Vyakula vya vitamini k na faida zake
VYAKULA VYA VITAMINI K
- Nyama
- Mayai
- Siagi
- Maziwa
- Mchicha
- Kabichi
- Spinachi
- Kisamvu
- Mapalachichi
- Zabibu
- Matunda mengine
- Mboga nyingine za kijani
Faida na kazi za vitamini K mwilini
- Husaidia katika kuganda kwa damu
- Husaidia katika kuboresha afya ya ubongo
- Husaidia katika kuthibiti matumuzi ya madini ya calcium mwilini
- Husaidia katika kulinda afya ya mifupa
- Husaidia katika kuimarisha afya ya moyo
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 ai web app 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 ai web app 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula kunazi/ lote tree
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kunazi/ lotetree
Soma Zaidi...Vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo, na vyakula salama kwa vidonda vya tumbo
Makala hii inakwenda kufundisha vyakuna na vinjwaji salama anavyopaswa kutumia mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Pia utajifunza vyakula na vinywaji hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...