Post hii inahusu zaidi baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kutumika ili kuweza kuweka ini kwenye hali yake ya kawaida.
1. Kitunguu swaumu.
Kwa sababu kwa asili yake kitunguu swaumu uondoa sumu kwenye mwili na pia ulinda ini ili lisiaribiwe na Sumu.
2. Matumizi ya limau.
Pia na limau usaidia sana katika kusafisha ini , matumizi yake ni kunywa maji ya moto yaliyochanganywa na limau asubuhi kabla ya kula chochote usaidia sana kusafisha ini.
3. Tumia mboga za majani mara kwa mara kwa sababu usaidia kusafisha ini .
4. Matumizi ya parachichi na hasa mbegu yake pia usaidia sana kusafisha ini.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Usiogope kuwashwa, kula pilipili ni nzuri kwa afya yako ia virutubisho vingi sana
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukueleza faida za kula maboga, na mbegu zake kwa afya yako
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Vitamini C ni moja kati ya vitamini muhimu sana katika kuboresha ufanyaji kazi wa mfumowa kinga mwilini yaani immune system. Katika post hii utakwenda kujifunza kazi za vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...