...
Mimi naumwa na tumbo chini ya kitovu upande wa kulia, ninapotok kushiriki tendo la ndoa ndonapata maumivu zaid pia nawashwa sehemu za siri itakuwa shida ni nin?

Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa yanaweza kuwa ni dalili ya maradhi fulani, ama shida kwenye mfumo w uzazi. PID na UTI hutuhumiwa kuwa ni katika sababu hizo. Ila zipo nyingine nyingi tu. Kama ina hali hii vyema ukafika kituo cha afya

Soma Zaidi...
Yajue madhara ya kutoa mimba mara Kwa mara

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale wenye tabia ya kutoa mimba mara Kwa mara .

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuongeza hamu ya tendo la ndoa

Posti hii inahusu zaidi vyakula mbalimbali vya kuongeza tendo la ndoa, kwa kawaida kuna vyakula mbalimbali ambavyo watu ukitumia ili kuweza kuongeza tendo la ndoa vyakula hivyo ni kama tutakavyoona hapo baadaye

Soma Zaidi...
siku za kupata mimba

Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba na dalili za siku hizo.

Soma Zaidi...