picha

Vyakula vinavyosaidia katika kusafisha ini

Post hii inahusu zaidi baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kutumika ili kuweza kuweka ini kwenye hali yake ya kawaida.

Vyakula vinavyosaidia kusafisha na kulinda ini.

1. Kitunguu swaumu.

Kwa sababu kwa asili yake kitunguu swaumu uondoa sumu kwenye mwili na pia ulinda  ini ili lisiaribiwe na Sumu.

 

2. Matumizi ya limau.

Pia na limau usaidia sana katika kusafisha ini , matumizi yake ni kunywa maji ya moto yaliyochanganywa na limau asubuhi kabla ya kula chochote usaidia sana kusafisha ini.

 

3. Tumia mboga za majani mara kwa mara kwa sababu usaidia kusafisha ini .

 

4. Matumizi ya parachichi na hasa mbegu yake pia usaidia sana kusafisha ini.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/07/21/Thursday - 11:06:34 pm Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2867

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 ai web app    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za kula bamia

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia

Soma Zaidi...
Fahamu vyakula vya nyuzinyuzi

Posti hii moja kwa moja inaenda kuelezea vyakula vya nyuzinyuzi zinazopatikana kwenye matunda na mboga mboga.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kunywa chai

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai

Soma Zaidi...
Faida za kafya za kula asali

Post hii itakwenda kukufundisha faida za kiafya za kula asali

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume

Zijuwe dawa za kuongeza nguvu za kiume, na vyakula salama vya kuongeza nguvu za kiume

Soma Zaidi...
RANGI ZA MATUNDA

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...
Faida kula fenesi

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula fenesi

Soma Zaidi...