picha

Zijue sababu za moyo kutanuka.

Posti hii inahusu zaidi sababu za moyo kutanuka, Kuna kipindi ambapo moyo utoka kwenye hali yake ya kawaida na kutanuka hali ambayo usababisha madhara kwa mwenye tatizo hilo, ila Kuna sababu ambazo usababisha moyo kutanuka kama tutakavyoona.

Zijue sababu za moyo kutanuka.

1. Kupanda kwa shinikizo la damu.

Kuna wakati ambapo shinikizo la damu upanda na hali hii usababisha moyo kusukuma damu kwa nguvu na kusababisha moyo kupanuka Ili kuruhusu damu iweze kufika kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

 

2. Ugonjwa wa misuli ya moyo.

Kuna wakati mwingine kunakuwepo na ugonjwa wa misuli ya moyo au maambukizi kwenye misuli ya moyo hali hii ikitokea usababisha moyo kusukuma damu kwa nguvu na hivyo kusababisha kupanuka kwa moyo.

 

3. Uwepo wa maji maji ambayo yameuuzunguka moyo.

Kwa kawaida moyo unapaswa kuwa kwenye hali yake ya kawaida lakini Kuna wakati kunakuwepo na maji maji yanayouzunguka moyo ambayo usababisha kuleta maambukizi kwenye sehemu mbalimbali za moyo na hivyo kusababisha moyo kutanuka.

 

4. Upungufu wa damu mwilini.

Kumbuka kwamba damu ndiyo imebeba hewa ya oksijeni  kwa hiyo damu ikipungua usababisha na hewa ya oksijeni kupungua kwa hiyo moyo utumiwa nguvu nyingi Ili kuweza kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili Ili kukidhi kiwango cha hewa ya oksijeni iliyokosa kwenye mwili.

 

5. Matatizo ya tezi.

Kuna wakati mwingine tezi zinashindwa kutoa vichocheo vya kutosha Ili kuweza kukidhi mahitaji ya mwili hali ambayo usababisha mwili  kukosa virutubisho hivyo tukumbuke kwamba vichocheo hivyo upitia kwenye damu . Kwa hiyo hivyo vichocheo vikipungua mwilini usababisha moyo kusukuma damu kwa nguvu Ili kusafirisha vichocheo hivyo kwenye mwili hali inayosababisha moyo kupanuka.

 

6 kuwepo kwa madini mengi ya chumu.

Madini ya chuma yakikusanyika kwenye moyo usababisha moyo kukosa nafasi ya kutosha ya kuweza kusukuma damu ipasavyo kwa hiyo moyo utafuta nafasi ya kusukuma damu kwa nguvu kupitia kwenye mlundikano wa madini ya chuma na kwa sababu ya pressure kubwa ya moyo kusukuma damu hatimaye moyo kutanuka.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2392

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Ni nini husababisha kuziba kwa Njia ya machozi

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na sababu zinazopelekea Ugonjwa wa kuziba kwa Njia ya machozi yaani kukosa machozi ambayo husababishwa na maambukizi.

Soma Zaidi...
Mlo kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa damu

Posti hii inahusu zaidi mlo kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa damu, ni wagonjwa ambao figo zao zimeharibika na zimeshindwa kufanya kazi au pengine kuna uchafu mwingi mwilini ambao uchujwa kwa hiyo kuna vyakula muhimu ambavyo wagonjwa wa figo wanapaswa kutu

Soma Zaidi...
Dalili za maambukizi kwenye uume

Post hii inahusu zaidi dalili za maambukizi kwenye uume, ni dalili ambazo ujitokeza pale maambukizi yanapotokea kwenye uume.

Soma Zaidi...
dalili za mimba changa ndani ya wiki moja

Je na wewe ni katika ambao wanahitaji kujuwa dalili za mimba ndani ya wiki moja? kama ndio makala hii ni kwa ajili yako. Utakwenda kuona dalili za mwanzo sana za ujauzito toka siku za mwanzoni.

Soma Zaidi...
Dalili za mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo

Post hii inahusu zaidi dalili za mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.

Soma Zaidi...