picha

Usichofahamu kuhusu mazoezi

Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo hufahamu kuhusu mazoezi,ni mambo ambayo utokea au no matokeo mazuri kwa watu wanaofanya sana mazoezi.

Usichofahamu kuhusu mazoezi.

1. Mazoezi kwa kawaida usaidia kuzuia magonjwa tasiyoambukiza.

Kuna magonjwa mbalimbali ambayo hayaambukizi magonjwa hayo ni kama vile saratani mbalimbali , kisukari, Kansas na magonjwa mbalimbali ya moyo, usaidia kwa Saba unapofanya mazoezi unatoa uchafu kwenye mwili.

 

2  mazoezi pi udhibiti uzito wa mwili.

Kwa wale ambao Wana tatizo la kuongezeka uzito mara Kwa mara na bila Sababu wakifanya mazoezi uweza kudhibiti mwili na kuwa kwenye hali ya kawaida.

 

3.  Pia mazoezi usaidia Katika mfumo wa upumuaji.

Kwa sababu Ili hewa iwe ya kutosha ni lazima mapafu yawe vizuri bila kuwepo na kizuizi chochote, kwa kufanya mazoezi hivyo usababisha kifua kiwe huru na kiweze kutoa vizuri hewa safi .

 

4. Pia mazoezi usaidia kupunguza cholesterol mwilini.

Kwa kawaida cholesterol ni kuwepo kwa mafuta mengi mwilini kwa hiyo mtu anapofanya mazoezi usaidia mafuta kuweza kuyeyuka na kuwa kawaida hali ambayo usababisha mafuta mwilini kupungua kwa sababu ya mazoezi, pia na kile kitendo cha kutoa jasho wakati wa mazoezi nacho usababisha mafuta kupungua mwilini .

 

5. Mazoezi pia usaidia moyo kusukuma damu vizuri.

Kwa sababu mtu akifanya mazoezi usababisha uchafu wote kuisha kwenye mishipa inayosafirisha damu kwa hiyo mishipa hiyo ikiwa huru usababisha moyo kusukuma damu kwa nguvu kwenye sehemu mbalimbali za mwili na damu usafiri vizuri bila shida yoyote .

 

6. Pia mazoezi usaidia mifupa kuwa na nguvu.

Kwa Sababu ya kufanya mazoezi usaidia kabisa mifupa kuweza kuimarika vizuri na kuendelea vizuri kabisa kwa hiyo mazoezi ni lazima Ili kuweza kuimarisha mifupa pia na misuli.

 

7. Pia mazoezi usaidia Katika kurahisisha viungo vya mwili.

Kwa kawaida Mtu akifanya mazoezi na vile vile viungo vya mwili uwa vyepesi na mtu uwa mwepesi zaidi.

 

8.Pia mazoezi usaidia kuzuia magonjwa.

Kwa kawaida kupitia mazoezi magonjwa kama mafuta, kuishiwa nguvu na vi magonjwa vidogo vidogo upungua.

 

9. Kwa hiyo mazoezi ni mazuri walau fanya mara tatu kwa wiki na pia baada ya mazoezi kunywa maji ya kutosha na pia mazoezi yasiwe makali na ya kupitiliza ambayo yanaweza kuleta matatizo mengine

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/07/19/Tuesday - 06:48:03 pm Topic: Jamvini Main: Burudani File: Download PDF Views 1275

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 web hosting    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

SAFARI YA MUUJIZA ( SEHEMU YA PILI)

Post hii ni mwendelezo wa hadithi ya safari yenye muujiza ,ni pale mtoto ya Mungu mengi anafika kwenye kituo Cha ntonga na kuona yake mazingira na kufahamu njia ya kwenda kule.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sita

Post hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sehemu ya sita.sehemu hii inaonyesha jinsi bibi alivyo ndumila kuwili na hapendi kuonekana mbaya.

Soma Zaidi...
NIMLAUMU NANI (sehemu ya nne)

Post hii inahusu zaidi kijana Frank anayelazimishwa kuolewa na Amisa yeye hayuko tayari ila kwa sababu ya maisha kuwa magumu anaamua kulala na Amina na kumbebesha Mimba ya watoto mapacha.

Soma Zaidi...
Hasara za wivu na kutokuwa wazi (sehemu ya 4)

Posti hii inaendelea kuelezea hasara za kuwepo kwa wivu na kutokuwa wazi katika, jamii inafikia wakati baba anapifahamu ukweli anawaita wazazi wawili na kuwaombeza kwa kuwa kimya baada ya kuona matatizo yaliyokuwa yanampata mtoto Lisa.

Soma Zaidi...
Hadithi ya Mama mchoyo na mwehu

Posti hii inahusu zaidi habari za Mama mmoja aliyekuwa mchoyo akampa mkate mwehu na kuutia Sumu ila kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu sana aliutunza mkate na kuwapatia watoto wa yule mama waliokuwa wakitoka shule na njaa kali

Soma Zaidi...
WAKATI WA KUFUMBUKA SEHEMU YA 1

Post hii inahusu zaidi hadithi mpya na nzuri inayoitwa wakati wa Kufumbuka, ni hadithi inayohusu maisha ya kawaida ambapo watu ushindwa kudhamini watu wa karibu nao na kuona watu wa mbali ndio wenye maana ila shida zikifika ndipo wanaona umuhimu wao.

Soma Zaidi...
Kila kitu ambacho wanaume wanatakiwa kufahamu kuhusu wanawake.

Hii ni siri kubwa kuhusu wanawake. Hapa utajifunza jinsi ya kumfanya mwanamke asikuache.

Soma Zaidi...
Mtoto wa tajiri na maskini (sehemu ya pili)

Post hii inahusu zaidi watoto wa wawili ambapo mmoja ni mtoto wa tajiri na mwingine ni mtoto wa maskini.

Soma Zaidi...
USALITI (sehemu ya pili)

Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya Usaliti kati ya Rhoda na Moses ambapo Moses anampenda sana Rhoda na wakati wa kuoa umefika ila akagikilia kwamba akimuoa Rhoda inawezekana wasipate watoto kwa sababu ya mimba ambazo Rhoda alikuwa anatoa mara kwa mara.

Soma Zaidi...
Hadithi ya Binti mfalme

Posti hii inahusu zaidi hadithi ya Binti mfalme ni hadithi ya kusisimua, kuhusu hadithi hii ni kwamba mfalme alihitaji mtoto wa kiume ila wanawake wote hawakumpata ila alitokea mke mdogo mmoja wa mfalme akajifungua watoto wawili mapacha mmoja wa kiume na

Soma Zaidi...