Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata Maambukizi kwenye mifupa,
Walio katika hatari ya kupata Maambukizi kwenye mifupa.
1. Waliopata ajali na kushambuliwa kwa mifupa.
Hawa waliopatwa na ajali na mifupa ikishambuliwa wapo kwenye hatari ya kupatwa na ugonjwa huu wa Maambukizi kwenye mifupa, kwa sababu wadudu au bakteria wakishaingia kwenye mifupa na wakakuta tayari kuna udhaifu fulani na pengine mgonjwa hakutibiwa vizuri ipasavyo hali ya kuwepo kwa Maambukizi inakuwepo kwa kiasi kikubwa , kwa hiyo mtu aliyepata ajali anapaswa kutibiwa vizuri na kujilinda mda wote hasipatwe na magonjwa yoyote.
2. Kuwepo kwa vyuma kwenye mfupa au kitu chochote ambacho kimo na hakipaswi kuwepo kwenye mifupa kwa kitaalamu tunaweza kusema foreign body, kwa Sababu vitu hivi sio mahali pake vilipo pengine vimekuwepo ili kusaidia kazi mbalimbali kwenye mwili kwa sababu ya udhaifu, kwa hiyo watu wenye vitu kama hivi wana asilimia kubwa kupatwa na Maambukizi kwenye mifupa kwa hiyo wanapaswa kuwa makini ili kuepuka na maambuy kwenye mifupa .
3. Kushuka kwa kinga ya mwili.
Tunajua wazi kuwa kinga ya mwili ikishuka usababisha magonjwa mengi kuwepo kwa hiyo watu wale ambao kinga zao za mwili zimeshuka wanapaswa kuwa makini na kuhakikisha wanajikinga na ugonjwa huu wa Maambukizi kwenye mifupa, kwa hiyo wale walio na magonjwa yanayopunguza kinga ya mwili kama vile HIV na mengineyo wahakikishe kuwa wanatumia dawa ili kuweza kuweka kinga yao sawa na kuepuka ugonjwa huu wa Maambukizi kwenye mifupa.
4. Wenye umri mkubwa nao wana hatari ya kupata ugonjwa wa Maambukizi kwenye mifupa.
Tunajua kubwa umri ukiongezeka na baadhi ya viungo vinapungua kufanya kazi kwa hiyo wale wenye umri mkubwa ute ute uisha kwenye mifupa na baadhi yao mifupa uanza kuuma kwa hiyo kiasi cha kushambuliwa na bakteria inakuwa kubwa, kwa hiyo wenye umri mkubwa wanapaswa kula vyakula vya kuongeza ute ute kwenye mifupa na kula vyakula vya kuongeza kinga mwilini.
5. Kwa hiyo tukumbuke kwamba ugonjwa huu ukitibiwa mapema unatibika na pia tuwe na utaratibu wa kwenda hospitali mara baada ya kusikia mabadiliko kwenye mwili na tunaweza kupunguza magonjwa mengine ambayo ni nyemelezi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye nephroni, ni njia zinazotumika kuzuia maambukizi kwenye nephroni
Soma Zaidi...post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuishiwa damu kwa kitaalamu huitwa(Anemia) ni ugonjwa wa kuishiwa na damu mwilini na kusababisha maisha ya mtu kuwa hatarini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata Maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi,ni kutokana na kazi zao pamoja na mazingira yao kwa hiyo wako kwenye hatari ya kupata Ugonjwa wa ukimwi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dalili za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, ingawa sio watu wote wenye dalili kama hizi Wana uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo Ila zikitokea mtu anapaswa
Soma Zaidi...Kubana kwa kifuwa ni katika hali ambazo si naweza kuhatarisha maisha. Huwenda kuwa ni miongoni mwa dalili za magonjwa mengi. Je unadhani na HIv na UKIMWI ni moja ya magonjwa hayo?
Soma Zaidi...Virusi vya Ebola ni virusi vinavyohusiana vinavyosababisha Homa zaรย hemorrhagic magonjwa yanayoambatana na kutokwa na damu nyingi (kuvuja damu), viungo kushindwa kufanya kazi na, mara nyingi, kifo. Virusi vya Ebola na virusi huishi kwa wanyama, na wanad
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi visababishi vya maambukizi kwenye milija na, ni mambo yanayosababisha maambukizi kwenye milija na ovari.
Soma Zaidi...Upasuaji ni kundi la ki medical linalohusu kutoa kiungo kisichohitajika kwenye mwili.
Soma Zaidi...Kiharusi cha joto ni hali inayosababishwa na joto la juu la mwili wako, kwa kawaida kama matokeo ya kufichuliwa kwa muda mrefu au bidii ya mwili katika joto la juu. Aina hii mbaya zaidi ya jeraha la joto, kiharusi cha joto kinaweza kutokea ikiwa joto
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia kuaribika kwa figo, hizi ni njia zinazotumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuaribika kwa figo na hasa wale ambao hawajapata tatizo hili wazitumie ili tuone kama tutaweza kupunguza tatizo hili.
Soma Zaidi...