picha

Uasi katika dola ya kiislamu na matokeo yake

Uasi katika dola ya kiislamu na matokeo yake.

Uasi katika dola ya kiislamu na matokeo yake

Uasi katika dola ya kiislamu na matokeo yake.


Kama tulivyokwisha kuona kuwa historia ya Waasi ilianza zamani toka wakati mtume akiwa hai akipambana na mayahudi, manasara, na makafiri wakishirikiana na kundi la wanafiki. Katika kurasa zijazo tutekwenda kuona jinsi uasi huu ulivyotokea, nini hasa chimbuko lake na wapi walikuwa ni wahusika zaidi.


Uasi huu uliweza kusababisha umwagaji wa damu za Waislamu. Uasi huu pia ulipelekea upotevu wa mali na haki katika jamii iliyokuwa na misingi thabiti na imara iliyoachwa na Mtume wa Allah.


Uasi huu ulipeleke matokea mabaya kama:


1. Vita vya enyewe kwa wenyewe


2. kuuliwa kwa makhalifa


3. Haki kutotekelezwa


4. Kuanzishwa kwa tawala za Kifalme na kathalika





                   


Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Sira Main: Post File: Download PDF Views 1700

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Allah(s.w) Amnusuru Ibrahim (a.s) na Hila za Makafiri

Pamoja na kudhihirikiwa na ukweli wa udhaifu wa miungu wa kisanamu, watu wa NabiiIbrahiim(a.

Soma Zaidi...
Si Yesu Aliyesulubiwa (yesu hakufa msalabani wala hakusulubiwa

Katika Qur,an tukufu, Mwenyezi Mungu aliye muweza na mjuzi wa mambo anathibitisha kuwa aliyesulubiwa si Nabii Isa(a.

Soma Zaidi...
Vitimbi vya Makafiri Dhidi ya Nabii Salih(a.s) na Waumini na kuangamizwa kwao

Makafiri wa Kithamud hawakuishia tu kwenye kuukataa ujumbe wa Nabii Salih(a.

Soma Zaidi...