Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wagonjwa
.UTARATIBU WA LISHE KWA WAGONJWAWagonjwa. Wagonjwa wapewe vyakula vyenye viinilishe vyote ili kuwezesha miili yao kuwa na uwezo mkubwa wa kupambana na maradhi Hasa hasa vitamini kwa wingi Matunda na mboga za majani ni muhimu kwa wagonjwa iliwaweze kupata madini na vitamini muhimu kwa ajili ya miili yao. Wagonjwa pia wapewe maji ya kutosha ili kuwezesha miili yao kufanya kazi vizuri.Matunda yatamuwezesha pia kupambana na maradhi au kupunguza uwezekano wa kuendelea kuuguwa. Wagonjwa wapate muda wa kutosha kwa ajili ya kulala na wafanye mazoezi kulingana na hali zao.Pia kuna vyakula maalumu vinapendelewa kwa kulingana na aina ya ugonjwa alionao. Muone daktari akushauri vyakula vya kuvila kulingana na ugojwa ulonao.
?
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo hutumika kuponyesha majeraha kwa haraka zaidi,tunajua majereha utokana na kupona kwa vile vidonda au kupona kwa sehemu ambayo imekuwa na majeraha kwa hiyo ili kuponyesha majeraha hayo tunapaswa kufanya yafuatayo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vyakula
Soma Zaidi...Vipi utamsaidia mti ambaye amepaliwa na maji? Post hii itakwenda kukifundisha jambo hili.
Soma Zaidi...Post hii inahusu huduma ya kwanza kwa mtu aliyeingiwa na uchafu au kitu chochote sikioni. Sikio ni mojawapo ya milango ya fahamu ambapo hutumika kusikia, Kuna wakati vitu uingia ndani yake na kuleta madhara
Soma Zaidi...Unadhanivkufanya kazi kunaweza kukusababishia maradhi ama mwili kudhoofu, ama kukonda. Umeshawahivkujiuliza wanao nenepa huwa hawafanyi kazi?
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wajawazito na wanaonyonyesha
Soma Zaidi...Posti hii inahusu njia za kumlisha Mgonjwa ambaye hawezi kujilisha wenyewe, hali hii uwa inawapata wagonjwa wale ambao hawawezi kujilisha wenyewe tunaweza kuwalisha kwa njia zifuatazo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sehemu ambazo zinapaswa kudungwa chanjo, hizi ni sehemu zile zilizopendekezwa kwa ajili ya kuchoma chanjo kwa kadiri ya kazi ya chanjo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida ya chanjo, tunajua wazi kuwa chanjo Ina faida kubwa kwenye mwili wa binadamu na vile vile kwenye jamii kama tutakavyoona hapo chini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi malengo ya kusafisha vidonda, kwa sababu Kuna watu wengine huwa wanajiuliza kwa nini nisafishe kidonda hospitalini au kwenye kituo chochote Cha afya, yafuatayo ni majibu ya kwa Nini nisafishe kidonda.
Soma Zaidi...