Vyakula vya fati na mafuta na kazi zake

Vyakula vya fati na mafuta na kazi zake

VYAKULA VYA FATI

  1. Karanga
  2. Nazi
  3. Maziwa
  4. Mayai
  5. Korosho
  6. Palachichi
  7. Nyama
  8. Samaki
  9. Nafaka

 

Kazi za fati mwilini

  1. Kazi kuu ya fati mwilini ni kutupatia joto.
  2. Fati pia ni chanzo cha nishati mwilini
  3. Utando wa seli umetangenezwa na chembechembe za fati
  4. Ubongo umetengenezwa na fati kwa asilimia 60
  5. Fati husaidia katika ubebwaji wa vitamini ndani ya mwili


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1126

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Faida za kula passion

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion

Soma Zaidi...
VYANZO VYA VYAKULA VYA VITAMINI NA FAIDA ZAKE

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Zabibu (grapefruit)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za zabibu

Soma Zaidi...
Dawa ya kiungulia na njia za kuzuia kiungulia

utajifunza njia za kuzuia kiungulia, dalili za kiungulia na dawa ya kutibu kiungulia.

Soma Zaidi...
Tangawizi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi

Soma Zaidi...
Ni katika kiungo kipi cha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula virutubisho hufonzwa?

Post hii itakupa elimu kuhusu mfumo wa mmrng'enyobwa chakula unavyo fanyankazi

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula magimbi/ taro roots

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi

Soma Zaidi...
Matunda yenye Vitamin C kwa wingi

Vitamin C ni katika vitamin vinavyosaidia sana mfumo wa Kinga kulinda mwili dhidi ya vimelea vya maradhi. Hapa nitakuletea orodha ya matunda ambayo yana vitamini C kwa wingi.

Soma Zaidi...
Faida za kula apple (tufaha)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha

Soma Zaidi...
Faida za kula Papai

Okoa afya yako kwa kula tunda papai, kwa hakika hutajuta, papai lina virutubisho vingi

Soma Zaidi...