Posti hii inahusu zaidi sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi ambayo kwa kitaalamu huitwa follapian tube, ni sababu ambazo ufanya mirija ya follapian tube kuziba.
Tunajua kuwa kazi kuu ya mrija wa kizazi ni sehemu ambapo mimba urutubishwa, kwa hiyo yai likitoka kwenye ovari linakuja kwenye mirija ya kizazi na uweza kurutubishwa hapo, lakini Kuna wakati mwingine mirija hii uziba na kusababisha ugumba kwa hiyo zifuatazo ni sababu za mirija ya uzazi kuziba.
1. Maambukizi ya wadudu mbalimbali, Kuna wakati mwingine maambukizi ya wadudu ambao Usababishwa na ngono zembe ambapo bakteria au virusi kuaribu sehemu za mirija ya uzazi na kusababisha mirija hiyo kuziba kwa hiyo matokeo ya kuziba kwa mirija usababisha mimba kushindwa kutungwa kwa hiyo tunapaswa kutumia kondomu wakati wa kujamiiana Ili kuepuka tatizo hili la maambukizi kwenye mrija wa kizazi.
3. Mimba kutungwa nje ya mfuko wa uzazi.
Hili ni tatizo utokea ambapo mimba badala ya kutungwa kwenye sehemu husika inatungwa nje ya mfuko wa uzazi kwa kitaalamu huitwa ectopic pregnancy, mimba hii ikitungwa huko inabidi mimba hiyo kufanyiwa upasuaji na kutolewa kwa hiyo Iwapo hizo mimba zimetungwa hivyo kwa mara nyingi usababisha kuziba kwa mirija ya uzazi.
4. Magonjwa mbalimbali ya tumbo kama vile apenicitis yaani apendex usababisha kuziba kwa mirija ya uzazi kwa sababu pengine upasuaji unaweza kwenda vibaya na kusababisha kusababisha na mishipa ya mirija ya uzazi kushindwa kufanya kazi yake na pia mimba hauwezi kutungwa.
5.pengine linaweza kuwa ni tatizo la kuzaliwa nalo,
Kuna watoto wengine kwa sababu ya mabadiliko ya mwili au homoni kushindwa kufanya kazi yake kuu mtoto anazaliwa akiwa aneziba mirija ya uzazi na kwa mtu kama huyu mimba haiwezekani kutungwa.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 1742
Sponsored links
π1
kitabu cha Simulizi
π2
Kitau cha Fiqh
π3
Madrasa kiganjani
π4
Simulizi za Hadithi Audio
π5
Kitabu cha Afya
π6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Mambo yanayopelekea Mjamzito kutokwa na damu
Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali ambayo yanapelekea Mjamzito kutokwa na damu, hizi ni baadhi ya sababu ambazo usababisha Mjamzito kutokwa na damu. Soma Zaidi...
Jinsi mimba inavyotungwa na namna ambavyo jinsia ya mtoto inavyotokea
Posti hii hasa inahusu kasoro ,utatuzi,na jinsi ya kutunga mimba kwa upande wa mwanamke na mwanaumeΒ .itatupelekea jinsi ya kuangalia kasoro na jinsi ya kutatua hizo kasoro katika jamii zetu. Soma Zaidi...
Mbinu za kupunguza Kichefuchefu
Point hii inahusu zaidi mbinu za kupunguza Kichefuchefu hasa kwa wagonjwa na watumiaji wa madawa mbalimbali yanayoweza kusababisha kichefuchefu. Soma Zaidi...
Upungufu wa homoni ya cortisol
Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni hii ya cortisol,hii ni homoni ambayo utokana na tezi glang(adrenal gland) kufanya kazi kupitiliza hali ambayo mara nyingi husababishwa na msongo wa mawazo wa mda mrefu, yaani wale watu ambao mda mwingi huwa wenye Soma Zaidi...
Mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa?
Mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa mpaka siku ya kujifungua Kama mume wake pamoja na yeye akiwa Hana maambukizi ya zinaa na Kama akiona dalili zozote zile za hatari ndio hataruhusiwa kushiriki tendo la ndoa. Soma Zaidi...
Nia za kupima ujauzito ukiwa nyumbani, Njia kuu 10 za kiasili za kupima mimba changa
Kuna njia nyingi zinatajwa zinapima mimba kama chumvi, sukari, mafuta na sabuni.
Hata hivyo zipo njia zaidi ya 10 za kiasili za kupima ujauzito. Utajifunza hapa zote Soma Zaidi...
Hivi kipimo cha mimba cha mkojo baada ya kutumika Mara 1 ,hakiruhusiw tena kutumika au
Je ni kweli kupima kimoja cha mloka kinaweza kupima mimba zaidi ya mara moka? Soma Zaidi...
Sababu za ugumba kwa wanawake
Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa wanawake, ni sababu ambazo upelekea wanawake wengi kuwa wagumba ukizingatia kuwa wanazaliwa wakiwa na uwezo kabisa wa kupata watoto lakini kwa sababu mbalimbali za kimazingira wanakoswa watoto, zifuatazo ni saba Soma Zaidi...
Sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa
Post hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, mara nyingi tatizo hili uwakumba akina mama mbalimbali ambapo mtoto uzaliwa akiwa na uzito mkubwa Soma Zaidi...
sas na karibia mwezi nawashwa sehem Zang za sili kwenye shingo ya uume najikuta najikuna mpk natoka vidonda
Soma Zaidi...