picha

Upinzani Dhidi ya Dola ya Kiislamu Wakati wa Makhalifa

Upinzani Dhidi ya Dola ya Kiislamu Wakati wa Makhalifa

Upinzani Dhidi ya Dola ya Kiislamu Wakati wa Makhalifa

Katika kipindi cha Makhalifa wanne wa Mtume (s.a.w), maadui wa Dola ya Kiislamu ni wale wale waliokabiliana na Mtume na kuainishwa katika Qur-an japo walitofautiana kimbinu kulingana na mazingira. Maadui wakubwa walioainishwa katika Qur-an ni:

(i) Adui mkubwa – Sheitwaan (katika Majini na Watu) anayepambana kwa kuishawishi na kuipambia nafsi ya mtu ili imuasi Mola wake.

(ii) Makafiri na Washirikina – Wanaotaka mifumo yao ya maisha iwe juu ya Uislamu.

(iii) Wanafiki – wanaotaka kuishi maisha ya mseto baina ya Uislamu na ukafiri kwa ajili ya maslahi ya dunia.

(iv)Mayahudi - husuda na chuki yao dhidi ya Uislamu ilibainika tangu wakati wa Mtume(s.a.w) - kwa ajili ya kuipenda dunia kuliko akhera.

(v) Wakristo wanachuki na husuda dhidi ya Uislamu kama Mayahudi.



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Sira Main: Post File: Download PDF Views 2148

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Mafunzo kutokana na vita vya badri

Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Maadui wakubwa wa dola ya uislamu madinah

Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...