picha

Wanaostahiki kupewa sadaqat

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Kwa mujibu wa Qur’an (4:36) na (51:9);

        -    Sadaqat hupewa wale wale wanaopewa Zakat lakini bila kiwango au muda

                  maalumu au kufikia nisaab.

       

        -   Sadaqat hupewa mwanaadamu yeyote hata wasiokuwa Waislamu ikiwa tu ni

                              mwenye kuhitajia.

 

-   Kila muislamu anao uwezo wa kutoa sadaqat, kwani inahusika na kutoa mali,

     huduma, tabia nzuri, n.k.

     Rejea Qur’an (2:263).

 

-   Pia haifai kurejesha sadaqat baada ya kuitoa.   

   

     Rejea Hadith ya Umar (r.a); Kitabu cha 2; EDK. Uk. 80.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/01/06/Thursday - 01:13:59 am Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1710

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Jinsi ya kiswali swala ya haja

Post hii itakufundisha kuhusu swala ya haja na jisi ya kuiswali.

Soma Zaidi...
maana ya uchumi kiislamu

Maana ya UchumiMfumo wa maisha wa Kiislamu humuelekeza binaadamu kujenga na kudumisha uhusiano wake na Al-lah (s.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kufanya suluhu kati ya mume na mke.

Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu jinsi ya kufanya suluhu katika ndoa.

Soma Zaidi...
Ni upibutaratibu wa kuingia eda na kutoka eda

Katika uislamu hakuna sheria ya mwanamke kuingizwa eda na kutolewa eda kama ilivyozoeleka. Endelea na post hii ujifunze zaidi

Soma Zaidi...