Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Kwa mujibu wa Qur’an (4:36) na (51:9);
- Sadaqat hupewa wale wale wanaopewa Zakat lakini bila kiwango au muda
maalumu au kufikia nisaab.
- Sadaqat hupewa mwanaadamu yeyote hata wasiokuwa Waislamu ikiwa tu ni
mwenye kuhitajia.
- Kila muislamu anao uwezo wa kutoa sadaqat, kwani inahusika na kutoa mali,
huduma, tabia nzuri, n.k.
Rejea Qur’an (2:263).
- Pia haifai kurejesha sadaqat baada ya kuitoa.
Rejea Hadith ya Umar (r.a); Kitabu cha 2; EDK. Uk. 80.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Hapa tunakwenda kuona jinsi ya kuzitathmini swala zetu.
Soma Zaidi...Nguzo za imani, maana ya sadaqat (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Hapa utajifunza watu ambao wanalazimika kufunga mwezi wa Ramadhani.
Soma Zaidi...Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Benki za KiislamuBenki za Kiislamu ambazo hutoa huduma kama benki nyingine zinaendeshwa katika msingi wa biashara na sio ule wa riba.
Soma Zaidi...Zaka, kilugha ni kukua; kubariki na kuzidi kheri.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...