picha

Vyakula vya fati na mafuta na kazi zake

Vyakula vya fati na mafuta na kazi zake

VYAKULA VYA FATI

  1. Karanga
  2. Nazi
  3. Maziwa
  4. Mayai
  5. Korosho
  6. Palachichi
  7. Nyama
  8. Samaki
  9. Nafaka

 

Kazi za fati mwilini

  1. Kazi kuu ya fati mwilini ni kutupatia joto.
  2. Fati pia ni chanzo cha nishati mwilini
  3. Utando wa seli umetangenezwa na chembechembe za fati
  4. Ubongo umetengenezwa na fati kwa asilimia 60
  5. Fati husaidia katika ubebwaji wa vitamini ndani ya mwili


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2259

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 web hosting     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Vyakula vinavyosaidia kupunguza uzito

Posti hii inahusu vyakula ambavyo vinasaidia kupunguza uzito, ni baadhi ya vyakula ambavyo unaweza kutumia ili kuweza kuweka kwenye hali ya kawaida.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kunywa chai

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula kitunguu thaumu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu

Soma Zaidi...
Matunda yaliokuwa na vitamini C vingi

Hii ni orodha ya matunda yenye vitamini C kwa wingi sana ikiwemo machungwa, mapera na mapapai

Soma Zaidi...
Vyakula murajabu kea mwenye presha ya kushuka

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula murajabu kea mwenye presha ya kushuka

Soma Zaidi...