Utaratibu wa lishe kwa wagonjwa
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wagonjwa
.UTARATIBU WA LISHE KWA WAGONJWAWagonjwa. Wagonjwa wapewe vyakula vyenye viinilishe vyote ili kuwezesha miili yao kuwa na uwezo mkubwa wa kupambana na maradhi Hasa hasa vitamini kwa wingi Matunda na mboga za majani ni muhimu kwa wagonjwa iliwaweze kupata madini na vitamini muhimu kwa ajili ya miili yao. Wagonjwa pia wapewe maji ya kutosha ili kuwezesha miili yao kufanya kazi vizuri.Matunda yatamuwezesha pia kupambana na maradhi au kupunguza uwezekano wa kuendelea kuuguwa. Wagonjwa wapate muda wa kutosha kwa ajili ya kulala na wafanye mazoezi kulingana na hali zao.Pia kuna vyakula maalumu vinapendelewa kwa kulingana na aina ya ugonjwa alionao. Muone daktari akushauri vyakula vya kuvila kulingana na ugojwa ulonao.
?
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 ai web app 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Kazi ya protin na vyakula vya protini mwilini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya kazi ya protin na vyakula vya protini mwilini
Soma Zaidi...Huduma ya kwanz akwa aliyeumwa na nyoka
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kumsaidia aliyeumwa na nyoka
Soma Zaidi...Fahamu kuhusu protini na kazi zake mwilini
Tunahitaji kuwa na protini mwilini. Kuna baadhi ya makundi ya watu wanahitaji protini zaidi. Je unawajuwa hao ni kina nana?, na je unauwa kazi za protini mwilini na athari za upungufu wake? endelea na makala hii.
Soma Zaidi...Mambo yanayochangia Ili dawa kuingia kwenye damu vizuri
Post hii inahusu zaidi mambo yanayochangia Ili dawa iingie vizuri kwenye damu, na mambo yanayoweza kusababisha dawa kuingia au kutoingia vizuri kwenye damu.
Soma Zaidi...Zijue faida za maji ya uvuguvugu.
Posti hii inahusu zaidi faida za maji ya uvuguvugu, hasa hasa maji haya ni vizuri kabisa kuyatumia hasa wakati wa asubuhi na pia wakati tumbo likiwa halina kitu, kwa hiyo zifuatazo ni faida za maji ya uvuguvugu.
Soma Zaidi...