picha

Upungufu wa homoni ya estrogen

Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni ya estrogen na dalili zake, aina hii ya homoni ikipungua mwilini uleta madhara na matatizo mbalimbali kwenye mwili.

Upungufu wa homoni ya estrogen na dalili zake.

1.aina hii ya mvurugiko wa homoni upo kwa wingi kwa wanawake wale waliofikia ukomo wa kujifungua hasa hasa kuanzia miaka thelathini na tano na kuendelea na hasa hasa wale waliofikia ukomo wa hedhi ambapo kwa kitaalamu huitwa menopause, kwa upande wa kimo wanawake wembamba uathiriwa zaidi kuliko wanawake wanene, zifuatazo ni dalili za mvurugiko wa homoni ya estrogen.

 

 

2. Kuwepo kwa ukavu ukeni.

Hii ni dalili Mojawapo inayowapata sana akina Mama wenye mvurugiko au upungufu wa homoni ya estrogen, kwenye uke kunakuwepo ukavu na hali hii usababisha maumivu au kutopelekea kufurahia kwa tendo la ndoa na sababu ya kukosa Ute Ute usababisha mikwaruzo kwenye uke.

 

 

3. Maumivu makali wakati wa kushiriki tendo la ndoa.

Kwa kawaida Ili mwanaume aweze kushiriki na kufurahia tendo la ndoa ni lazima maandalizi yawepo Ili kuweza kuwepo kwa Ute ambao usababisha uboo kupita kwa hiyo kama Ute haupo lazima mama atapata maumivu wakati wa kushiriki tendo la ndoa.

 

4. Kuwepo kwa homa za vipindi vipindi.

Kwa sababu ya kuwepo kwa upungufu au mvurugiko wa homoni ya estrogen na mwili nao pia uvurugika ambapo homa za vipindi utokea mara kwa mara hali ambayo usababisha mwili kutokuwa kwenye hali yake ya kawaida.

 

5. Kuvuja jasho wakati wa usiku.

Kwa sababu ya kuwepo kwa homa za vipindi usababisha Mama kuwa na jasho wakati wa usiku, hata kama Kuna baridi kiasi gani yeye mhusika uhisi joto wakati wa usiku.

 

6. Matatizo ya kupoteza kumbukumbu uweza kutokea.

Kwa sababu ya maumivu au mwli kupungukiwa kwa homoni muhimu ya estrogen uendana na tatizo la kupoteza kumbukumbu kwa hiyo utawakuta akina Mama wengi wenye umri wa kuingia menopause Wana shida ya kusahau sana hii ni kwa sababu ya kupoteza homoni ya estrogen.

 

7. Kujisikia mvivu na mzito hasa  wakati wa kufanya kazi.

Kwa kawaida katika hali ya kupoteza homoni hii mama ujihisi ana uchovu wa mara kwa mara na mara nyingine uhisi mchovu wa mara kwa mara

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 4243

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 web hosting    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Je kukosa hedhi kwa mwanmke anayenyonyesha ni dalili ya mimba

Kipimo cha mimba cha mkojo hakiwezi kyonyesha mimva changa sana. Hivyo kama ni mimba baada ya wikibpima tena itaweza kuonekana. Dalili hizobulizotaja pekee haziashirii mimba tu huwenda ni homoni zimebadilika kidogo, ama una uti.

Soma Zaidi...
Mimi naumwa na tumbo chini ya kitovu upande wa kulia, ninapotok kushiriki tendo la ndoa ndonapata maumivu zaid pia nawashwa sehemu za siri itakuwa shida ni nin?

Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa yanaweza kuwa ni dalili ya maradhi fulani, ama shida kwenye mfumo w uzazi. PID na UTI hutuhumiwa kuwa ni katika sababu hizo. Ila zipo nyingine nyingi tu. Kama ina hali hii vyema ukafika kituo cha afya

Soma Zaidi...
Mabadiliko ya via vya uzazi kwa Mama mjamzito.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye via vya uzazi kwa wajawazito, tunajua kuwa Mama akibeba mimba tu kuna mabadiliko utokea katika sehemu mbalimbali za mwili.

Soma Zaidi...
Fahamu siku za kubeba mimba na zisizo za kubeba mimba.

Posti hii inahusu zaidi siku za kubeba mimba na zisizo za kubeba mimba , tunapaswa kujua hivi Ili kuweza kupanga uzazi na kuepuka njia ambazo ni hatarishi kwa afya zetu.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya tetracycline katika kupambana na bakteria

Post hii inahusu zaidi dawa ya tetracycline katika kupambana na bakteria,ni mojawapo ya antibiotics au anti bacteria ambayo upambana na bakteria kama tutakavyoona hapo mbeleni.

Soma Zaidi...
je mwana mke ana weza kubeba mimba kama hayupo kwenye siku zake za hatali ama

Mimba haipatikani kila siku, na pia mimba huingia kwa siku moja na katika muda mmoja. Baada ya mimba kutungwa hakuna tena nafasi ya kutungwa mimba nyingine.

Soma Zaidi...
Dalili za mimba ya watoto mapacha

Makala hii itakwenda kukupa dalili ambazo zinaonyesha kuwa mimba ni ya mapacha. Dalili hizi zitahitajika kuthibitishwa na kipimo cha daktari ili kujuwa kuwa ni kweli.

Soma Zaidi...
Siku za kupata mimba

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba

Soma Zaidi...
Nahitaji kufaham siku ya kumpatia mimba make wangu, yeye hedhi yake ilianza talehe22

Je na wewe ni moja kati ya wake ambao wanahitajivkujuwa siku za kupata mimba. Ama siku za competes mwanamke mimba. Post hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
Zijue mbegu za kiume zilizo bora.

Posti hii inahusu zaidi mbegu ambazo ni nzima na ambazo zina sifa ya kutungisha mimba kwa hiyo mbegu hizi utazigundua kwa kuwa na sifa zifuatazo.

Soma Zaidi...