image

Vyakula kwa wenye matatizo ya macho

Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo wanapaswa kutumia watu wenye matatizo ya macho,ni vyakula ambavyo uhimalisha mishipa na sehemu nyingine za jicho na kufanya jicho lisiwe na matatizo kwa sababu tunajua wazi kuwa vyakula ni dawa.

Vyakula kwa wenye matatizo ya macho.

1. Matumizi ya samaki.

Samaki ni mojawapo ya chakula ambacho limependekezwa kutumiwa na wenye matatizo ya macho kwa sababu samaki ina acidi ambayo inaweza kuzuia macho kunyauka kwa hiyo matumizi ya samaki ni muhimu.

 

2. Mbogamboga za majani.

Matumizi mengi ya mboga za majani usaidia kwa wenye matatizo ya Ugonjwa wa macho kwa sababu kuna wingi wa vitamini C ambavyo usaidia kwenye macho, hasa hasa karoti inapendekezwa saba kutumika.

 

3. Matumizi ya mayai 

Pia matumizi ya mayai ni ya muhimu sana kwa wenye matatizo ya macho kwa sababu mayai yana wingi wa vitamini A ambavyo usaidia sana kwenye watu wa matatizo ya macho.

 

4. Matumizi ya matunda.

Matumizi ya matunda ni muhimu sana kwa watu wenye matatizo ya macho hasa matunda aina ya zabibu yanapendekezwa sana ili yaweze kutumika kwa wingi na kwa kiasi kikubwa sana.

 

5. Matumizi ya karanga.

Pia wataalamu wamependekeza karanga kwa watu wenye matatizo ya macho kwa sababu karanga uwa na wingi wa vitamini E ambavyo ni muhimu kwa wenye matatizo ya macho.

 

6.kwa hiyo katika matumizi ya vyakula mbalimbali ambavyo usaidia kwenye wagonjwa wa macho tunapaswa kupunguza kiasi cha mafuta katika matumizi ya vyakula kwa sababu mafuta yanaweza kusababisha madhara mengine ambayo ni pamoja na kuziba mishipa ya mafuta na kufanya damu kushindwa kufanya kazi au kusafili kwa damu juwa kwa shida.

 

7.pamoja na kutumia vyakula hivi ni vizuri kwenda hospitalini ili kupata matibabu kama kuna Dalili mojawapo ya ugonjwa wowote wa jicho.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1215


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Faida za kitunguu maji/ onion
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu umuhimu wa kitunguu maji mwilini Soma Zaidi...

FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA TUNDA PERA
Pera ni tunda bora lakini pia ni dawa, tambua umuhimu wa tunda hili kiafya Soma Zaidi...

Faida za kula Nazi
Nazi ni katika matunda bora sana kiafya, Soma faida zake kwa afya yako Soma Zaidi...

Faida za kula nanasi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nanasi Soma Zaidi...

Faida za kula ndizi
Somo hiki linakwenda kukueleza faida za kiafya za kula ndizi Soma Zaidi...

Vyakula vya wanga na faida zake
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Stafeli
Soma Zaidi...

Faida za kula Zaituni
Matunda ya zamani, matunda ya asili, Zaituni tunda lipendezalo, zijuwe faida zake leo Soma Zaidi...

NI ZIPI KAZI ZA PROTINI MWILINI?
Makala hii inakwenda kukuletea kazi kuu za protini na vyakula vya protini katika miili yetu. Mkala hii itakusaiidia kujuwa namna ya kupangilia lishe yako kiusalama zaidi baada ya kujuwa kazi za protini katika miili yetu. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula maharagwe, njegere, kund na mbaazi
Soma Zaidi...

Faida za embe
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula embe Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kunywa chai
Soma Zaidi...