Haya ni mafunzo ya muda mfupi katika kujifunza hasa ujuzi wa kutengeneza Android App hata kama haujui kitu kuhusiana na Android Development
Android development
Hii ni taaluma ambayo kujifunza kwa ugumu na urahisi unatokana na mapokeo ya mtu mmoja mmoja , kwa binafsi yangu mimi ni developer ambaye nimejifundish mambo mengi mwenyewe bila kumsumbua mtu kwa namna yoyote ile natamani na wewe bila kujali ikiwa tu unatamani kujifunza taaruma hii basi ufike mbali hata kunishinda mimi n anna jiskia faraja sana kukufundisha kidogo nlichonacho hadi leo hii .
Baada ya kumaliza mafunzo haya utakuwa na uwezo wa kutengeneza android application za viwango tofautitofauti kwa kutumia java programming language lugha maarufu yenye nguvu katika utengenezaji wa android systems mbalimbali bila kufahamu kwa undani kabisa kama ulivyo wahi kuskia sehemu au platform mbalimbali kwamba katika kujifunza lugha yoyote ya programming kuna ugumu wa kiasi chake kwani kuna hitaji mda wa kutosha na mazingatio sana na huwa ni afadhali ya kujifunza unaweza hata kukalili kipengele flani Maisha yakaenda ila ugumu ambao mimi nauona kama ugumu katika safari ya kujifunza programming language yoyote ile ni pale linapo kuja suala la kubadilisha mafunzo kuwa projects harisi ambayo inawezaa kueleweka machoni pa wat una ilkaonekana msaada katika mambo mbalimbali ya kidunia.
Ndio maana mafundisho yangu hasa yatalenga kurahisisha ugumu huu uliopo katika kujifunza android development husani kwa kutumia lugha ya java ambapo nitakuwa niki fafanua projects mbalimbali ndani yakitabu na kuzitolea maelezo ambayo hata kama mtu atakaa peke yake basi anaweza kufanya yale aliyo jifunza kutoka kwenye mafundisho haya special.
Maana kwa namna hii mimi niliweza kutengeneza android app bila kuwa na mwalimu najua hadi unasoma haya mafunzo umevutiwa na taaluma hii .
Awali ya yote katika hitimisho la utangulizi wa mafunzo haya nataka nikumbushe Ushahidi ulionao hadi sasa kwamba kuliwepo windows ya kwanza ikaja 7 8 10 na hadi sasa 11 haya ni maboresho amayo yamekuwa yakijitokeza mara kwa mara katika kampuni ya mambo ya technology ya Microsoft inc.
Hivyo hivyo ndio unatakiwa kuelewa na kuweka akilini kwamba hautakiwi kukalili mambo ni kujitahid tu kuelewa namna mbalimbali nitakazo kufundisha za kutafuta taarifa mpya kuhusiana na development katika platform niatakazo kuelekeza wakati tukiendelea na mafunzo mbeleni.
HATUA MUHIMU
HATUA YA KWANZA
MAHITAJI
Unatakiwa kuwa na computer aina yoyote ile
Unatakiwa kudownload na kufanya installation ya android studio katika computer yako
Fungua project yako ya kwanza
Computer
Ni vizuri ukawa na compuiterr ambayo itakuwa na speed kidogo at least iwe na 4GB RAM na iwe na processor nzuri pia
Download an install
Kama unavo doiwnload program zako zingine hivyo hivyo ndio utakiwa kudownload program hii ya Android Studio utaenda katika kivinjalli chako utaandika maneno haya ‘Andoroid Studio Download” uta download program yako ambayo ina Zaidi ya Mb 900+ size yake.
Installation ya Android Studio ipo complicated kidogo lakini huwa ni kulingana na mashine ya mtu hapa naweza sema ili ufanikiwe installation unatakiwa kuweka bando la kutosha ili uweze kufanikisha mchakato wa installation ya android SDK katika computer yako.
ZINGATIA: Katika kufanya installation utakutana na changamoto nyingi sana zitakazo kukatisha tamaa kwa hiyo ushauri wangu hakikisha unapofanya installation unakuwa na msimamizi kama wewe ni beginner ambaye ni mzoefu kidogo kuhusiana na Android SDK kwa kukua msimamizi utakusaidia kufanya shughuli hii kwa mda mfupi Zaidi tofauti na ukiwa peke yako
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili la 6 mafunzo ya HTML level 2, tutajfunza namna ya kugawa ukurasa wa wavuti wa html.
Soma Zaidi...somo hili la 4 katika mafunzo ya PHP level 1 utajifunza aina za data mabazo php inakwenda kuzitumia.
Soma Zaidi...haya ni mafunzo ya database kwa kutumia MySQl na hili ni somo la 9. katika soo hili utajifunza namna ya kusoma ama kutumia taarifa zilizomo kwenye DATABASE.
Soma Zaidi...Hili ni somo la saba, mafunzo ya php level 1. Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe.
Soma Zaidi...Huu ni utangalizi wa mafunzo ya HTML kwa wenye kuanza level ya kwanza kwa lugha ya kiswahili. Haapa utapata msingi wa kuweza kutengeneza tovuti na blog.
Soma Zaidi...Haya ni mafunzo ya HTML kwa wanaoanza level ya kwanza, na hili ni somo la kwanza katika masomo 8 yatakayokujia katika mtiririko wa course hii.
Soma Zaidi...Huuu ni muendeleo wa mafunzo ya database kwa lugha ya kiswahili, na hili ni somo la nane. Katika somo hli utajifunza namna ya kuweka taarifa kwenye database, kuzfuta na kuziediti yaani kuzifanyia marekebisho.
Soma Zaidi...Huu ni muendelezo wa mafunzo ya Database kwa kutumia MySQL na hili ni somo la 10. katika somo hili tutakwenda kuendelea namna ya kupangilia muonekano wa data zako kwenye database.
Soma Zaidi...Huu ni muendelezo wa mafunzo ya DATABASE kwa kutumia software ya MySQL na hili ni somo la tano. katika somo hili utajifunza type of data yaani aina ya taarifa ambazo unaweza kuzihifadhi kwenye database yako.
Soma Zaidi...Huu ni muendelezowa mafunzo ya database kwa kutumia MySQl na hili ni somo la 12. katika somo hili tutajifunza namna ya kufanya mahesabu kwa kutumia SQl katika database
Soma Zaidi...