Vyakula vya fati na mafuta na kazi zake
VYAKULA VYA FATI
- Karanga
- Nazi
- Maziwa
- Mayai
- Korosho
- Palachichi
- Nyama
- Samaki
- Nafaka
Kazi za fati mwilini
- Kazi kuu ya fati mwilini ni kutupatia joto.
- Fati pia ni chanzo cha nishati mwilini
- Utando wa seli umetangenezwa na chembechembe za fati
- Ubongo umetengenezwa na fati kwa asilimia 60
- Fati husaidia katika ubebwaji wa vitamini ndani ya mwili
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 ai web app 👉6 Kitabu cha Afya
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 ai web app 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
FAIDA ZA MAJI MWILINI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Vyakula vya vitamin C
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin C
Soma Zaidi...Sababu zinazoweza kusababisha kukosa choo (kinyesi)
Kukosa choo aina ya kinyesi ni kutoweza kudhibiti kinyesi, hivyo kusababisha kinyesi kuvuja bila kutarajiwa kutoka kwenye puru. Pia huitwa kutoweza kudhibiti utumbo, Upungufu wa kinyesi hutoka kwa kuvuja mara kwa mara kwa kinyesi huku ukipitisha gesi had
Soma Zaidi...