Zoezi la 3
Kipengele hichi kina maswali mbalimbali kuhusiana na dini na mitazamo mbalimbali.
Zoezi la 3.
- Nini maana ya neno ‘Dini’ kwa mtazamo wa,
-
- Kikafiri.
- Kiislamu.
-
- (a) Bainisha dini kubwa hapa Ulimwenguni.
(b) Taja makundi ya dini za wanaadamu.
3.“Je! Wanataka dini isiyokuwa ya Mwenyezi Mungu na hali kila kilichomo mbinguni na ardhini kimejisalimisha kwake kipende kisipende………” (3:83).
Kwa kwa kuzingatia aya hii toa mafunzo mawili (2) yanayohusiana na Dini.
4.(a) Toa maana mbili za neno “Islam”
(b) Nani muislamu?
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
๐1 Madrasa kiganjani ๐2 Kitau cha Fiqh ๐3 Kitabu cha Afya ๐4 kitabu cha Simulizi ๐5 web hosting ๐6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
quran na sayansi
QURANI KATIKA ZAMA ZA SAYANSI NA TEKNOLOJIAAsalaalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh.
Soma Zaidi...Nani Muadilifu na zipi sifa za mtu muadilifu kwenye uislamu
Uadilifu ni usimamiziย wa ukweli na kutoaย hakiย kwa kila anayestahikiย kulingana na ukweli.
Soma Zaidi...Umbwaji wa mwanadamu kutoka Nutfa (tone la mbegu za uzazi), alaqah (tone la damu, mudgha (pande la nyama) na kuwa mtu kamili
ุนููู ุฃูุจูู ุนูุจูุฏู ุงูุฑููุญูู ููู ุนูุจูุฏู ุงูููููู ุจููู ู ูุณูุนููุฏู ุฑูุถููู ุงูููู ุนููููู ููุงูู: ุญูุฏููุซูููุง ุฑูุณูููู ุงูููููู ุตูู ุงููู ุนููู ู ุณูู ...
Soma Zaidi...Kwanini Ni muhimu kusimamisha uislamu katika jamii
Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...