picha

Ushauri kabla ya kubeba mimba.

Posti hii inahusu zaidi ushauri kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, kabisa ya kubeba mimba akina Mama na wachumba wanapaswa kufanya yafuatayo.

Ushauri kwa wachumba na akina Mama kabla ya kubeba mimba.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa kabla ya kubeba mimba tunapaswa kuwa na maandalizi ili kuepuka kupata watoto wenye ulemavu ambao watafanya tuishi kwa shida na kutumia gharama nyingi ikiwa watapata Magonjwa ambayo yataweza kupatikana kwa kutofuata mashariti au ushauri kabla ya kubeba mimba.

 

2.Mama au wachumba wanapaswa kula vyakula vyenye mlo kamili kama vile vyakula vya wanga, vyakula vya mafuta, vyakula vya protini, vyakula vyenye madini na vitamini mbalimbali kwa kufanya hivyo  pia Mama anapaswa kuwa na damu ya kutosha na kupima Malaria kabla ya kubeba mimba na pia kutumia vidonge au vyakula vya madini ya chuma kwa kufanya hivyo nakuhakikishia kuwa mtoto atakayezaliwa atakuwa salama.

 

3.Pia Mama anapaswa kuepukana na vitu kama vile matumizi ya madawa ya kulevya kwa sababu usababisha mimba kutoka, kuzaliwa mtoto kabla ya wakati, mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mdogo au mtoto mlemavu. Kwa hiyo akina Mama kama wanatumia madawa ya kulevya kabla ya kubeba mimba waache kabisa ili waweze kupata watoto wa kawaida wasio na matatizo yoyote.

 

4. Pia wanapaswa kuacha kabisa matumizi ya sigara na vileo vikali kwa sababu usababisha mimba kutoka, kuzaa mtoto mfu, Mtoto kuzaliwa kabla ya wakati, mtoto kuzaliwa akiwa na umri mdogo na mimba kutoka kwa hiyo akina mama na wachumba kabla hamjabeba mimba hakikisha unaacha kuvuta sigara na matumizi ya vileo vikali.

 

5.pia Mama na wachumba kabla hawajaanza kubeba mimba wanapaswa kufanya mazoezi ya kiasi sio mazoezi makali kwa sababu yanaweza kusababisha mimba kutoka na pia Mama anapaswa kujiepusha na vitu vyetu mionzi, kwa kufanya hayo tutaweza kupata watoto wenye akili tmamu na magonjwa kwa watoto yatapungua sana. 

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Dawa Main: Post File: Download PDF Views 2026

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 ai web app     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Umuhimu wa kutumia dawa za ARV

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za ARV kwa wathirika wa virusi vya ukimwi .pia tutangalia kwa undani mambo ya kuzingatia kwa wathirika wanaotumia ARV .pamoja na kujali watu wanaotumia dawa hizo .

Soma Zaidi...
Dawa za kutibu ugonjwa wa macho

Somo Hili linakwenda kukuletea dawa za kutibu ugonjwa wa macho

Soma Zaidi...
Fahamu tiba ya jino

Post hii inahusu zaidi tiba ya jino,ni tiba ya kawaida kwa watu walio na matatizo ya meno, kwa kawaida tunafahamu kwamba jino huwa halina dawa ila dawa yake huwa ni kungoa lakini Leo nawaletea habari njema kwamba jino sio kungoa tena ila Kuna tiba ambayo

Soma Zaidi...
Njia ya kupitisha dawa kwenye mdomo na vipengele vyake

Posti hii inahusu zaidi njia ya kupitisha dawa kwenye mdomo na vipengele vyake, hii njia dawa umengenywa kwenye tumbo na kupitia kwenye utumbo mdogo na baadae kwenye damu,

Soma Zaidi...
Dawa ya Isoniazid na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi dawa ya lsoniazid nA kazi zake, ni dawa ambayo inasaidia kutibu kifua kikuu kati ya madawa yaliyoteuliwa na kuwa na sifa ya kutibu kifua kikuu.

Soma Zaidi...
Faida za dawa za NMN

Posti hii inahusu zaidi faida za dawa za NMN maana yake ni Nicotinamide mononucleotide ni dawa ambazo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali kama vile.

Soma Zaidi...