image

Vyanzo vya magonjwa yanayotokea kwenye sehemu za siri

Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya magonjwa yanayotokea kwenye sehemu za siri,kwa sababu siku kwa siku kuna magonjwa mengi yanayotokea kwenye sehemu za siri ila kuna vyanzo mbalimbali ambavyo usababisha kuwepo kwa magonjwa kwenye sehemu mbalimbali za siri

Vyanzo vya magonjwa yanayotokea kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

1. Kuna matumizi ya njia za uzazi wa mpango kwa kutumia vitanzi.

Kwa kawaida kwenye njia ya via vya uzazi hapatakuwi kitu chochote kuwepo isipokuwa kama kuna mimba na mfumo mzima wa mzunguko wa damu ila kwa matumizi ya njia za uzazi wa mpango kama vile kuwepo kwa vitanzi ambayo vina kemikali mbalimbali ambazo uzuia mimba kutungwa, kwa sababu ya kuwepo kwa kemikali hizo usababisha kiasi kikubwa cha kuwepo kwa magonjwa mbalimbali kwenye sehemu za siri.kwa hiyo katika matumizi ya vitanzi ni vizuri kuwasiliana na wataalamu wa afya ili kuweza kupata matumizi sahihi.

 

2. Kubadilisha wapenzi mara kwa mara.

Kuna tabia ya watu wanaobadilisha wapenzi mara kwa mara , kumbuka wapenzi hao kila mtu ana ugonjwa wake kwa hiyo katika matumizi ya wapenzi hao bila kutumia kinga usababisha kuwepo kwa magonjwa ya siri.

 

3. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa na mpenzi mmoja kama haujaolewa au ukiamua kuchepuka ni lazima kutumia kinga ili kuweza kuepukana na magonjwa ya siri kwa hiyo ni vizuri kabisa kupata hata matibabu na ushauri kutoka kwa wataalamu wa afya ili kuweza kuepukana na madhara ya kuwepo kwa magonjwa kwenye sehemu za siri.

 

4. Matumizi ya bidhaa za marashi na aina yoyote ya vipodozi kwenye sehemu za siri.

Kuna tamaduni au utaratibu ambao unagundulika kila siku ambapo wanawake wanapenda kuweka mafuta na maradhi kwenye sehemu za siri ili kuweza kuwa kufurahisha wanaume zao, haya manukato na marashi usababisha kuua bakteria walio wazuri na kusababisha kuwepo kwa Ugonjwa kwenye sehemu za siri.

 

5. Kunyonywa kwenye sehemu za siri.

Kwa sababu ya maendeleo ya sayansi na teknolojia kuna kila aina ya vitu vinaibuka kila siku ambapo wanaume wengi wanapofanya ngono au wanapojamiiana mwanaume umnyonya mwanamke ili kuweza kusisimua hisia ,kwa hiyo mwanaume uweka bakteria wa mdomo wake kwenye uke ambapo Usababisha kuwepo kwa bakteria wa mdomo kwenye uke na kusababisha magonjwa kwenye sehemu za siri.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1385


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Dalili za ukimwi, unavyoenezwa na njia za kujikinga
Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.unasababishwa na virusi ambavyo hutokea kwa mtu mwingine kwa njia mbalimbali Soma Zaidi...

Sababu za maumivu ya uti wa mgongo
Posti hii inahusu zaidi sababu za uti wa mgongo, ni ugonjwa unaotokana na kuwa na maumivu kwenye uti wa mgongo, hasa hasa ugonjwa huu ushambulia watu kuanzia miaka ishilini mpaka kwenye arobaini hivi, zifuatazo ni sababu za maumivu katika uti wa mgongo. Soma Zaidi...

Njia za kupunguza ugonjwa wa zinaa
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika Ili kuweza kupunguza kuwepo kwa magonjwa ya zinaa Soma Zaidi...

Dalili za vidonda vya tumbo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za vidonda vya tumbo Soma Zaidi...

Jinsi ya kujilinda na maradhi ya ini
Hapa nitakueleza namna ambavyounaweza kupunguza hatari ya kupata maradhi ya ini. Kwa njia hizi unaweza kujikina wewe na wengineo na maradhi haya hatari ya ini. Soma Zaidi...

Saratani ya tishu zinazounda Damu mwilini (leukemia)
Post hii inaelezea kuhusiana na Saratani ya tishu zinazounda damu mwilini, ikijumuisha uboho na mfumo wa limfu.ugonjwa huu kitaalamu huitwa leukemia. Soma Zaidi...

Dalili za VVU
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za VVU Soma Zaidi...

Zijue dalili za maambukizi ndani ya sikio na madhara yake
Sikio ni mojawapo ya milango ya fahamu inayotumiwa kwa ajili ya kusikia, Kuna wakati mwingine hushambulia na bakteria na virusi Soma Zaidi...

Dalili za fangasi wa sehemu za Siri kwa wanaume
Posti hii inakwenda kukuletea dalili za fangasi wa sehemu za Siri kwa wanaume Soma Zaidi...

Sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye kiuno
Posti hii inahusu zaidi sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye viungo, ni ugonjwa unaowapata na wanaume ila kwa wanaweza unaowapata sana ukilinganisha na wanaume. Soma Zaidi...

Yajue magonjwa nyemelezi.
Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi ambayo kwa kawaida utokea pale ambapo kinga ya mwili inashuka. Soma Zaidi...

Dalili za minyoo mviringo (ascariasis)
Ascariasis ni aina ya maambukizi ya minyoo mviringo. Minyoo hii ni vimelea wanaotumia mwili wako kama mwenyeji kukomaa kutoka kwa mabuu au mayai hadi minyoo wakubwa. Minyoo ya watu wazima, ambayo huzaa, inaweza kuwa zaidi ya futi (sentimita 30) kwa Soma Zaidi...