picha
FAHAMU DAWA ZA KUTIBU MAFUA

Post hii inahusu dawa za kutibu mafua ambazo ni cough seppessants na nasal congestion ni dawa ambazo zimependekezwa kwa ajili...

picha
FAHAMU DAWA YA KUTULIZA MISHUTUKO.

Post hii inahusu zaidi dawa ya phenytoin,ni dawa inayotuliza mishutuko mbalimbali inayoweza kutokea kwenye mwili na kutokana na mishutuko hiyo...

picha
FAHAMU DAWA YA DIAZEPAM KATIKA KUTULIZA KIFAFA

Post hii inahusu zaidi dawa ya diazepam katika kutuliza kifafa, ni dawa ambayo matumizi yake yanaweza kuingilia pote kwenye kutuliza...

picha
FAHAMU DAWA ZA KUTULIZA KIFAFA INAYOITWA PHENOBARBITAL

Post hii inahusu dawa za kutuliza kifafa, zipo dawa mbalimbali za kutuliza kifafa Leo tutaona dawa mojawapo inayoitwa phenobarbital katika...

picha
FAHAMU DAWA YA HALOPERIDOL KATIKA MATIBABU YA AKILI

Post hii inahusu dawa ya haloperidol katika matibabu ya magonjwa ya akili, ni mojawapo ya dawa ambayo utumiwa na wagonjwa...

picha
FAHAMU DAWA ZA KUTULIZA MAGONJWA YA AKILI INAYOITWA CHLORPROMAZINE

Post hii inahusu zaidi dawa zinazosaidis katika kutuliza magonjwa ya akili, dawa hii kwa kitaamu huiitwa chlorpromazine ni dawa ambayo...

picha
WAFUNDISHENI KUSWALI WATOTO WENU

Mtume amemfundisha kuwa watoto wafundishwe kuswali wakiwa na miaka saba na waadhibiwe wakiacha wakiwa na miaka 10

picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA MUCOLYTIC DAWA YA KUTIBU KIKOHOZI

Post hii inahusu zaidi dawa ya mucolytic katika kutibu kikohozi kwa watu wazima na watoto.

picha
FAHAMU DAWA YA KUTIBU KIKOHOZI INAYOITWA EXPECTORANT

Post hii inahusu zaidi dawa aina ya expectorant katika matibabu ya kikohozi,ni dawa ambayo usaidia au uzuia kikohozi kuendelea kutokea.

picha
IFAHAMU DAWA YA EPINEPHRINE KWA KUTULIZA ALEJI

Post hii inahusu zaidi dawa ya epinephrine kwa kutuliza aleji ni dawa ambayo imependekezwa kutuliza aleji kama dawa ya hydrocortisone,...

picha
FAHAMU DAWA YA PREDNISONE KATIKA KUPAMBANA NA ALEJI

Post hii inahusu zaidi dawa ya Prednisone ambayo usaidia katika kupambana na aleji.

picha
FAHAMU DAWA ZA KUTULIZA ALEJI AU MZIO

Post hii inahusu zaidi dawa hydrocortisone kwa kutuliza aleji au mzio, kwa kawaida Kuna mda mtu anapotumia dawa Fulani anakuwa...

picha
FAHAMU DAWA YA AMINOPHYLLINE KUTIBI MAAMBUKIZI KWENYE MFUMO WA UPUMUAJI

Post hii inahusu zaidi dawa ya aminophylline katika kutuliza maambukizi kwenye mfumo wa upumuaji.

picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA THEOPHYLLINE KATIKA KUTIBI MFUMO WA UPUMUAJI

Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji.

picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA KAOLINE

Post hii inahusu dawa ya kaoline katika kutibu au kuzuia kuharisha ni dawa ambayo imependekezwa kutumiwa hasa kwa wale walioshindwa...

picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA LOPERAMIDE DAWA YA KUZUIA KUHARUSHA

Post hii inahusu zaidi dawa ya loperamide ni dawa ambayo inazuia kuharisha ni dawa inayofanya kazi kuanzia kwenye utumbo na...

picha
DAWA ZA ANESTHESIA KATIKA KUTULIZA MAUMIVU.

Unapotaka kufanyiwa baadhi ya matibabu unatakiwa kupewa ganzi ama nusu kaput ili kulifanyia usihisi maumivu. Dawa hizi zinajulikana na Anesthesia.

picha
NDEGE KWENYE ULIMBO

Wahenga wanaelewa, enzi hizo unaambiwa ndege akinasa basi unakumbuka macho juu asije akayoke. Hukuchinib. hujali kama kuna mjimba ama...

picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA FLUOROQUINOLONES/QUINOLONES

Post hii inahusu dawa ya kupambana na bakteria, hili kundi la fluoroquinolones lina dawa kuu mbili ambazo ni ciprofloxin na...

picha
IJUE DAWA YA CEPHALOSPORIN KATIKA KUPAMBANA NA BAKTERIA

Post hii inahusu zaidi dawa ya cephalosporin katika kupambana na bakteria, ni mojawapo ya kundi kati ya makundi ya kupambana...

picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA STREPTOMYCIN

Post hii inahusu zaidi dawa ya streptomycin ni dawa mojawapo ya kupambana na bakteria hasa wanaoshambulia mfumo wa hewa.

picha
FAHAMU DAWA YA TETRACYCLINE KATIKA KUPAMBANA NA BAKTERIA

Post hii inahusu zaidi dawa ya tetracycline katika kupambana na bakteria,ni mojawapo ya antibiotics au anti bacteria ambayo upambana na...

picha
JE MWANAMKE ANAWEZA KUJIJUWA NI MJAMZITO BAADA YA MUDA GANI.

Mdau anauliza ni muda gani mwanamke anaweza kujijuwa kuwa amepata ujauzito.

picha
FAHAMU KUHUSU DAWA YA MARCOLIDES DAWA YA KUUWA BAKTERIA, KWENYE MFUMO WA HEWA

Post hii inahusu zaidi dawa ya macrolide ni mojawapo ya dawa ya kutibu au kupambana na bakteria na upambana na...

Page 135 of 229

Kuhusu Bongoclass

image

Bongoclass ni jukwaa la Kitanzania lenye lengo la kushirikisha maarifa na akili ili kukuza uwezo wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Kupitia tovuti yetu, programu ya simu, na mitandao ya kijamii, Bongoclass hutoa maudhui ya elimu bure kwa Kiswahili katika maeneo mbalimbali kama afya, burudani, na masomo ya shule. Jukwaa hili linajikita katika kutoa fursa za kujifunza, kushirikiana, na kukuza uchumi kwa kuzingatia muktadha wa kitamaduni na lugha ya Kiswahili.