picha

Vyakula vya fati na mafuta na kazi zake

Vyakula vya fati na mafuta na kazi zake

VYAKULA VYA FATI

  1. Karanga
  2. Nazi
  3. Maziwa
  4. Mayai
  5. Korosho
  6. Palachichi
  7. Nyama
  8. Samaki
  9. Nafaka

 

Kazi za fati mwilini

  1. Kazi kuu ya fati mwilini ni kutupatia joto.
  2. Fati pia ni chanzo cha nishati mwilini
  3. Utando wa seli umetangenezwa na chembechembe za fati
  4. Ubongo umetengenezwa na fati kwa asilimia 60
  5. Fati husaidia katika ubebwaji wa vitamini ndani ya mwili


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 1977

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 web hosting     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

FAIDA ZA KULA ZABIBU

Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za kula zabibu na umuhimu wake kiafya

Soma Zaidi...
Faida za kahawa mwilini.

Posti hii inahusu zaidi faida za kahawa mwilini, ni faida ambazo ujitokeza hasa kwa watumiaji wa kahawa.

Soma Zaidi...
Vinywaji vyakula salama kwa mwenye Presha ya kupanda

Je umesha wahi kujiuliza kuwa ni vinywaji vipi mwenye presha ya kupanda anafaha kutumia, Unadhani ni maji, mvinyo wa pombe, chai na kahawa. Bila shaka ungependa kujuwa zaidi kuhusu jambo hili. Makala hii ni kwa ajili yako

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula biringanya (eggplant)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula biringanya eggplant)

Soma Zaidi...