VYAKULA VINAVYOSAIDIA KUPUNGUZA UZITO


image


Posti hii inahusu vyakula ambavyo vinasaidia kupunguza uzito, ni baadhi ya vyakula ambavyo unaweza kutumia ili kuweza kuweka kwenye hali ya kawaida.


Vyakula vinavyosaidia kupunguza uzito.

1.pamoja na kutumia njia mbalimbali za mazoezi ila kuna vyakula ambavyo ukivitumia unaweza kupunguza uzito vyakula vyenyewe ni kama tulivyoona.

 

2. Matumizi ya nyama za aina yoyote.

Yaani nyama ya ng'ombe, nguruwe,kuku na mbuzi hazina effects yoyote unaweza kutumia.

 

3. Samaki aina yoyote ile na matumizi ya mboga mboga za majani na matunda yasiyokuwa na sukari.

 

4. Matumizi ya karanga aina yoyote ile unaweza kutumia pamoja na siagi.

 

5. Mafuta ya mimea ila kwa kiwango kidogo.

 

6. Baadhi ya matunda yasiyo na sukari nyingi.

 

7. Bidhaa za mafuta zisizokuwa na sukari nyingi



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    2 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    3 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    4 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    5 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    6 Jifunze fiqh    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Fahamu kuhusu vitamini C na kazi zake
Makala hii itakujulisha kazi kuu za vitamini C mwilini. Hapa pia utatambuwa ni kwa nini tunahitaji vitamini C na wapi tutavipata Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za kula biringanya (eggplant)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula biringanya eggplant) Soma Zaidi...

image Faida za kahawa mwilini.
Posti hii inahusu zaidi faida za kahawa mwilini, ni faida ambazo ujitokeza hasa kwa watumiaji wa kahawa. Soma Zaidi...

image Naombakujua kujua Kama huu uyoga unasaidia kansa Kama kwawazee
Mpaka sasa hakuna dawa ya kuponyesha saratani wala kinga ya saratani. Hata hivyo vipo vyakula ambavyo vinakadiriwa kuwa hupunguza hatari ya kuweza kupata saratani. Je unadhani uyoga ni moja ya vyakula hivyo? Soma Zaidi...

image Vyakula gani ambavyo sitakiwi kula kama nina pressure ya kupanda
Post hii itakufundisha kwa ufupi vyakula vya kuviepuka kama una presha ya kupanda. Soma Zaidi...

image Vyakula vyenye maji kwa wingi
Somo Hili linakwenda kukuletea vyakula vyeny maji kwa wingi na umuhimu wake mwilini Soma Zaidi...

image Faida za uyoga mwekundu
Posti hii inahusu zaidi faida kuhusu uyoga mwekundu ni uyoga unaopatikana katika sehemu mbalimbali na pia kuna waliofanikiwa kupandikiza na kuweza kuvuna ila uyoga huu una siri mbalimbali kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za viazi vitamu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi vitamin Soma Zaidi...

image Kazi na mdalasini katika kutibu matatizo ya homoni.
Posti hii inahusu zaidi kazi ya mdalasini katika matibabu ya homoni kwa wanawake. Soma Zaidi...

image Faida za kunywa maziwa
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kunywa maziwa kiafya Soma Zaidi...