PoPosti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo unaweza kutumia iwapo umepata tatizo la kiungulia
1. Matumizi ya tangawizi.
Kwa sababu tangawizi zina vitamin A,C,E,B madini ya chuma, madini ya zink magnesium, phosphorus,calcium, beta carotene hivyo utumika kutibu tatizo hili la gasi tumboni na kiungulia.
2. Juice ya mshubiri.
Kwa kitaalamu juisi hii huitwa (Aloevena) utibu. Vidonda vya tumbo na kiungulia na pia usaia katika mmeng'enyo wa chakula.
3. Kitunguu swaumu.
Ukichanganywa na asali usaidia sana katika mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.
4. Siki ya Tufaha.
Kwa kitaalamu huitwa apple vinegar unatumia vijiko viwili kwa siku nayo usaidia sana kwa kutibu kiungulia na usaidia kwenye mmeng'enyo wa chakula.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za kutibu kiungulia
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya cardiac glycoside katika matibabu ya magonjwa ya moyo,dawa maalum ambayo imo kwenye kundi hili la cardiac glycoside ni digoxin, ni dawa muhimu ambayo utumika kwenye mfumo wa vidonge mara nyingi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya macrolide ni mojawapo ya dawa ya kutibu au kupambana na bakteria na upambana na bakteria wafuatao streptococcus pyogenes, staphylococcus aureus na haihusiki na haemophilia influenza ambao usababisha maambukizi kwenye mfumo w
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Parental Artusnate ni dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria sugu kama tutakavyoona hapo baadaye.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Rifampin kama dawa mojawapo ya kutibu kifua kikuu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu madawa yanayotolewa hospitalini, ni imani waliyonayo Watu hasa Watu wa bi vijijini na hata wa mjini nao wameanza kutumia madawa ya miti shamba kwa wingi.
Soma Zaidi...Ibuprofen ni mojawapo ya dawa zinazotumiwa sana duniani kote! Ili kupunguza maumivu na kuvimba, agiza Ibuprofen leo na upate afya bora! Ni kiungo amilifu katika dawa za jina kama vile Motrin na zaidi. Ibuprofen pia inaweza kuuzwa kama: Advil Motrin,
Soma Zaidi...