picha

Yafahamu magonjwa nyemelezi kwa watoto chini ya miaka mitano

Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano,. Ni magonjwa yanayowapata watoto wadogo kwa sababu kinga Yao bado ni ndogo.

Magonjwa nyemelezi kwa watoto chini ya miaka mitano.

Malaria

_ ni ugonjwa unaoshambulia sana watoto wadogo na kuwaweka katika mazingira ya hatari katika makuzi ya mtoto,

2.Neumonia

_ Ni ugonjwa unaoshambulia mfumo wa upumuaji na kusababisha matatizo mengi sana kwa watoto

3. Anemia

_ Ni ugonjwa unaosababisha upungufu wa damu kwa watoto

4. Kuharisha

Ni ugonjwa unaoshambulia sana watoto wadogo chini ya umri wa miaka mitano na kumaliza maji mwilini

5. Degedege ni ugonjwa hatari ambao ushambulia watoto na pengine kuwaachia ulemavu wa kudumu.

Magonjwa haya yapo kwenye mazingira yetu na yanatibika, tuwapeleke watoto wetu hospitalini Ili watibiwe na dawa zipo

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2782

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Vyakula vinavyosaidia katika kusafisha ini

Post hii inahusu zaidi baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kutumika ili kuweza kuweka ini kwenye hali yake ya kawaida.

Soma Zaidi...
FAIDA ZA VITAMINI C NA UMUHIMU WA VITAMINI C MWILINI

Utafahamu faida za vitamini C mwilini pamoja na kujuwa umuhimu wa vitamini C

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuoambana na mafua

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuoambana na mafua

Soma Zaidi...
Vyakula vinavyopendekezwa kwa mtu mwenye kisukari.

Tutazungumzia: Makundi ya vyakula rafiki kwa mgonjwa wa kisukari. Namna ya kuchagua chakula chenye sukari ndogo kwa mwili. Mifano ya vyakula vya kula na vile vya kupunguza.

Soma Zaidi...
Vyakula hatari kwa mjamzito hasa mimba changa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya hatari kwa mjamzito hasa mimba changa

Soma Zaidi...