Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini.
Zifuatazo Ni Faida za kula tango
1.husaidia kuondoa gesi tumboni; endapo umekula mchanganyiko wa chakula, au umekula chakula ambacho Kuna mzio na tumbo lako na kuleta gesi tumboni nivyema kutumia tango maana husaidia kuondoa gesi kabisa tumboni.
2.husaidia mmeng'enyo wa chakula tumboni maana tango Lina madini na Lina majimaji mengi hivyo hupelekea kusaidian mmeng'enyo wa chakula.
3.huongeza maji mwilini hii pia Ni Faida mojawapo ya kula tango
4.husaidia Kupunguza uzito au kitambo.kwasababu Ni tunda ambalo halijazidi chumvi Sana ipo tu ya kiasi pia Ni tunda ambalo halina sukari na ndio maana linapunguza uzito na kitambi Kama kimezidi.
5.husaidia kushusha presha.
6.husaidia kuleta ladha au hamu ya kula.
7.husaidia kuondoa tatizo la mkojo kuwasha.
8.linasaidia matatizo ya maambukizi Kama vile UTI
9.husaidia kuondoa uchovu.
10.linasaidia kutoa uume uliongia Ndani kurudi.
11 kukosa choo.
Mwisho; ukitaka kuona umuhimu wa kula tango usile tu Mara moja na kuacha Tumia Mara kwa Mara ndipo utaona Faida zake.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Hivi ni vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo. mwenye vidonda vya tumbo hatakiwi kula vyakula hivi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...Kuna faida kubwa za kiafya kwa kula ndizi, soma makala hii mpaka mwisho
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini, ni Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini ambao usababisha madhara kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo
Soma Zaidi...