Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito, mama mjamzito ni mama ambaye amebeba kiumbe ndani kwa hiyo anapaswa kutumia vyakula vyenye virutubisho mbalimbali vitakavyomsaidia mtoto kukua vizuri.
Vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito ni pamoja na.
1.kula Aina Tano za vyakula na kunywa maji ya kutosha walau Lita Moja na nusu kwa siku
2.Anapaswa kutumia nyama na maini
3.anapaswa kutumia mboga za majani Ili kuongezeka vitamin c
4.anapaswa kuwa msafi katika vyakula na maji
5.Aepuke kunywa sana chai au kahawa akiwa anakuja Ili kuepuka kusambaratisha madini ya chuma na kusababisha upungufu wa damu
6.Aepuke pombe kwa sababu zinazuia ukuaji wa mtoto na kuaribu ubongo wa mtoto
7.Atumie madawa ya kuongeza damu na madini ya chuma kadri ya maagizo ya wataalamu wa afya
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
tangawizi ni katika viungio vya mboga vyenye faida, pia ni kinywaji, zijuwe leo faida za tangawizi
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya Vitamini C, mwaka vilipogunduliwa na aliyegundua vitamini C
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida ya juice ya tende,ni juice inayotumiwa na watu wengi sana na wengine wanajua kabisa faida zake na kuna wengine hawajui wanaitumia kama mazoea tu, ila kuna ambao hawajui kabisa basi zifuatazo ni faida za juice ya tende kwa wal
Soma Zaidi...