Jifunze namna ya kuswali, zijuwe aina za swala na ujifunze masharti ya swala, kwa nini swala hazijibiwi? nini kifanyike?
Swala ikiswaliwa ipasavyo humuepusha mwenye kuswali na mambo maovu, pia humueka karibu na Allah pamoja na kupata kheri nyingi zaidi.. Wengi katika wanaoswali leo hawatimizi lengo hili, swala hazitimii ama kuswaliwa vile ipasavyo. Hapa tumekuletea kitabu kinachotowa mafunzo ya swala bila ya mal;ipo.
Nyuma Endelea
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Posti hii inakwenda kukufundisha kuhusu sunah za udhu
6.
Umuhimu wa KusimamishaSwala Kwa mujibu wa Hadith ya Ibn Umar (r.