picha

Vyakula vya vitamini k na faida zake

Vyakula vya vitamini k na faida zake

VYAKULA VYA VITAMINI K

  1. Nyama
  2. Mayai
  3. Siagi
  4. Maziwa
  5. Mchicha
  6. Kabichi
  7. Spinachi
  8. Kisamvu
  9. Mapalachichi
  10. Zabibu
  11. Matunda mengine
  12. Mboga nyingine za kijani

 

Faida na kazi za vitamini K mwilini

  1. Husaidia katika kuganda kwa damu
  2. Husaidia katika kuboresha afya ya ubongo
  3. Husaidia katika kuthibiti matumuzi ya madini ya calcium mwilini
  4. Husaidia katika kulinda afya ya mifupa
  5. Husaidia katika kuimarisha afya ya moyo


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 3327

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 ai web app     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Faida za ukwaju (tamarind)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za ukwaju

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula kunazi/ lote tree

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kunazi/ lotetree

Soma Zaidi...
Vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo, na vyakula salama kwa vidonda vya tumbo

Makala hii inakwenda kufundisha vyakuna na vinjwaji salama anavyopaswa kutumia mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Pia utajifunza vyakula na vinywaji hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.

Soma Zaidi...
Tangawizi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi

Soma Zaidi...