Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito, mama mjamzito ni mama ambaye amebeba kiumbe ndani kwa hiyo anapaswa kutumia vyakula vyenye virutubisho mbalimbali vitakavyomsaidia mtoto kukua vizuri.
Vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito ni pamoja na.
1.kula Aina Tano za vyakula na kunywa maji ya kutosha walau Lita Moja na nusu kwa siku
2.Anapaswa kutumia nyama na maini
3.anapaswa kutumia mboga za majani Ili kuongezeka vitamin c
4.anapaswa kuwa msafi katika vyakula na maji
5.Aepuke kunywa sana chai au kahawa akiwa anakuja Ili kuepuka kusambaratisha madini ya chuma na kusababisha upungufu wa damu
6.Aepuke pombe kwa sababu zinazuia ukuaji wa mtoto na kuaribu ubongo wa mtoto
7.Atumie madawa ya kuongeza damu na madini ya chuma kadri ya maagizo ya wataalamu wa afya
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Posti hii inahusu zaidi faida za mchai chai, ni mmea ambao upandwa na watu kama maua, dawa au kikolezo cha chai na Kuna wengine kabisa wanatumia kama sehemu Mojawapo ya dawa kwa hiyo tutaona faida za mmea huu wa mchai chai.
Soma Zaidi...Kwa nini hutakiwi kumpa mtoto wa umri wa chini ya mwaka mmoja kumpa asali?
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi, maharage ni aina ya chakula ambacho upatikanaji wake ni rahisi na watu wengi hawajui kwa ulaji wa maharage una faida kubwa sana mwilini kwa hiyo tunapaswa kuangalia faida za maharage kama ifua
Soma Zaidi...