Watu walio hatarini kupata fangasi
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya watu walio hatarini kupata fangasi
WATU WALIO HATARINI KUPATA FANGASI HAWA
1.Wachafu
2.Kuwa na mikunjomikunjo kwenye ngozi kama kitambi
3.Wenye kisukari
4.Wenye HIV
5.Wenye saratani
6.Wenye kutumia baadhi ya madawa ya kuzuia mimba
7.Wajawazito
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π2 Bongolite - Game zone - Play free game π3 Kitau cha Fiqh π4 kitabu cha Simulizi π5 Madrasa kiganjani π6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Ni dalili zipi za awali za ujauzito katika wiki ya kwanza?
Kujua kama ni mjamzito katika wiki za kwanza inaweza kuwa changamoto kwa sababu dalili nyingi hufanana na zile za kabla ya hedhi (PMS). Ingawa mabadiliko ya kibaolojia huanza mara tu baada ya utungisho wa yai, dalili za dhahiri mara nyingi huanza kujitokeza kuelekea mwishoni mwa wiki ya pili au ya tatu. Makala hii inaangazia mabadiliko madogo ambayo mwili wako unaweza kuanza kuyaonyesha katika hatua hizi za awali
Soma Zaidi...Usingizi mzuri: Faida zake kiafya na jinsi ya kuupata.
Usingizi mzuri ni nguzo ya msingi ya afya ya binadamu, ikiwa na umuhimu sawa na lishe bora na mazoezi ya viungo. Katika ulimwengu wa sasa wenye shughuli nyingi, wengi wetu hupuuza umuhimu wa kupata usingizi wa kutosha. Makala haya yanachunguza faida za ajabu za usingizi kwa mwili na akili, pamoja na mbinu za kisayansi unazoweza kuzitumia ili kuhakikisha unapata mapumziko bora kila usiku.
Soma Zaidi...Ni bakteria gani husababisha ugonjwa wa pumu
Post hii inakwenda kujibu swali linalosema je ni bakteria aina gani husababisha igonjwa wa pumu.
Soma Zaidi...Dalili kuu za minyoo
Minyoo ni katika viume wanyonyaji, wanaoishi katika miili ya viumbe hai na kujipatia chakula humo. Minyoo wanaweza kuishi kwenye maeneo yenye majimaji kama kwenye maji, ndani ya viumembe hai kama mtu, ngombe, ngure na paka. Minyoo pia wanaweza kuishi kwen
Soma Zaidi...Malaria: Dalili za mwanzo na matibabu yake.
βMalaria haichagui umri wala jinsia. Kwa kuwa dalili zake za mwanzo mara nyingi hufanana na zile za magonjwa mengine kama homa ya mafua (flu) au homa ya matumbo (typhoid), watu wengi hupuuzia na kujitibia dawa za maumivu. Ucheleweshaji wa kupata matibabu sahihi unaweza kusababisha malaria kali (severe malaria), ambayo inaweza kuathiri viungo vya mwili kama ubongo, figo, na ini, na kusababisha kifo. Uelewa wa kina ndio silaha kuu ya kupambana na ugonjwa huu.
Soma Zaidi...Maandalizi ya kisaikolojia na kimwili kabla ya kubeba mimba.
Kupanga kupata mtoto ni uamuzi mkubwa na wa furaha katika maisha ya mtu. Hata hivyo, safari hii haihitaji tu matamanio, bali inahitaji maandalizi ya kina. Makala hii inaangazia misingi ya kujiandaa kisaikolojia na kimwili ili kuhakikisha afya ya mama na mtoto, na kuimarisha utayari wa kuwa mzazi katika kipindi chote cha ujauzito
Soma Zaidi...