Ushauri kabla ya kubeba mimba.
Posti hii inahusu zaidi ushauri kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, kabisa ya kubeba mimba akina Mama na wachumba wanapaswa kufanya yafuatayo.
Ushauri kwa wachumba na akina Mama kabla ya kubeba mimba.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa kabla ya kubeba mimba tunapaswa kuwa na maandalizi ili kuepuka kupata watoto wenye ulemavu ambao watafanya tuishi kwa shida na kutumia gharama nyingi ikiwa watapata Magonjwa ambayo yataweza kupatikana kwa kutofuata mashariti au ushauri kabla ya kubeba mimba.
2.Mama au wachumba wanapaswa kula vyakula vyenye mlo kamili kama vile vyakula vya wanga, vyakula vya mafuta, vyakula vya protini, vyakula vyenye madini na vitamini mbalimbali kwa kufanya hivyo pia Mama anapaswa kuwa na damu ya kutosha na kupima Malaria kabla ya kubeba mimba na pia kutumia vidonge au vyakula vya madini ya chuma kwa kufanya hivyo nakuhakikishia kuwa mtoto atakayezaliwa atakuwa salama.
3.Pia Mama anapaswa kuepukana na vitu kama vile matumizi ya madawa ya kulevya kwa sababu usababisha mimba kutoka, kuzaliwa mtoto kabla ya wakati, mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mdogo au mtoto mlemavu. Kwa hiyo akina Mama kama wanatumia madawa ya kulevya kabla ya kubeba mimba waache kabisa ili waweze kupata watoto wa kawaida wasio na matatizo yoyote.
4. Pia wanapaswa kuacha kabisa matumizi ya sigara na vileo vikali kwa sababu usababisha mimba kutoka, kuzaa mtoto mfu, Mtoto kuzaliwa kabla ya wakati, mtoto kuzaliwa akiwa na umri mdogo na mimba kutoka kwa hiyo akina mama na wachumba kabla hamjabeba mimba hakikisha unaacha kuvuta sigara na matumizi ya vileo vikali.
5.pia Mama na wachumba kabla hawajaanza kubeba mimba wanapaswa kufanya mazoezi ya kiasi sio mazoezi makali kwa sababu yanaweza kusababisha mimba kutoka na pia Mama anapaswa kujiepusha na vitu vyetu mionzi, kwa kufanya hayo tutaweza kupata watoto wenye akili tmamu na magonjwa kwa watoto yatapungua sana.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 ai web app 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 web hosting 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Fahamu dawa ya kutibu maumivu ya mgongo (back none pain) na kiuno
Fahamu dawa ya back bone pain kwa matibabu ya mgongo, ni mojawapo ya dawa ambayo imependekezwa kutuliza maumivu ya mgongo.
Soma Zaidi...Dawa ya kutibu mapunye
DAWA YA MAPUNYEMatibabu ya mapunye inategemea ni wapi mapunjye yapo.
Soma Zaidi...Fahamu kazi za homoni katika kupamba na kansa.
Post hii inahusu zaidi homoni mbalimbali ambazo upambana na kansa, hizi homoni zikitumika vizuri matokeo yake huwa na mazuri pia kwa wagonjwa wa kansa.
Soma Zaidi...Dawa mbadala za vidonda vya tumbo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa mbadala za vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Fahamu dawa ya haloperidol katika matibabu ya akili
Post hii inahusu dawa ya haloperidol katika matibabu ya magonjwa ya akili, ni mojawapo ya dawa ambayo utumiwa na wagonjwa ambao wamechananyikiwa.
Soma Zaidi...Fahamu dawa ya cardiac glycoside katika matibabu ya magonjwa ya moyo
Post hii inahusu zaidi dawa ya cardiac glycoside katika matibabu ya magonjwa ya moyo,dawa maalum ambayo imo kwenye kundi hili la cardiac glycoside ni digoxin, ni dawa muhimu ambayo utumika kwenye mfumo wa vidonge mara nyingi.
Soma Zaidi...