ZIJUE SABABU ZA MOYO KUTANUKA.


image


Posti hii inahusu zaidi sababu za moyo kutanuka, Kuna kipindi ambapo moyo utoka kwenye hali yake ya kawaida na kutanuka hali ambayo usababisha madhara kwa mwenye tatizo hilo, ila Kuna sababu ambazo usababisha moyo kutanuka kama tutakavyoona.


Zijue sababu za moyo kutanuka.

1. Kupanda kwa shinikizo la damu.

Kuna wakati ambapo shinikizo la damu upanda na hali hii usababisha moyo kusukuma damu kwa nguvu na kusababisha moyo kupanuka Ili kuruhusu damu iweze kufika kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

 

2. Ugonjwa wa misuli ya moyo.

Kuna wakati mwingine kunakuwepo na ugonjwa wa misuli ya moyo au maambukizi kwenye misuli ya moyo hali hii ikitokea usababisha moyo kusukuma damu kwa nguvu na hivyo kusababisha kupanuka kwa moyo.

 

3. Uwepo wa maji maji ambayo yameuuzunguka moyo.

Kwa kawaida moyo unapaswa kuwa kwenye hali yake ya kawaida lakini Kuna wakati kunakuwepo na maji maji yanayouzunguka moyo ambayo usababisha kuleta maambukizi kwenye sehemu mbalimbali za moyo na hivyo kusababisha moyo kutanuka.

 

4. Upungufu wa damu mwilini.

Kumbuka kwamba damu ndiyo imebeba hewa ya oksijeni  kwa hiyo damu ikipungua usababisha na hewa ya oksijeni kupungua kwa hiyo moyo utumiwa nguvu nyingi Ili kuweza kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili Ili kukidhi kiwango cha hewa ya oksijeni iliyokosa kwenye mwili.

 

5. Matatizo ya tezi.

Kuna wakati mwingine tezi zinashindwa kutoa vichocheo vya kutosha Ili kuweza kukidhi mahitaji ya mwili hali ambayo usababisha mwili  kukosa virutubisho hivyo tukumbuke kwamba vichocheo hivyo upitia kwenye damu . Kwa hiyo hivyo vichocheo vikipungua mwilini usababisha moyo kusukuma damu kwa nguvu Ili kusafirisha vichocheo hivyo kwenye mwili hali inayosababisha moyo kupanuka.

 

6 kuwepo kwa madini mengi ya chumu.

Madini ya chuma yakikusanyika kwenye moyo usababisha moyo kukosa nafasi ya kutosha ya kuweza kusukuma damu ipasavyo kwa hiyo moyo utafuta nafasi ya kusukuma damu kwa nguvu kupitia kwenye mlundikano wa madini ya chuma na kwa sababu ya pressure kubwa ya moyo kusukuma damu hatimaye moyo kutanuka.



Sponsored Posts


  👉    1 Madrasa kiganjani       👉    2 Mafunzo ya php       👉    3 Maktaba ya vitabu       👉    4 Jifunze fiqh       👉    5 Hadiythi za alif lela u lela       👉    6 Mafunzo ya html kwa kiswahili    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image YAJUE MARADHI YA KISUKARI
Posti hii itakwenda kuelezea mambo machache kuhusu ugonjwa wa kisukari Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu dawa za Doxorubicin na Daunorubicin
Post hii inahusu zaidi dawa za Doxorubicin and Daunorubicin katika kupambana na kansa. Soma Zaidi...

image Dalili kuu za minyoo
Minyoo ni katika viume wanyonyaji, wanaoishi katika miili ya viumbe hai na kujipatia chakula humo. Minyoo wanaweza kuishi kwenye maeneo yenye majimaji kama kwenye maji, ndani ya viumembe hai kama mtu, ngombe, ngure na paka. Minyoo pia wanaweza kuishi kwenye udongo. Minyoo wanaweza kusababisha maradhi ndani ya mwili wa kiumbe hai. Minyoo isipotibiwa inaweza kusababisha athari zaidi kwenye afya ya mtu. Makala hii inakwenda kukuletea dalili za minyoo. Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu Ugonjwa wa ukoma
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa ukoma, ni Ugonjwa unaosababishwa na mdudu anayeitwa mycobacterium leprae, mdudu huyu kwa kawaida uathiri sana sehemu za ngozi na sehemu za Neva mbalimbali za mwili Soma Zaidi...

image Ugonjwa wa kisonono
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa kisonono, ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu ambaye kwa kitaalamu huitwa Neisseria gonococcal. Soma Zaidi...

image Jinsi ya kujikinga na U.T.I inayijirudia rudia.
Endapo U.T.I inajirudiarudia baada yavkutibiwa inawezabkuwa ikakupa mawazo mengi. Katika post hii nitakufafanulia nini ufanye. Soma Zaidi...

image Sababu zinazoweza kusababisha kukosa choo (kinyesi)
Kukosa choo aina ya kinyesi ni kutoweza kudhibiti kinyesi, hivyo kusababisha kinyesi kuvuja bila kutarajiwa kutoka kwenye puru. Pia huitwa kutoweza kudhibiti utumbo, Upungufu wa kinyesi hutoka kwa kuvuja mara kwa mara kwa kinyesi huku ukipitisha gesi hadi kupoteza kabisa uwezo wa kudhibiti utumbo. Sababu za kawaida za kutoshika kinyesi  ni pamoja na Kuhara, Kuvimbiwa na uharibifu wa misuli au neva. Uharibifu wa misuli unaweza kuhusishwa na kuzeeka. Haijalishi ni sababu gani, Upungufu wa kinyesi unaweza kuaibisha. Lakini usiogope kuzungumza na daktari wako. Matibabu yanapatikana ambayo yanaweza kuboresha Upungufu wa kinyesi na ubora wa maisha yako. Soma Zaidi...

image Ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo
Posti hii inahusu zaidi Ugonjwa wa uti wa mgongo, ni ugonjwa unaoshambulia sehemu inayofunika ubongo na pia sehemu ya spinal cord Soma Zaidi...

image Tiba ya awali kwa mwanamke mwenye changamoto ya PID
Posti hii inahusu zaidi tiba ya awali kwa mwanamke mwenye changamoto ya PID, tunaita tiba ya awali kwa sababu baada ya kupima na kugunduliwa kwamba una tatizo au changamoto ya PID ni vizuri kutumia tiba hiii baadae ndipo utumie dawa. Soma Zaidi...

image Sababu za miguu kufa ganzi.
Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali,za miguu kufa ganzi,ni tatizo ambalo uwakumba watu wengi na walio wengi hawafahamu kabisa ni sababu zipi ambazo uleta tatizo hili. Soma Zaidi...