picha

Yajue madhara ya kutoa mimba mara Kwa mara

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale wenye tabia ya kutoa mimba mara Kwa mara .

Madhara ya kutoa mimba mara Kwa mara.

1. Kujifungua mtoto kabla ya mda wake.

 Kuna kipindi akina dada wanatoa sana mimba wakati wa ujana wao Kuna mwingine anakwambia kwamba kwa mwaka anatoa mimba kama tano hivi na huyu anayefanya hivyo anategemea kupata mtoto baadae eti mda ukifika, akina dada wa hivi wakifikia ule wakati wa kuhitaji watoto mara nyingi mimba utishia kutoka kwa sababu kizazi kimekwisha zoea kwamba hakiwezi kutunza mtoto kwa miezi tisa kwa hiyo ukifika mda ule ambapo Mama utoa mimba na mimba ujiandaa kutoka kwa kuonyesha dalili zote za kutoka kwa mimba na hatimaye mtoto uzaliwa bila kufika mda wake.

 

 

2. Kulegea kwa mlango wa kizazi.

Kwa kawaida kutoa mimba mara Kwa mara usababisha kulegea kwa mlango wa kizazi kwa sababu kila mara kizazi kinachokonolewa uenda kwa vyuma au kwa njia yoyote ile hali ambayo usababisha kizazi kulegea. Na kwa hali hiyo usababisha kizazi  chenyewe kushindwa kuhifadhi mtoto pale mama anapohitaji mtoto wa kuzaa kabisa.

 

3. Kuwepo kwa Saratani ya matiti.

Kwa kawaida mimba ikitungwa kila kitu mwilini ubadilika na kuwa tayari kwa ajili ya kutunza mtoto au kichanga kilichomo tumboni. Kwa hiyo na homoni mbalimbali kwenye matiti kuwepo kwa sababu ya kujiandaa kwa ajili ya kunyongenyesha mtoto atakayezaliwa kwa hiyo kutoa mimba mara Kwa mara usababisha Kansas kwenye matiti kwa sababu ya kuwepo kwa hali ya kuzalishwa homoni za mara Kwa mara.

 

4. Pengine kupata magonjwa ya akili.

Kwa sababu Kuna hali Ile ya baada ya kutoa  mimba nyingi na kuharibu sehemu mbalimbali za via vya uzazi na baadae wakati wa kuhitaji mtoto Kunafika na mama anaishindwa kupata mtoto baada ya kujua ukweli anaanza kufikilia mambo mengi na kusababisha hali ya kuchanganyikiwa hasa pale anapopatwa na masimango kutoka sehemu mbalimbali au kwa wale walioshuhudia mambo yake na pia pale anapofikilia jinsi alivyotoa mimba nyingi au pengine Kuna mimba aliitoa na mtoto akalia na mambo kama hayo umfanya mtu kufikilia mambo mengi na hatimaye kupata magonjwa ya akili.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 4497

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 web hosting     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

Sababu za wajawazito kupata Bawasili.

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali ambazo zinafanya wajawazito kupata ugonjwa wa Bawasili, kwa sababu tatizo hili linawapa wakina mama wajawazito, kwa hiyo tutaona kwa nini wajawazito wanapatwa na tatizo hili sana.

Soma Zaidi...
Dalili za mimba inayotishi kutoka

Posti hii inahusu zaidi dalili za mimba inayotaka kutoka yenyewe, Kuna wakati mwingine mama anabeba mimba na mimba hiyo I atishia kutoka na huwa inaonyesha dalili mbalimbali kwa hiyo zifuatazo ni dalili za mimba kutaka kutoka yenyewe.

Soma Zaidi...
Mambo muhimu kwa wanawake kabla ya kubeba mimba

Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu kwa wanawake kabla ya kubeba mimba,Ni mambo ya kuzingatia ili mama akija kubeba mimba awe mzima kimwili, ki afya na kisaikolojia na hivyo hivyo Mtoto atakayezaliwa atakuwa salama.

Soma Zaidi...
Mambo yanayopelekea ugumba.

Post huu inahusu zaidi mambo yanayopelekea ugumba kwa wanaume, ni mambo ambayo uchangia au upelekea mwanaume kukosa uzazi.

Soma Zaidi...
Namna ya kutibu ugumba kwa Mwanaume.

Posti hii inahusu zaidi namna ya kutibu tatizo la ugumba kwa Mwanaume, ni njia ambazo utumiwa na wataalam mbalimbali Ili kuweza kutibu tatizo la ugumba kwa wanaume.

Soma Zaidi...
Fahamu siku za kubeba mimba na zisizo za kubeba mimba.

Posti hii inahusu zaidi siku za kubeba mimba na zisizo za kubeba mimba , tunapaswa kujua hivi Ili kuweza kupanga uzazi na kuepuka njia ambazo ni hatarishi kwa afya zetu.

Soma Zaidi...