image

Yajue malengo ya kusafisha vidonda.

Posti hii inahusu zaidi malengo ya kusafisha vidonda, kwa sababu Kuna watu wengine huwa wanajiuliza kwa nini nisafishe kidonda hospitalini au kwenye kituo chochote Cha afya, yafuatayo ni majibu ya kwa Nini nisafishe kidonda.

Malengo ya kusafisha vidonda.

1. Kulinda kidonda kutokana na Maambukizi ya wadudu mbalimbali, tukumbuke kuwa vidonda vingine ni visafi na having wadudu kwa hiyo Ili kufanya kidonda kipone haraka ni kukisafisha Ili kiweze kutoingiliwa na wadudu na kuongeza maambukizi zaidi.

 

2. Tunasafisha vidonda Ili kuondoa unyevunyevu na kuondoa tisu zilizoharibika, kwenye vidonda uwa Kuna tisu zilizoharibika na kwa kawaida huwa ni nyeusi kwa rangi kwa hiyo tunapaswa kuondoa hizo tisu Ili zisijeendelea kuleta maambukizi zaidi na pia tunatoa unyevunyevu ambao unaweza kuwa chanzo Cha maambukizi mapya. In Kwa hiyo tunajua kuwa kuwepo kwa unyevunyevu kwenye sehemu ya kidonda na kuongezeka kwa maambukizi mapya.

 

3.Tunasafisha vidonda Ili tuweze kufunga vizuri sehemu mbalimbali zilizoharibika na kuifanya sehemu hiyo iweze kukaa kwenye hali inayoitajika kwa hiyo kwa wale wenye vidonda ni vizuri kusafisha kidonda kwenye sehemu za hospitalin na vituo mbalimbali vya afya Ili kuweza kuweka kidonda chako kwenye hali inayostahili hii usababisha kupona kidonda kwa haraka kuliko kawaida, kwa hiyo wote wenye vidonda nenda vituo vya afya mkapewa maelekezo zaidi.

 

4.Tunasafisha vidonda Ili kuongeza kiwango Cha vidonda kupona kwa haraka, ikiwa vidonda vimesafishwa kwa mda mwafaka na kw wakati bila kupitia sehemu mbalimbali ambazo usababisha ugonjwa kutopona vidonda upona haraka hata kama kina ukubwa kiasi gani, kwa hiyo kidonda kukisafishwa upona haraka, kwa hiyo wale wote wenye vidonda ambavyo mnaona ni vikubwa au vidogo vipelekwe hospitalini haraka Ili visafishwe na viweze kupona haraka.

 

5. Tunasafisha vidonda Ili kuweka pressure kwenye kidonda na hapo tutaweza kuzuia kuvuja kwa kidonda kwa hiyo kama Kuna kidonda pengine uwa Kuna damu kwa kusafisha kidonda tunaweza kupunguza kuvuja kwa kidonda na kusababisha kupunguza kiwango Cha damu mwilini.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1412


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Sababu za maumivu ya mwili.
Posti hii inahusu zaidi sababu ya kuwepo kwa maumivu ya mwili kwa sababu tunaweza kuhisi maumivu kwenye sehemu za mwili kwa sababu mbalimbali kama tutakavyoona hapo chini Soma Zaidi...

Jinsi moyo unavyosukuma damu
Post hii inahusu zaidi jinsi moyo unavyosukuma damu, moyo ni ogani ambayo usukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili. Soma Zaidi...

Madhara ya kutumia dawa bila ushauri wa kitaalamu.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia dawa bila kupata ushauri wa kitaalamu, madhara haya uwapata watu wengi kwa sababu hawajui taratibu za matumizi ya dawa. Soma Zaidi...

Jinsi ya kujikinga na U.T.I inayijirudia rudia.
Endapo U.T.I inajirudiarudia baada yavkutibiwa inawezabkuwa ikakupa mawazo mengi. Katika post hii nitakufafanulia nini ufanye. Soma Zaidi...

Huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri
Post hii inahusu zaidi tiba na huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri. Soma Zaidi...

Zijue faida za maji ya uvuguvugu.
Posti hii inahusu zaidi faida za maji ya uvuguvugu, hasa hasa maji haya ni vizuri kabisa kuyatumia hasa wakati wa asubuhi na pia wakati tumbo likiwa halina kitu, kwa hiyo zifuatazo ni faida za maji ya uvuguvugu. Soma Zaidi...

Aina za vidonda
Posti hii inahusu zaidi Aina mbalimbali za vidonda kwenye mwili wa binadamu, ni vidonda ambavyo utokea kwenye mwili wa binadamu kwa Aina tofauti. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu fati na mafuta na kazi zake mwilini
Hata kama mtu atakuambbia usile vyakula yenye mafuta bado itahitajika kula tu. Kuna mafuta na fati je unajuwa utofauti wao. Ni zipi kazi zao mwilini? Endelea na makala hii Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu vitamini K na kazi zake mwilini
vitamini k ni moja katika vitamini vinavyoitajika sana mwilini. Je unazijuwa athari za upungufu wa vitamini k mwilini? Soma Zaidi...

Kwanini mdomo unakuwa mchungu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu Soma Zaidi...

Namna ya kumfanyia usafi Mgonjwa kwa mwili mzima.
Posti hii inahusu namna ya kumfanyia mgonjwa usafi mwili mzima, ni njia ambazo utumika kumfanyia mgonjwa usafi mwili mzima au kumwosha Mgonjwa hasa wale walio mahututi na hawawezi kuamka kitandani. Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa mwenye kizunguzungu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu mwenye kizunguzungu Soma Zaidi...