Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano,. Ni magonjwa yanayowapata watoto wadogo kwa sababu kinga Yao bado ni ndogo.
Magonjwa nyemelezi kwa watoto chini ya miaka mitano.
Malaria
_ ni ugonjwa unaoshambulia sana watoto wadogo na kuwaweka katika mazingira ya hatari katika makuzi ya mtoto,
2.Neumonia
_ Ni ugonjwa unaoshambulia mfumo wa upumuaji na kusababisha matatizo mengi sana kwa watoto
3. Anemia
_ Ni ugonjwa unaosababisha upungufu wa damu kwa watoto
4. Kuharisha
Ni ugonjwa unaoshambulia sana watoto wadogo chini ya umri wa miaka mitano na kumaliza maji mwilini
5. Degedege ni ugonjwa hatari ambao ushambulia watoto na pengine kuwaachia ulemavu wa kudumu.
Magonjwa haya yapo kwenye mazingira yetu na yanatibika, tuwapeleke watoto wetu hospitalini Ili watibiwe na dawa zipo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Hapa tutaona kuhusu virutubisho vya wanga, kazi zake na athari za upungufu wake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya hatari kwa mjamzito hasa mimba changa
Soma Zaidi...zijuwe faida za kula njegere kiafya na umuhimu wa kula jegere pia jifunze njegere zina kazi gani mwilini?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi juu ya madini ya zinki na faida zake katika mwili wa binadamu,
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza faida na matumizi ya asali mwilini.
Soma Zaidi...Kwa nini hutakiwi kumpa mtoto wa umri wa chini ya mwaka mmoja kumpa asali?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula ambavyo vinaweza kupunguza presha ya kupanda
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito, mama mjamzito ni mama ambaye amebeba kiumbe ndani kwa hiyo anapaswa kutumia vyakula vyenye virutubisho mbalimbali vitakavyomsaidia mtoto kukua vizuri.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi
Soma Zaidi...