Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo,ni sababu mbalimbali hasa za kiafya kama tutakavyoona hapo mbeleni
1. Kuwepo kwa vidonda vya tumbo.
Kama tunavyofahamu kwamba vidonda vya tumbo ni kizuizi kikubwa cha chakula kushindwa kumengenywa kwa hiyo kama mtu ana matatizo ya vidonda vya tumbo na hajapima ila anaona kwamba chakula hakimengenywi ni vizuri kabisa kuchukua matibabu ili kuangalia tatizo zaidi.
2. Kuwepo kwa uvimbe tumboni.
Na hili ni tatizo kubwa zaidi ambalo usababisha chakula kutomengenywa kwa sababu kuna watu wengi wamepatwa na tatizo hili la kuwepo kwa uvimbe na bila kujua na dalili mojawapo ni kujaribu kuwepo kwa shida katika mmeng'enyo wa chakula kwa hiyo ni vizuri kabisa kupima ili kuona chanzo ni nini?
3. Kuwepo kwa mawe kwenye figo.
Hili nalo ni tatizo la nawe kwenye figo ni ugonjwa ambao uwapata watu mbalimbali kwa sababu mbalimbali kwa hiyo kama tatizo hili halijagunduliwa na kuna Dalili ya chakula kushindwa kumengenywa vipimo ni lazima.
4. Kuvimba kwa kongosho.
Kama kuna matatizo kwenye kongosho nayo usababisha chakula kushindwa kumengenywa tumboni.
5. Saratani kwenye utumbo.
Nalo ni mojawapo ya tatizo la kusababisha chakula kushindwa kumengenywa kwa sababu baadhi ya mifumo kwenye mmeng'enyo uaribiwa.
6. Kuziba kwa utumbo.
Nalo ni mojawapo ya tatizo ambalo usababisha chakula kushindwa kumengenywa kwa sababu mifumo mbalimbali kwenye utumbo ushindwa kufanya kazi na kusababisha chakula kushindwa kumengenywa.
7. Kupungua kwa mzunguko wa damu.
Kuna wakati mwingine kuna tatizo la kupungua kwa tatizo la mzunguko wa damu hivyo usababisha. Chakula kushindwa kumengenywa.
8. Ukosefu wa choo na Bawasili.
Nacho ni mojawapo ya sababu ya kushinda kumengenywa kwa chakula kwa sababu chakula kikishindwa kusafiri kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kutoa choo ni vizuri kabisa kupima uenda ni kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo katika kumengenywa kwa chakula.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wagonjwa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo za polio na kazi zake,hii ni chanjo ambayo unazuia maambukizi ya Virusi vinavyosababisha polio.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hatua za kufuata unapohisi umeambukizwa na virus vya ukimwi. Kwa sababu watu wengi wanakuwa na kiwewe anapohisi ameambukizwa na virus vya ukimwi kwa hiyo wanapaswa kufanya yafuatayo.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kqa mgonjwa aliyeingiliwa na kitu au uchafu kwenye sikio.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo mbalimbali ambayo husababisha kizunguzungu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu mwenye kizunguzungu
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kuyatunza macho
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za upungufu wa vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Je unazijuwa faida za kuwa na vitamini E mwilini mwako.Unahani utapata matatizo yapi ya kiafya endapo utakuwa na upungufu wa vitamini E mwilini? Makala hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...