image

Vyakula salama kwa mwenye kisukari

Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula salama kwa mwenye kisukari

VYAKULA SALAMA KWA MWENYE KISUKARI

1. Samaki hasa wale wenye fati kwa wingi kama samlon na sardines

2. Mbogamboga za majani

3. Palachichi

4. Mayai

5. Mbegu za chia

6. Maharagwe

7. Kitunguu thaumu

8. Nyama yandege wafugwao kama kuku

9. Kahawa

10. Vinywaji visivyowekwa sukari

11. Jusi za mbogamboga

12. Usikoboe mahindi, mchele, na mtama

13. Matunda kwa uchache





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1012


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Ulaji wa protini unasaidia kupunguza unene
Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu maji, kazizake mwilini na athari za upungufu wake mwilini
Hpa utafahamu faida za maji mwilini pamoja na athari za upungufu wa maji mwilini na dalili zake Soma Zaidi...

RANGI ZA MATUNDA
Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho Soma Zaidi...

Faida za kula Matunda
Sifanjema Ni za Mwenyezi Mungu aliyetupa Afya njema hata kuifanya kazi hii mpaka kufiia hapa. Soma Zaidi...

Faida za kula viazi mbatata
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata Soma Zaidi...

Upungufu wa vitamin C mwilini
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa vitamini C mwilini Soma Zaidi...

Vyakula kwa wenye matatizo ya macho
Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo wanapaswa kutumia watu wenye matatizo ya macho,ni vyakula ambavyo uhimalisha mishipa na sehemu nyingine za jicho na kufanya jicho lisiwe na matatizo kwa sababu tunajua wazi kuwa vyakula ni dawa. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula panzi, senene na kumbikumbi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula panzi senene na kumbikumbi Soma Zaidi...

Faida za kula Palachichi
Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako Soma Zaidi...

Faida za vitamin C mwilini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vitamini C mwilini Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula tango
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Tango
Soma Zaidi...