NINI SABABU YA VIDONDA VYA TUMBO
NENO LA AWALI Hapa utaweza kujifunza mambo mengi kuhusu vidonda vyatumbo.
NENO LA AWALI
Hapa utaweza kujifunza mambo mengi kuhusu vidonda vyatumbo. Kulingana na tafiti za kiafya zilizofanyika katika maeneo mbali mbli. Nimeona leo niandike kwa uchache kuhusu ugonjwa huu. Kwani watu wengi sana wanasumbuliwa na tatizo hili.
Ugonjwa wa vidonda vya tumbo umekuwa ukikabiliana na maneno mengi yaliyo potofu. Pia watu wamekuwa wakitumia dawa ambazo ni hatari kwa wenye tatizo hili. Utumiaji wa miti shamba husaidia katika kutibu ugonjwa huu lakini kuwa makini sana juu ya dawa hizi.
Katika makala hii tutakuletea baadhi ya nukuu kutoka kwa wataalamu wa afya juu ya maradhi haya ya vidonda vya tumbo, ikiwemo sababu, dalili pamoja na matibabu.
YALIYOMO
Kama utadownload kitabu chetu utaweza kusoma kwa undani mambo yafuatayo
VIDONDA VYA TUMBO
NINI VIDONDA VYA TUMB?
AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO
SABABU ZA KUTOKEA KWA VIDONDA VYA TUMBO
DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
VIPI VIDONDA VYA TUMBO VINATOKEA
AMBO HATARI KWA MWENYE VIDONDA VYA TUMBO
ATHARI ZA KUTOTIBIWA VIDONDA VYA TUMBO
HATUA ZA KUJIKINGA NA VIDONDA VYA TUMBO
NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO
MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO
VIDONDA VYA TUMBO SUGU
SABABU ZA VIDONDA VYA TUMBO SUGU
MATIBABU YA VIDONDA SUGU
NAMNA YA KUISHI NA VIDONDA VYA TUMBO
DAWA MBADALA ZA VIDONDA VYA TUMBO
FIKRA POTOFY KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO
KUJIANDAA KWA AJILI YA KUMUONA DAKTARI
MWISHO
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 ai web app 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Ishara na dalilili za Mtoto mwenye kuhara
postii hii inazungumzia dalilili za Mtoto mwenye Kuhara. Kuhara maana yake ni kutokwa na kinyesi chenye maji matatu au zaidi, pamoja na au bila damu ndani ya masaa 24. Kuhara kunaweza kusababishwa na maambukizo ya bakteria na virusi, ugonjwa wa matumb
Soma Zaidi...Watu walio hatarini kupata UTI
Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya makunfi ya watu walio hatarini kupata UTI
Soma Zaidi...Dalili za fangasi wa kucha.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili,sababu za Hatari,na namna ya kujizuia na fangasi wa kucha.
Soma Zaidi...Dalili zake mtoto mwenye Ugonjwa wa Maambukizi kwenye koo
Pisti hii inahusu zaidi dalili za mtoto mwenye Maambukizi ya ugonjwa wa Dondakoo, tunajua wazi kuwa ugonjwa huu uwashambulia hasa watoto wadogo ambao wako chini ya miaka mitano, kwa hiyo zifuatazo ni baadhi ya Dalili zinazoweza kujitokeza kwa watoto hawa.
Soma Zaidi...Sababu za Maumivu ya shingo
Posti hii inazungumzia kuhusiana na maumivu ya shingo na ndani yake kunasababu zinazopelekea shingo kupata maumivu.
Soma Zaidi...Dalili za gonorrhea - gonoria
Jifunze dalili za gonorrhea na namna inavyoambukiza, zipi athari za gonori kwa wanawae na wanaume
Soma Zaidi...