Vyakula kwa wenye matatizo ya macho

Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo wanapaswa kutumia watu wenye matatizo ya macho,ni vyakula ambavyo uhimalisha mishipa na sehemu nyingine za jicho na kufanya jicho lisiwe na matatizo kwa sababu tunajua wazi kuwa vyakula ni dawa.

Vyakula kwa wenye matatizo ya macho.

1. Matumizi ya samaki.

Samaki ni mojawapo ya chakula ambacho limependekezwa kutumiwa na wenye matatizo ya macho kwa sababu samaki ina acidi ambayo inaweza kuzuia macho kunyauka kwa hiyo matumizi ya samaki ni muhimu.

 

2. Mbogamboga za majani.

Matumizi mengi ya mboga za majani usaidia kwa wenye matatizo ya Ugonjwa wa macho kwa sababu kuna wingi wa vitamini C ambavyo usaidia kwenye macho, hasa hasa karoti inapendekezwa saba kutumika.

 

3. Matumizi ya mayai 

Pia matumizi ya mayai ni ya muhimu sana kwa wenye matatizo ya macho kwa sababu mayai yana wingi wa vitamini A ambavyo usaidia sana kwenye watu wa matatizo ya macho.

 

4. Matumizi ya matunda.

Matumizi ya matunda ni muhimu sana kwa watu wenye matatizo ya macho hasa matunda aina ya zabibu yanapendekezwa sana ili yaweze kutumika kwa wingi na kwa kiasi kikubwa sana.

 

5. Matumizi ya karanga.

Pia wataalamu wamependekeza karanga kwa watu wenye matatizo ya macho kwa sababu karanga uwa na wingi wa vitamini E ambavyo ni muhimu kwa wenye matatizo ya macho.

 

6.kwa hiyo katika matumizi ya vyakula mbalimbali ambavyo usaidia kwenye wagonjwa wa macho tunapaswa kupunguza kiasi cha mafuta katika matumizi ya vyakula kwa sababu mafuta yanaweza kusababisha madhara mengine ambayo ni pamoja na kuziba mishipa ya mafuta na kufanya damu kushindwa kufanya kazi au kusafili kwa damu juwa kwa shida.

 

7.pamoja na kutumia vyakula hivi ni vizuri kwenda hospitalini ili kupata matibabu kama kuna Dalili mojawapo ya ugonjwa wowote wa jicho.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1832

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Kazi kuu tatu za vitamini C mwilini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kazi kuu tatu za vitamini C

Soma Zaidi...
Vyakula murajabu kea mwenye presha ya kushuka

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula murajabu kea mwenye presha ya kushuka

Soma Zaidi...
Faida za kula Tufaha (epo)

Tufaha ni katika matunda adimu na matamu, je unazijuwa faida zake kkiafya?

Soma Zaidi...
Pilipili kali

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za pilipili kali

Soma Zaidi...
Faida za kula parachichi

Somo hili litakwenda kukueleza na kukuelimisha kuhusu umuhimu wa kula parachichi kiafya

Soma Zaidi...
Faida za kula mayai

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula mayai

Soma Zaidi...
Faida za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe

Soma Zaidi...
Faida za kula Nyanya

Nyanya ni katika viungio vya mboga, kuna faida kubwa za kiafya katika nyanya

Soma Zaidi...