image

Vitu vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid (majimaji yanayomzungruka mtoto aliyekuwepo tumboni wakati wa ujauzito)

Post hii inahusu zaidi viti vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid, ni jumla ya vitu vyote vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid.

Vitu vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid.

1. Kwenye maji ya Amniotic fluid Kuna Alkaline hii alikalni iliyomo Ina kiwango chake ambacho kinamfanya mtoto aweze kuishi pale,alkaline umsaidie mtoto aendelee kukua zaidi kuanzia pale maji yanapotengenezwa mpaka anapozaliwa kiwango Cha alkaline kilichopo kwenye Maji ya Amniotic fluid ni pH ya 7.2. hii inamsaidia mtoto aweze kukua vizuri. Kwa hiyo Alkaline hii inamsaidia mtoto aweze kukua kuanzia hatua Moja kwenda nyingine.

 

 

2.Maji ya Amniotic fluid Kuna kiasi Cha maji ambayo Yamo ndani yake maji hayo uwa na kiwango maalumu ambacho kinahitajika Ili maji yaweze kuruhusu mtoto aweze kukua, maji hayo utokana na  mkojo wa mtoto anapokuwa tumboni mwa mama yake na pengine kutokana na kazi mbalimbali mwilini ambazo uongeza kiwango Cha maji kwenye mwili, kiwango Cha maji ni kikubwa mno ambacho uanzia asilimia tisini na nane mpaka tisini na Tisa tunaona ni kiwango kikubwa mno.

 

3.Maji ya Amniotic fluid yana vyakula vya wanga, ambayo kwa kitaalamu huitwa fluctose na glucose, Kuna vyakula vya protein ambayo kwa kitaalamu huitwa albumin na globulin, Kuna vyakula vya mafuta  Kuna homoni ambazo ni progesterone na oestrogen Kuna enzyme ambazo kwa kitaalamu huitwa alkaline phosphatase ambayo uzalisha kiasi Cha alkaline vyote hivi ukaa ndani ya Amniotic fluid na ufanya kazi mbalimbali na utokana na vitu mbalimbali.

 

4. Maji ya Amniotic fluid huwa na madini mbalimbali.

Madini mbalimbali ambayo kazi yake ni kujenga mwili na kufanya kazi mbalimbali mwilini madini haya ni pamoja na sodium, potassium na chlorine haya madini ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili wa mtoto kama vile kujenga mwili na jaxi mbalimbali za mwili wakati wa makuzi ya mtoto.

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1319


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Mke Wang Ana tatizo la tumbo kuuma chini upande wa kushoto akishika ni pagumu ,anapatwa na kichefuchef tumbo kujaa ges na kujiisi kusiba he mtanisaidije ili kuondoa tatizo Hilo Ila anaujauzito wa wiki mbili
Miongoni mwa changamoto za ujauzito ni maumivu ya tumbo. Maumivu haya yanawezakuwaya kawaida ama makali zaidi. Vyema kufika Kituo cha Afya endapoyatakuwa makali. Soma Zaidi...

SABABU ZA KUTOKA KWA MIMBA (sababu za kuharibika kwa ujauzito)
Tafiti zinaonesha kuwa karibia asilimia 10% mpaka 25% ya wanawake wanaopata ujauzito, mimba zao hutoka. Soma Zaidi...

Dalili za kuvimba kwa ovari.
  Posti hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa ovari kunakosababishwa na maambukizo ya bakteria na kawaida huweza kusababishwa na magonjwa sugu katika Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke. Soma Zaidi...

dalili za mimba baada ya tendo la ndoa na changa ndani ya wiki moja
Utajifunza dalili za mwanzoni za mimba changa kuanzia wiki moja baada ya tendo la ndoa Soma Zaidi...

Mambo muhimu ambayo mama mjamzito anatakiwa kuzingatia.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo ambayo mama mjamzito anatakiwa kuzingatia katika kipindi Cha ujauzito au mimba Soma Zaidi...

Imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba
Posti hii inahusu zaidi imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba, ni Imani ambazo zimekuwepo kwenye jamii kuhusu wanawake wenye mimba. Soma Zaidi...

Changamoto za ujauzito
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu changamoto za ujauzito na dalili zake endelevu Soma Zaidi...

Mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume Soma Zaidi...

Ugumu wa choo na tiba yake kwa wajawazito
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa ugumu wa choo na tiba yake kwa wajawazito, ni ugonjwa unaowapata sana akina mama wajawazito na uisha tu pale Mama anapojifungua kwa hiyo tunapaswa kujua wazi sababu za ugumu wa choo na tiba yake kwa wajawazito. Soma Zaidi...

Je kitunguu saumu kina madhara kwa Mgonjwa wa figo?
Nimesoma makala yenu, sasa nina swaliJe kitunguu saumu kina madhara kwa Mgonjwa wa figo? Soma Zaidi...

mim ninaujauzito wa mwezi mmoja lakini naona kama hali fulani ya damu inanitoka sehemu ya Siri inafanana na damu ya wakati wa period
Kutokuwa na damu wakati wa ujauzito ni hali uliyo ya kawida lakini inapaswa kujuwa sifa za damu hiyo nabje unatoka kwa namna gani. Kama unasumbuliwa na tatizo hili makala hii ni kwa ajili yako. Soma Zaidi...

Dalili ninazoziona kwangu chuchu zinauma na sjapata period mwezi huu na nlishiriki tarehe 19 mwezi wa tisa
Nini humaanisha kama chuchu zinauma na hupati period mwanaidi mrefu. Soma Zaidi...