Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa sumu mwilini, kwa sababu kuna wakati mwingine tunapata magonjwa na matatizo mbalimbali ya ki afya tunaangaika huku na huko kumbe sababu kubwa ni kuwepo kwa sumu mwilini na vyanzo vya sumu hiyo ni kama ifuatavy
1. Matumizi ya dawa za mara kwa mara.
Kuna wakati mwingine watu wanatumia dawa mara kwa mara kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo mbalimbali kwenye mwili na kusababisha kuongezeka kwa sumu mwilini kwa sababu ya matumizi ya dawa.
2. Kuna matumizi ya pombe kupita kiasi.
Kuna watu wanaotumia pombe kupita kiasi , tunajua kwa kawaida kwenye pombe kuna chemicals mbalimbali kwa hiyo kwa sababu ya matumizi ya kupita kiasi kuna uwezekano wa kuongezeka kwa sumu mwilini
3. Mazingira hatarishi kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia, mazingira nayo yanasababisha kuongezeka kwa sumu mwilini kwa sababu ya kuwepo kwa wingi wa viwanda kila sehemu kwa hiyo kuna sumu mbalimbali ambazo zinaweza kusababisha kuwepo kwa sumu mwilini.
4. Kutokuwepo kwa mlo kamili.
Kwa sababu ya hali duni ya watu walio wengi usababisha pia kuongezeka kwa sumu mwilini kwa sababu ya vyakula vinavyotumika.
5. Matumizi ya madawa makali na ya mara kwa mara, Kuna wagonjwa ambao wanaotumia madawa makali na ya Mara kwa mara nayo uongeza Sumi mwilini.
6. Uzito mkubwa kupita kiasi.
Kwa sababu ya uzito mkubwa mafuta mengi huwa yanarundikana hali ambayo usababisha kuongeza kwa Sumi mwilini.
7. Mtindo wa maisha.
Kuna watu wengine wanaishi kwa kutumia vyakula vya mafuta na chemical kila siku na kutumia vinywaji vyenye kemikali nyingi hali ambayo usababisha kuwepo kwa Sumu nyingi mwilini.
8. Matumizi ya njia za uzazi wa mpango.
Kuna wakati mwingine unakuta mama anautumia njia ya kwanza ya uzazi wa mpango inagoma anabadilisha na kufanya nyingine nayo inagoma kwa hiyo anaweza kutumia njia zaidi ya mbili na kwa kutumia chemical mbalimbali ambazyutokana na dawa hizo hali ambayo usababisha kuongezeka kwa Sumu mwilini.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi matibabu ya vidonda vya tumbo nyumbani, ni njia ya kawaida ya kujitibu vidonda vya tumbo kama tulivyoona.
Soma Zaidi...je na wewe ni mmoja katika wenye maumivu ya tumbo upande mmoja?. Basi post hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Tezi dume ambayo haijashuka si ya kawaida kwa ujumla, lakini ni ya kawaida kwa wavulana waliozaliwa kabla ya wakati.na muda mwingine zikipanda tumboni huwa hazishuki kabisa kwenye korodani.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalilili za kukosa oksijeni ambalo kitaalamu hujulikana Kama apnea.kukosa oksijeni ni tatizo ambapo kupumua kwako hukoma na kuanza unapolala.
Soma Zaidi...Hivi badovunasumbuliwa na fangasi kwenye mdomo ama ulimi. Ni dawa gani umeshatumia bila mafanikio?.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kisukari unaopelekea kukosa fahamu ni tatizo linalohatarisha maisha kisukari ambalo husababisha kupoteza fahamu. Ikiwa una kisukari, sukari ya juu ya damu (hyperglycemia) au sukari iliyopungua sana (hypoglyc
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za kifua kikuu kwa watoto,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa watoto pindi wanapopata Maambukizi ya kifua kikuu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa upele na matatibabu yake, ni ugonjwa unaosabavishwa na mdudu kwa kitaalamu huitwa mites sarcoptes scrabie mdudu huyu usababisha miwasho kwenye ngozi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia zinazotumika ili kuangalia Maambukizi kwenye mifupa.
Soma Zaidi...Je na wewe ni katika ambao wanahitaji kujuwa dalili za mimba ndani ya wiki moja? kama ndio makala hii ni kwa ajili yako. Utakwenda kuona dalili za mwanzo sana za ujauzito toka siku za mwanzoni.
Soma Zaidi...