image

Vijuwe virutubisho vilivyomo kwenye parachichi.

Posti hii inahusu zaidi virutubisho vilivyomo kwenye parachichi, tunajua sana kuwa parachichi ina virutubisho vingi ambavyo vinaweza kuleta faida nyingi kwenye mwili kama yalivyo matunda na vyakula vingine.

Virutubisho vilivyomo kwenye parachichi.

1. Parachichi lina kiasi kikubwa cha Kalori 240  ila 184 inatokana na mafuta kwa hiyo hicho ni kiwango kikubwa cha Kalori.

 

2. Pia parachichi lina kiwango kikubwa cha sodium ambacho ni milligram kumi na moja za sodium ambazo ziko kwenye parachichi.

 

3. Pia parachichi lina kiwango cha wanga ambacho kimo ndani yake ni milligram kumi na tatu za wanga ambazo zimo kwenye parachichi.

 

4. Vile vile parachichi lina gram kumi za nyuzi nyuzi za lishe kwa hiyo hicho ni kiasi kikubwa sana kwa parachichi.

 

5. Pia parachichi lina kiasi cha sukari .

Kwa hiyo sukari ambayo imo kwenye parachichi ni kiasi cha gram moja tu ya sukari.

 

6. Kwenye parachichi kuna vitamini C ambavyo ni asilimia kumi na saba, pia vitamini E ni asilimia kumi na kuna vitamini B3 na vitamini B6 ambapo vitamini B5 ni asilimia kumi na nne na vitami B6 ni asilimia kumi na tatu.

 

7.pia parachichi lina kiwango cha madini ambayo ni madini ya potassium ambayo ni asilimia kumi na nne,  pia kuna aina ya asidi inayoitwa folate asidi ambayo ina asilimia ishirini.

 

8. Kwa hiyo tunaona parachichi lilivyo na vitu vingi uko ni tunda moja kwa hiyo tunapaswa kulitumia sana ili tuweze kupata vitamini na madini yaliyomo.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1410


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Faida za kiafya za kula papai
Soma Zaidi...

Fahamu vitamini D, kazi zake vyakula vya vitamini D na athari za upungufu wake
Soma Zaidi...

Vyakula murajabu kea mwenye presha ya kushuka
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula murajabu kea mwenye presha ya kushuka Soma Zaidi...

Vijuwe vyakula vinavyoongeza damu kwa haraka
Post hii itakufundisha aina za vyakula ambavyo vinaweza kuongeza damu kwa haraka. Soma Zaidi...

Faida za kula karoti
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula karoti Soma Zaidi...

Orodha ya madini, chanzo chake na faida zake
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu orodha ya madini chanzo chake na faida zake Soma Zaidi...

Faida za kula tikiti
Somo hili linalenga kukujuza juu ya umuhimu wa tikiti kwenye afya ya mwili Soma Zaidi...

Faida za kula mayai
Posti hii inahusu zaidi faida anazozipata mtu anayekula mayai hasa wakati wa kifua kinywa, tunajua wazi kuwa mayai yana kiwango kikubwa cha protini pamoja na hayo kuna faida nyingi za kutumia mayai hasa wakati wa asubuhi kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Ulaji wa protini unasaidia kupunguza unene
Soma Zaidi...

Kazi za vitamini B mwilini Na upungufu wa vitamini B mwilini
vitamini B vipo katika makundi mengi kma aB1, B2, B3, B5, B6, B7 na B12. Makala hii itakwenda kukutajia kazi kuu za Vitamini B katika miili yetu Soma Zaidi...

Ni katika kiungo kipi cha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula virutubisho hufonzwa?
Post hii itakupa elimu kuhusu mfumo wa mmrng'enyobwa chakula unavyo fanyankazi Soma Zaidi...

Vyakula vya protini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya protini Soma Zaidi...