picha

Zoezi la 3

Kipengele hichi kina maswali mbalimbali kuhusiana na dini na mitazamo mbalimbali.

Zoezi la 3.

  1. Nini maana ya neno ‘Dini’ kwa mtazamo wa,
      1. Kikafiri.
      2. Kiislamu.
  2. (a)  Bainisha dini kubwa hapa Ulimwenguni.

(b)  Taja makundi ya dini za wanaadamu.

 

3.“Je! Wanataka dini isiyokuwa ya Mwenyezi Mungu na hali kila kilichomo mbinguni na ardhini kimejisalimisha kwake kipende kisipende………” (3:83).

Kwa kwa kuzingatia aya hii toa mafunzo mawili (2) yanayohusiana na Dini.

 

4.(a)  Toa maana mbili za neno “Islam”

(b)  Nani muislamu?

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Jifunze Main: Post File: Download PDF Views 2354

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 ai web app     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

Zoezi la 5

Maswali mbalimbali kuhusu fiqih

Soma Zaidi...
Neno la awali

Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.

Soma Zaidi...