Sikio ni mojawapo ya milango ya fahamu inayotumiwa kwa ajili ya kusikia, Kuna wakati mwingine hushambulia na bakteria na virusi
Dalili za maambukizi ndani ya sikio
1. Sikio kuuuma sana
2. Kichwa kuuuma
3 kutoka na usaha kwenye sikio
4. Kutisikia vizuri
Walio katika hatari ya kupata ugonjwa huu ni wafuatao.
1.watoto wadogo
2. Wazeee
3. Walio na kinga ndogo ya mwili
4. Wanapenda kuogelea kwenye maji ya ziwa au bahari
Namna ya kutibu ugonjwa huuu ni pamoja na.
1. Kuisha masikio mara kwa mara
2. Kutotumia vifaa vya Julia kwa mtu zaidi ya mmoja
3.walinde watoto wakati wanapokuwa wanacheza
4. Siku zote piga chafya kwenye kitambaa safi
Pamoja na kuwepo kwa ugonjwa huu dawa zipo na zinatibu kwa hiyo tunapaswa kuwapeleka wagonjwa wetu hospitalini Ili watibiwe tusiwafiche ndani
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitia kinyesi chenye maji inawezekana kina damu au kisichokuwa na damu.
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kuzungumzia ugonjwa wa gout unaosababishwa na ongezeko la asidi mwilini.
Soma Zaidi...Malaria ni katika maradhi ambayo husambazwa na na mbu jike aina ya anopheles.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza muda mabao dalili za VVU na UKIMWI huonekana, na kwa muda gani mgonjwa ataishi na UKIMWI bila ya kutumia ARV
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha ishara na dalili za Saratani ya utumbo mdogo
Soma Zaidi...Kutokwa na mate mengi mdomoni si ugojwa ni hali inayoweza kutokea kwa mtu yeyote. Mara nyingi hali hii haihitaji matibabu wa dawa, na huondoka yenyewe. Lakini hutokea baadhi ya nyakati ikawa mate yanatoka zaidi mdomoni. Je na wewe ni miongoni mwao? Makala
Soma Zaidi...Post hii Ina onyesha DALILI za Homa ya matumbo (typhoid fever) huenea kupitia chakula na maji machafu au kwa kuwasiliana kwa karibu na mtu aliyeambukizwa. Dalili na ishara kwa kawaida hujumuisha Homa kali, maumivu ya kichwa, maumi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, ni madhara ambayo yanaweza kutokea iwapo maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo hayatatibiwa kwa wakati.
Soma Zaidi...