image

Yajue mazoezi ya kegel

Posti inahusu zaidi mazoezi ya kegel, ni mazoezi ambayo ufanywa na watu wengi na sehemu yoyote yanaweza kufanywa kama vile chumbani, sebuleni, uwanjani na sehemu yoyote ile na kwa watu tofauti.

Faida ya mazoezi ya kegel.

1. Ni Mazoezi ambayo lengo lake kuu ni kuimarisha mifupa ya kwenye kiuno ambayo ushikilia kizazi hasa hasa mji wa mimba, kibofu cha mkojo, sehemu ya utumbo mpana na uke, kwa ujumla mazoezi haya huwa na faida zaidi kwa wanawake.

 

2. Lengo la mazoezi haya ni kuimarisha misuli kwa sababu misuli ya kwenye kiuno inaweza kuwa midhaifu kwa sababu ya ujauzito ila kama mtu anapiga mazoezi haya misuli hii uimarika kabisa na pia ikitokea mtu anafanyiwa upasuaji kama hapo mwanzoni alikuwa anafanya mazoezi haya ni rahisi kabisa kupona haraka.

 

3. Pia mazoezi haya usaidia kuimarisha njia ya mtoto wakati wa kujifungua kwa hiyo Mama kwenye kipindi cha ujauzito akifanya mazoezi haya ikifungua vizuri na mapema , kwa hiyo akina mama wanapaswa kujifunza mazoezi haya.

 

4. Usaidia pia wanawake wenye shida ya kuzuia mkojo kutoka, kuna wakati mwingine mkojo utoka kwenye kibofu bila mama mwenyewe kutoa mkojo huo na kwa hiyo kama mazozi haya yakifanyika vizuri na kwa usahihi yanasaidia akina mama kuweza kuhimili na kuzuia tatizo hili lisitokee.

 

5. Uongeza msisimko wa raha ya mapenzi kwa wapenzi wawili kwa mwanamke uweza kubana misuli ya kike  kwa umahiri zaidi wakati wa tendo usaidia wapenzi kufurahia tendo.

 

6. Kwa hiyo akina mama na wadada wanapaswa kujitahidi kufanya mazoezi haya ili kuweza kuhimalisha viungo vya uzazi ili wakati wa kujifungua iwe rahisi kwao na waepuke na matatizo mbalimbali yanayohusiana na uzazi





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1354


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

SABABU ZA KUKOSA NGUVU ZA KIUME AMA KUWA NA UWEZO MDOGO WA KUHIMILI TENDO LA NDOA
Hii ni hali inayowapata wanaume kushindwa kuhimili tendo la ndoa. Soma Zaidi...

Mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama ananyonyesha
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama anaenyonyesha Soma Zaidi...

UUME KUWASHA
Post yetu imebeba mada inayohusiana na wanaume wanaowashwa Uume embu tuone dalili zinazopelekea kuwashwa kwa penis. Uume(penis) ni party ya mwanaume ya sehemu za siri.pia wanaume ambao hawajatahiriwa(unsircumside) kwasababu Ile ngozi ya juu husababishwa k Soma Zaidi...

Nini husababisha maumivu ya uume
Kama uume wako unauma ama unahisi kuwa unaunguza ama kuchoma choma, post hii imekuandalia somo hili. Soma Zaidi...

Hatua za ukuwaji was mimba na dalili zake
Somo hili linakwenda kukuletea hatua za ukuaji mimba na dalili zake Soma Zaidi...

Upungufu wa homoni ya estrogen
Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni ya estrogen na dalili zake, aina hii ya homoni ikipungua mwilini uleta madhara na matatizo mbalimbali kwenye mwili. Soma Zaidi...

Faida na hasara za kutumia kondomu kama njia ya uzazi wa mpango
Kondomu ni mpira ambao uwekwa kwenye uke au uume kwa ajili ya kuzuia mimba wakati wa kujamiiana Soma Zaidi...

Mimba huonekana katka mkojo baada ya muda gan tangu itungwe
Kipimo cha mimba kwa mkojo kimekuwa kikitumika sana kuangalia ujauzito. Kipimo hiki kinapotumika vibaya kinaweza kukupa majibu ya uongo. Kuwa makini na ujue muda sahihi. Soma Zaidi...

Mabadiliko ya via vya uzazi kwa Mama mjamzito.
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye via vya uzazi kwa wajawazito, tunajua kuwa Mama akibeba mimba tu kuna mabadiliko utokea katika sehemu mbalimbali za mwili. Soma Zaidi...

Njia za kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito
Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito, ni mojawapo ya njia ambazo utumiwa na wahudumu wa afya ili kuweza kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito. Soma Zaidi...

DARASA LLA AFYA na afya ya uzazi na malezi bora kwa jamii
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Mimi naumwa na tumbo chini ya kitovu upande wa kulia, ninapotok kushiriki tendo la ndoa ndonapata maumivu zaid pia nawashwa sehemu za siri itakuwa shida ni nin?
Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa yanaweza kuwa ni dalili ya maradhi fulani, ama shida kwenye mfumo w uzazi. PID na UTI hutuhumiwa kuwa ni katika sababu hizo. Ila zipo nyingine nyingi tu. Kama ina hali hii vyema ukafika kituo cha afya Soma Zaidi...