picha

Zijue sababu za moyo kutanuka.

Posti hii inahusu zaidi sababu za moyo kutanuka, Kuna kipindi ambapo moyo utoka kwenye hali yake ya kawaida na kutanuka hali ambayo usababisha madhara kwa mwenye tatizo hilo, ila Kuna sababu ambazo usababisha moyo kutanuka kama tutakavyoona.

Zijue sababu za moyo kutanuka.

1. Kupanda kwa shinikizo la damu.

Kuna wakati ambapo shinikizo la damu upanda na hali hii usababisha moyo kusukuma damu kwa nguvu na kusababisha moyo kupanuka Ili kuruhusu damu iweze kufika kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

 

2. Ugonjwa wa misuli ya moyo.

Kuna wakati mwingine kunakuwepo na ugonjwa wa misuli ya moyo au maambukizi kwenye misuli ya moyo hali hii ikitokea usababisha moyo kusukuma damu kwa nguvu na hivyo kusababisha kupanuka kwa moyo.

 

3. Uwepo wa maji maji ambayo yameuuzunguka moyo.

Kwa kawaida moyo unapaswa kuwa kwenye hali yake ya kawaida lakini Kuna wakati kunakuwepo na maji maji yanayouzunguka moyo ambayo usababisha kuleta maambukizi kwenye sehemu mbalimbali za moyo na hivyo kusababisha moyo kutanuka.

 

4. Upungufu wa damu mwilini.

Kumbuka kwamba damu ndiyo imebeba hewa ya oksijeni  kwa hiyo damu ikipungua usababisha na hewa ya oksijeni kupungua kwa hiyo moyo utumiwa nguvu nyingi Ili kuweza kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili Ili kukidhi kiwango cha hewa ya oksijeni iliyokosa kwenye mwili.

 

5. Matatizo ya tezi.

Kuna wakati mwingine tezi zinashindwa kutoa vichocheo vya kutosha Ili kuweza kukidhi mahitaji ya mwili hali ambayo usababisha mwili  kukosa virutubisho hivyo tukumbuke kwamba vichocheo hivyo upitia kwenye damu . Kwa hiyo hivyo vichocheo vikipungua mwilini usababisha moyo kusukuma damu kwa nguvu Ili kusafirisha vichocheo hivyo kwenye mwili hali inayosababisha moyo kupanuka.

 

6 kuwepo kwa madini mengi ya chumu.

Madini ya chuma yakikusanyika kwenye moyo usababisha moyo kukosa nafasi ya kutosha ya kuweza kusukuma damu ipasavyo kwa hiyo moyo utafuta nafasi ya kusukuma damu kwa nguvu kupitia kwenye mlundikano wa madini ya chuma na kwa sababu ya pressure kubwa ya moyo kusukuma damu hatimaye moyo kutanuka.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2376

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

Fahamu Ugonjwa wa hepatitis C

Hepatitis C ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vinavyoshambulia ini na kusababisha kuvimba. Watu wengi walioambukizwa na virusi vya Hepatitis C (HCV) hawana dalili. Kwa kweli, watu wengi hawajui kuwa wana maambukizi ya Hepatitis C hadi uharibifu wa ini

Soma Zaidi...
ninaisi kma kunakitu kwenye koo alafu kuna ali ya weupe kwenye ulimi na Mashavu kwa ndan

Weupe kwenye ulimi unaweza kuwa ni hali ya kawaida. Weupe huu ukichanganyika na utandu huwenda ikaashiria uwepo wa hali fulani za kiafya.

Soma Zaidi...
Dalili za malaria

Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu kwa kitaalamu anaitwa Anopheles.na anasambazwa na mbu jike pale anapotafuta chakula hasa wakati akiwa na mimba. Mbu hawa hupenda kuishi kwenye mnyasi, madibwi haswa kwenye maji yaliyo simama.

Soma Zaidi...
fangasi, aina zao, dalili zao na matibabu yao

Fangasi na Aina zao Fangasi wa kwenye kucha Fangasi wa Mapunye Fangasi aina ya candida Fangasi wa Mdomoni na kooni Fangasi wa kwenye uke Fangasi wanaoshambulia mfumo wa damu na ogran kama moyo, figo n.

Soma Zaidi...
Yafahamu magonjwa ya kurithi na dalili zake pia na jinsi ya kujikinga nayo

Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya kurithi ambayo hubebwa na vinasaba vya urithi kutoka kizazi kimoja kwenda kingine.magonjwa haya hata hivyo ,si kila kasoro huwa ni ugonjwa kwa mtu mfano ,ualbino na kitoweza kutofautisha rangi kama vile nyekundu na kija

Soma Zaidi...
Sababu na Chanzo cha vidonda vya tumbo

Zijuwe sababu za kutokea kwa vidonda vya tumbo. Sababu kuu za vidonda vya tumbo hizi hapa

Soma Zaidi...