image

Walio kwenye hatari ya kupata UTI

Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye hatari ya kupata UTI, ni watu ambao wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa UTI kwa sababu ya mazingira mbalimbali kama ifuayavyo.

Walio kwenye hatari ya kupata UTI

1.Mkojo kubaki kwenye kibofu Cha mkojo baada ya kukojoa, tukumbuke kwenye mkojo Kuna bakteria ambao ukaa ndani ya mkojo, kwa hiyo mtu yeyote akikojoa na bakteria hao Wakabaki ukua na kusababisha maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo bakteria hai ukua na kusambaa kwenye sehemu mbalimbali za kibofu Cha mkojo na atimaye mtu Upata UTI.

 

2. Kutokunywa maji au kunywa maji kidogo.

Ikitokea Mtu akawa hanywi maji au anakunywa maji kidogo usababisha bakteria kukua na kuongezeka kwenye kibofu Cha mkojo , kwa sababu mtu anapokunywa maji usaidia kupunguza bakteria kwenye kibofu Cha mkojo lakini mtu hasipokunywa maji bakteria ubaki na kukua na kusambaa kwenye kibofu Cha mkojo, tatizo hili uwapata watu wale wanaotumia pombe badala ya maji na kusababisha maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.

 

3. Kama mkojo ni alkaline sana usababisha wadudu waendelee kukua na kuongezeka kwenye kibofu Cha mkojo. Hii utokea kwa watu wale ambao mkojo wao ni alkaline sana kuliko asidi bakteria ukaa hump na kukua na kusambaa kwenye sehemu mbalimbali za mwili na kwenda kibofu, kwa hiyo maji ni lazima Ili kuweza kufanya kiasi Cha alkaline na asidi viwe sawia kwa hiyo tujitahidi kurekebisha kiasi Cha alkaline kwenye mkojo.

 

4. Kushindwa kutibu maambukizi kwenye kibofu.

Kushindwa kutibu maambukizi kwenye kibofu usababisha maambukizi kuenea sehemu mbalimbali za mwili na na kusababisha madhara makubwa katika kibofu Cha mkojo, ambapo bakteria usambaa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine kwa hiyo maambukizi uongezeka.

 

5. Kutotahiriwa kwa wavulana.

Kama wavulana hawajatahiliwa wadudu wanaweza kukaa kwenye ngozi ya kiume ambayo haijatahiriwa na kukua na kukomaa hatimaye kusambaa sehemu mbalimbali za  mwili na kusababisha ugonjwa wa UTI.

 

6. Kutawadha kutoka nyuma kwenda mbele.

Watu wale wanaotawadha kutoka nyuma kwenda mbele wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa UTI kwa sababu wadudu utoka kwenye kinyesi na kuingia kwenye kibofu Cha mkojo na Maambukizi yanaweza kuenea kutoka sehemu Moja kwenda nyingine na UTI ni shida kupona kwa watu ambao utawadha kutoka nyuma kwenda mbele.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 781


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

MARADHI MENGINE 10 YANAYOTOKANA NA MBU ( matende, ngirimaji, homa ya manjano, n.k
Tofauti na maradhi yaliyotajwa hapo juu pia tafiti za kisayansi zimethibitisha kuwepo kwa maradhi mengine hatari yanayosambazwa na mbu, kama vile ngirimaji pamoja na matende. Soma Zaidi...

Zijue sababu za kushindwa kushuka kwa makende (testicle))
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kushindwa kushuka kwa makende kutoka kwenye tumbo kwenda kwenye skolatumu(scrotum). Soma Zaidi...

Dalili za mtu mwenye ugonjwa wa kuishiwa damu
Posti hii inahusu zaidi dalili za mtu mwenye ugonjwa wa kupungukiwadamu, ni dalili zinazoonekana kwa mtu Mwenye tatizo la upungufu wa damu. Soma Zaidi...

Sababu za maumivu ya tumbo kwa chini uapande wa kushoto
Zijuwe sababu kuu zinazokufanya ukahisi maumivu makali ya tumbo kwa chini upande wa kushoto Soma Zaidi...

Athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito
Post inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito au ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri.ugonjwa huu uleta madhara kwa wajawazito kama tutakavyoona Soma Zaidi...

Dalili za Ugonjwa wa mapigo ya moyo
Mapigo ya moyo ni hisia za kuwa na moyo wa haraka, Kupepesuka au kudunda. Mapigo ya moyo yanaweza kuchochewa na mafadhaiko, mazoezi, dawa au, mara chache, hali ya kiafya. Ingawa mapigo ya moyo yanaweza kuwa ya kutisha, kwa kawaida hayana madhara. Katik Soma Zaidi...

KISUKARI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Mambo ya kufanya kama una kiungulia
Posti hii inahusu zaidi mambo ambayo unapaswa kufanya kama una tatizo la kiungulia. Soma Zaidi...

dalili za mwanzo za ukimwi kwa mwanamke
Katika makala hii utakwenda kuzijuwa baadhi ya dalili za ukimwi ama HIV kwa mwanamke Soma Zaidi...

Mie ni mwanamke ninamaumivu chini ya kitovu upande wa kushoto, na nikishika tumbo nahisi kitu kigumu upande huo huo wa kushoto... hii itakua ni nini?
Je unasumbuliwa na maumivuvya tumbo chini ya kitovu upande wa kushito. Post hii itakuletea sababu za maukivubhayo na nini ufanye. Soma Zaidi...

Njia za kuzuia uwepo wa ugonjwa wa Bawasili.
Posti hii inahusu zaidi njia au mbinu ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuepuka kuwepo kwa ugonjwa wa Bawasili kwenye jamii, hizi ni njia za awali za kupambana na kuwepo kwa Ugonjwa wa Bawasili. Soma Zaidi...

Daliliza shinikizo la Chini la damu.
Shinikizo la chini la damu (hypotension) litaonekana kuwa jambo la kujitahidi. Hata hivyo, kwa watu wengi, shinikizo la chini la damu linaweza kusababisha dalili za Kizunguzungu na kuzirai. Katika hali mbaya, shinikizo la chini la damu linawez Soma Zaidi...