Vyakula vya fati na mafuta na kazi zake
VYAKULA VYA FATI
- Karanga
- Nazi
- Maziwa
- Mayai
- Korosho
- Palachichi
- Nyama
- Samaki
- Nafaka
Kazi za fati mwilini
- Kazi kuu ya fati mwilini ni kutupatia joto.
- Fati pia ni chanzo cha nishati mwilini
- Utando wa seli umetangenezwa na chembechembe za fati
- Ubongo umetengenezwa na fati kwa asilimia 60
- Fati husaidia katika ubebwaji wa vitamini ndani ya mwili
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 web hosting 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 Dua za Mitume na Manabii
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 web hosting 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Vyakula vyenye vitamini C kwa wingi
Vitamini C kwa wingi hupatikana kwenye machungwa, maembe, mananasi, limao na ndimu
Soma Zaidi...Faida za mchai chai
Posti hii inahusu zaidi faida za mchai chai, ni mmea ambao upandwa na watu kama maua, dawa au kikolezo cha chai na Kuna wengine kabisa wanatumia kama sehemu Mojawapo ya dawa kwa hiyo tutaona faida za mmea huu wa mchai chai.
Soma Zaidi...