Vyakula vya fati na mafuta na kazi zake
VYAKULA VYA FATI
- Karanga
- Nazi
- Maziwa
- Mayai
- Korosho
- Palachichi
- Nyama
- Samaki
- Nafaka
Kazi za fati mwilini
- Kazi kuu ya fati mwilini ni kutupatia joto.
- Fati pia ni chanzo cha nishati mwilini
- Utando wa seli umetangenezwa na chembechembe za fati
- Ubongo umetengenezwa na fati kwa asilimia 60
- Fati husaidia katika ubebwaji wa vitamini ndani ya mwili
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 web hosting 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 ai web app
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 web hosting 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
Faida za kula apple (tufaha)
Posti hii itakwende kukueleza kuhusu faida za kula apple na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Vitamini na kazi zake
Posti hii inahusu zaidi vitamini mbalimbali na kazi zake kwenye mwili,vitamini ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...UPUNGUFU WA VITAMIN NA MAJI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula fyulisi/ peach
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/peach
Soma Zaidi...