image

Utangulizi wa Android App Development

Haya ni mafunzo ya muda mfupi katika kujifunza hasa ujuzi wa kutengeneza Android App hata kama haujui kitu kuhusiana na Android Development

Android development

 

 

Hii ni taaluma ambayo kujifunza kwa ugumu na urahisi unatokana na mapokeo ya mtu mmoja mmoja , kwa binafsi yangu mimi ni developer ambaye nimejifundish mambo mengi mwenyewe bila kumsumbua mtu kwa namna yoyote ile natamani na wewe bila kujali ikiwa tu unatamani kujifunza taaruma hii basi ufike mbali hata kunishinda mimi n anna jiskia faraja sana kukufundisha kidogo nlichonacho hadi leo hii . 

 

Baada ya kumaliza mafunzo haya utakuwa na uwezo wa kutengeneza android application za viwango tofautitofauti kwa kutumia java programming language lugha maarufu yenye nguvu katika utengenezaji wa android systems mbalimbali bila kufahamu kwa undani kabisa kama ulivyo wahi kuskia sehemu au platform mbalimbali kwamba katika kujifunza lugha yoyote ya programming kuna ugumu wa kiasi chake kwani kuna hitaji mda wa kutosha na mazingatio sana na huwa ni afadhali ya kujifunza unaweza hata kukalili kipengele flani Maisha yakaenda ila ugumu ambao mimi nauona  kama ugumu katika safari ya kujifunza programming language yoyote ile ni pale linapo kuja suala la kubadilisha mafunzo kuwa projects harisi ambayo inawezaa kueleweka machoni pa wat una ilkaonekana msaada katika mambo mbalimbali ya kidunia.

 

Ndio maana mafundisho yangu hasa yatalenga kurahisisha ugumu huu uliopo katika kujifunza android development husani kwa kutumia lugha ya  java ambapo nitakuwa niki fafanua projects mbalimbali ndani yakitabu na kuzitolea maelezo ambayo hata kama mtu atakaa peke yake basi anaweza kufanya yale aliyo jifunza kutoka kwenye mafundisho haya special.

Maana kwa namna hii mimi niliweza kutengeneza android app bila kuwa na mwalimu najua hadi unasoma haya mafunzo umevutiwa na taaluma hii .

 

Awali ya yote katika hitimisho la utangulizi wa mafunzo haya nataka nikumbushe Ushahidi ulionao hadi sasa kwamba kuliwepo windows ya kwanza ikaja 7   8   10 na hadi sasa 11   haya ni maboresho amayo yamekuwa yakijitokeza mara kwa mara katika kampuni ya mambo ya technology ya Microsoft inc.

Hivyo hivyo ndio unatakiwa kuelewa na kuweka akilini kwamba hautakiwi kukalili mambo ni kujitahid tu kuelewa namna mbalimbali nitakazo kufundisha za kutafuta taarifa mpya kuhusiana na development katika platform niatakazo kuelekeza wakati tukiendelea na mafunzo mbeleni.

 

 

 

 

 

 

HATUA MUHIMU

 

HATUA YA KWANZA

 

MAHITAJI

Unatakiwa kuwa na computer aina yoyote ile

Unatakiwa kudownload na kufanya installation ya android studio katika computer yako

Fungua project yako ya kwanza

 

Computer 

Ni vizuri ukawa na compuiterr ambayo itakuwa na speed kidogo at least iwe na 4GB RAM na iwe na processor nzuri pia 

Download an install

Kama unavo doiwnload program zako zingine hivyo hivyo ndio utakiwa kudownload program hii ya Android Studio utaenda katika kivinjalli chako utaandika maneno haya ‘Andoroid Studio Download” uta download program yako ambayo ina Zaidi ya Mb 900+ size yake.

 

Installation ya Android Studio ipo complicated kidogo lakini huwa ni kulingana na mashine ya mtu hapa naweza sema ili ufanikiwe installation unatakiwa kuweka bando la kutosha ili uweze kufanikisha mchakato wa installation ya android SDK katika computer yako.

 

ZINGATIA: Katika kufanya installation  utakutana na changamoto nyingi sana zitakazo kukatisha tamaa kwa hiyo ushauri wangu hakikisha unapofanya installation unakuwa na msimamizi kama wewe ni beginner ambaye ni mzoefu kidogo kuhusiana na Android SDK kwa kukua msimamizi utakusaidia kufanya shughuli hii kwa mda mfupi Zaidi tofauti na ukiwa peke yako  





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 634


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Mafunzo ya HTML level 1 somo la 7 (HTML basic level FOR BEGINNERS)
Hii ni project ya HTML ambayo imetengenezwa kulingana na mafunzo ya HTML level1. Tunatarajia project hii kuboreshwa kadiri mafunzo yanavyozidi kusonga mbele. Soma Zaidi...

Mafunzo ya database mySQl database somo la 11
huu ni muendelezo wa mafunzo ya Database klwa kutumia MySQL na hili ni somo la 11. katika somo hili tutaendelea kujifunza mpangilio wa muonekano wa data kwenye database. Soma Zaidi...

Mafunzo ya HTML level 1 somo la 1 (HTML basic level FOR BEGINNERS)
Haya ni mafunzo ya HTML kwa wanaoanza level ya kwanza, na hili ni somo la kwanza katika masomo 8 yatakayokujia katika mtiririko wa course hii. Soma Zaidi...

PHP level 1 somo la nane (8)
Hapa utajifunza utofauti kati ya php constant na variable. Na hili ni somo la nane katika mfululizo wa masomo haya ya php level 1. Soma Zaidi...

PHP level 1 somo la sita (6)
Katika somo hili la php level 1 somo la 6 utajifunza namna ya kutumia tarehe yaani function date() kwenye PHP Soma Zaidi...

PHP level 11 somo la kumi na moja (11)
Katika somo hilivutajifunza namna ya kutumia HTML form. Namna ya kuookea taarifa kutoka kwenye madodoso ya html form. Soma Zaidi...

PHP level 1 somo la kumi na mbili (12) final
Mafunzo ya php level 1 somo ka 12 mwisho wa mafunzo. Hapa utaona project ambazo unaweza kufanya kutokana na mafunzo haya. Soma Zaidi...

Mafunzo ya Database MySQL database somo la 10
Huu ni muendelezo wa mafunzo ya Database kwa kutumia MySQL na hili ni somo la 10. katika somo hili tutakwenda kuendelea namna ya kupangilia muonekano wa data zako kwenye database. Soma Zaidi...

PHP level 1 somo la kumi (10)
Somo la 10 mafunzo ya php level 1. Katika somo hili utajifunza kuhusu condition statement. Soma Zaidi...

Mafunzo ya HTML kwa wenye kuanza (basic level)
Huu ni utangalizi wa mafunzo ya HTML kwa wenye kuanza level ya kwanza kwa lugha ya kiswahili. Haapa utapata msingi wa kuweza kutengeneza tovuti na blog. Soma Zaidi...

Mafunzo ya database MySQL database somo la 9
haya ni mafunzo ya database kwa kutumia MySQl na hili ni somo la 9. katika soo hili utajifunza namna ya kusoma ama kutumia taarifa zilizomo kwenye DATABASE. Soma Zaidi...

Mafunzo ya HTML Level 2 somo la 4 (HTML FULL COURSE FOR BEGINNERS LESSON 4)
Karibu tena katika somo la nne la mafunzo ya HTML level2 html full course for beginners. Katika somo hili utajifunza kuhusu attributes na namna zinavyofanya kazi Soma Zaidi...