Wanaostahiki kupewa sadaqat

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Kwa mujibu wa Qur’an (4:36) na (51:9);

        -    Sadaqat hupewa wale wale wanaopewa Zakat lakini bila kiwango au muda

                  maalumu au kufikia nisaab.

       

        -   Sadaqat hupewa mwanaadamu yeyote hata wasiokuwa Waislamu ikiwa tu ni

                              mwenye kuhitajia.

 

-   Kila muislamu anao uwezo wa kutoa sadaqat, kwani inahusika na kutoa mali,

     huduma, tabia nzuri, n.k.

     Rejea Qur’an (2:263).

 

-   Pia haifai kurejesha sadaqat baada ya kuitoa.   

   

     Rejea Hadith ya Umar (r.a); Kitabu cha 2; EDK. Uk. 80.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1574

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 web hosting    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana: