Utangulizi wa Android App Development

Haya ni mafunzo ya muda mfupi katika kujifunza hasa ujuzi wa kutengeneza Android App hata kama haujui kitu kuhusiana na Android Development

Android development

 

 

Hii ni taaluma ambayo kujifunza kwa ugumu na urahisi unatokana na mapokeo ya mtu mmoja mmoja , kwa binafsi yangu mimi ni developer ambaye nimejifundish mambo mengi mwenyewe bila kumsumbua mtu kwa namna yoyote ile natamani na wewe bila kujali ikiwa tu unatamani kujifunza taaruma hii basi ufike mbali hata kunishinda mimi n anna jiskia faraja sana kukufundisha kidogo nlichonacho hadi leo hii . 

 

Baada ya kumaliza mafunzo haya utakuwa na uwezo wa kutengeneza android application za viwango tofautitofauti kwa kutumia java programming language lugha maarufu yenye nguvu katika utengenezaji wa android systems mbalimbali bila kufahamu kwa undani kabisa kama ulivyo wahi kuskia sehemu au platform mbalimbali kwamba katika kujifunza lugha yoyote ya programming kuna ugumu wa kiasi chake kwani kuna hitaji mda wa kutosha na mazingatio sana na huwa ni afadhali ya kujifunza unaweza hata kukalili kipengele flani Maisha yakaenda ila ugumu ambao mimi nauona  kama ugumu katika safari ya kujifunza programming language yoyote ile ni pale linapo kuja suala la kubadilisha mafunzo kuwa projects harisi ambayo inawezaa kueleweka machoni pa wat una ilkaonekana msaada katika mambo mbalimbali ya kidunia.

 

Ndio maana mafundisho yangu hasa yatalenga kurahisisha ugumu huu uliopo katika kujifunza android development husani kwa kutumia lugha ya  java ambapo nitakuwa niki fafanua projects mbalimbali ndani yakitabu na kuzitolea maelezo ambayo hata kama mtu atakaa peke yake basi anaweza kufanya yale aliyo jifunza kutoka kwenye mafundisho haya special.

Maana kwa namna hii mimi niliweza kutengeneza android app bila kuwa na mwalimu najua hadi unasoma haya mafunzo umevutiwa na taaluma hii .

 

Awali ya yote katika hitimisho la utangulizi wa mafunzo haya nataka nikumbushe Ushahidi ulionao hadi sasa kwamba kuliwepo windows ya kwanza ikaja 7   8   10 na hadi sasa 11   haya ni maboresho amayo yamekuwa yakijitokeza mara kwa mara katika kampuni ya mambo ya technology ya Microsoft inc.

Hivyo hivyo ndio unatakiwa kuelewa na kuweka akilini kwamba hautakiwi kukalili mambo ni kujitahid tu kuelewa namna mbalimbali nitakazo kufundisha za kutafuta taarifa mpya kuhusiana na development katika platform niatakazo kuelekeza wakati tukiendelea na mafunzo mbeleni.

 

 

 

 

 

 

HATUA MUHIMU

 

HATUA YA KWANZA

 

MAHITAJI

Unatakiwa kuwa na computer aina yoyote ile

Unatakiwa kudownload na kufanya installation ya android studio katika computer yako

Fungua project yako ya kwanza

 

Computer 

Ni vizuri ukawa na compuiterr ambayo itakuwa na speed kidogo at least iwe na 4GB RAM na iwe na processor nzuri pia 

Download an install

Kama unavo doiwnload program zako zingine hivyo hivyo ndio utakiwa kudownload program hii ya Android Studio utaenda katika kivinjalli chako utaandika maneno haya ‘Andoroid Studio Download” uta download program yako ambayo ina Zaidi ya Mb 900+ size yake.

 

Installation ya Android Studio ipo complicated kidogo lakini huwa ni kulingana na mashine ya mtu hapa naweza sema ili ufanikiwe installation unatakiwa kuweka bando la kutosha ili uweze kufanikisha mchakato wa installation ya android SDK katika computer yako.

 

ZINGATIA: Katika kufanya installation  utakutana na changamoto nyingi sana zitakazo kukatisha tamaa kwa hiyo ushauri wangu hakikisha unapofanya installation unakuwa na msimamizi kama wewe ni beginner ambaye ni mzoefu kidogo kuhusiana na Android SDK kwa kukua msimamizi utakusaidia kufanya shughuli hii kwa mda mfupi Zaidi tofauti na ukiwa peke yako  

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Tehama Main: Jifunze File: Download PDF Views 1005

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Mafunzo ya HTML Level 2 somo la 4 (HTML FULL COURSE FOR BEGINNERS LESSON 4)

Karibu tena katika somo la nne la mafunzo ya HTML level2 html full course for beginners. Katika somo hili utajifunza kuhusu attributes na namna zinavyofanya kazi

Soma Zaidi...
Mafunzo ya HTML level 1 somo la 8 (HTML basic level FOR BEGINNERS)

Katika somo hili la 8 mafunzo ya html level 8 utajifunza jinsi ya kuhost project ya html na kuwa live, watu wakaipitia na kusoma maudhui yake.

Soma Zaidi...
Mafunzo ya php level 1 somo la tatu (3)

hili ni somo la tatu katika masomo ya php level 1. Hapa utajifunza zaidi kuhusu variable na namna ya kuitengeneza.

Soma Zaidi...
Mafunzo ya Database MySQL database somo la 10

Huu ni muendelezo wa mafunzo ya Database kwa kutumia MySQL na hili ni somo la 10. katika somo hili tutakwenda kuendelea namna ya kupangilia muonekano wa data zako kwenye database.

Soma Zaidi...
Mafunzo ya php level 1 somo la pili (2)

hili ni somo la pili katika mfululizo wa mafunzo haya ya php level 1 na hapa utajifunza namna ya kuandika faili klako la kwanza la php.

Soma Zaidi...
Mafunzo ya HTML Level 1 somo la 2 for beginner (html full course for beginners)

Somo la pili katika mafunzo ya HTML level 2. Katika somo hili utajifunza maana ya HTML pamoja na historia yake fupi.

Soma Zaidi...
PHP level 11 somo la kumi na moja (11)

Katika somo hilivutajifunza namna ya kutumia HTML form. Namna ya kuookea taarifa kutoka kwenye madodoso ya html form.

Soma Zaidi...
Mafunzo ya DATABASE kwa kutumia MySQL DATABASE kwa kiswahili somo la 4

Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya database kwa kutumia MySQL na hili ni somo la nne katika mlolongo wa masomo haya. Katika somo hili utajifuza jinsi ya kubadili jina la database na kufuta database. Pia tutajifunza kutumia SQL kufanya hayo.

Soma Zaidi...
Mafunzo ya HTML level 1 somo la 6 (HTML basic level FOR BEGINNERS)

hili ni somo la sita katika mfululizo wa mafunzo ya HTML level 1. Katika somo hili tutajifunza mambo makuu matatu ambayo ni kuweka menyu, kuweka background color na kufanya faili lako liwe responsive.

Soma Zaidi...
Mafunzo ya DATABASE MYSQL na SQL somo la 1

Karibu tena katika mafunzo yetu, na huu ni mwanzo wa mafunzoya DATABASE kwa kutumia MYSQL kwa lugha ya kiswahili. Na hili ni somo la kwanza, katka somo hili utajifunza jinsi ya kuandaa kifaa chako kwa ajili ya mafunzo.

Soma Zaidi...