KUWAHI KUMALIZA TENDO LA NDOA MAPEMA: kumwaga mbegu mapema

Hii ni hali inayowapata sana wanaume huwa wanamaliza hamu ya tendo la ndoa mapema kabla ya mwenza kuridhika.

KUWAHI KUMALIZA TENDO LA NDOA MAPEMA: kumwaga mbegu mapema

KUWAHI KUMALIZA TENDO LA NDOA MAPEMA

Hii ni hali inayowapata sana wanaume huwa wanamaliza hamu ya tendo la ndoa mapema kabla ya mwenza kuridhika. Hii hutokea pale mwanaume anapomwaga mbegu mapema sekunde chache ama muda mchache baada ya kuingiza uume ukeni. Wengi wenye tatizo hili humwaga ndani ya dakika moja na tatizo huwa baya zaidi kwa wengine ambao humwaga ndani ya sekunde 30 baada ya kuingi za uume. Hali hii kitaalamu hujulikana kama premature ejaculation.

 

Hali hii huweza kuambatana na mambo mengi hususani matatizo ya kisaikolojia, maradhi ama maumbile. Wakati mwingine hali hii humpata mwanaume yeyote hata kama sio muathirika wa tatizo hili. Ila hii huwa ni tatizo kama hali hii itakuwa inajirudia rudia muda mwingi.

 

Sababu za tatizo hili:

  1. matatizo kwenye mfumo wa homoni
  2. Maradhi na kuwepo uvimbe kwenye korodani
  3. Kurithi tatizo hili kwenye familia
  4. Kuwa na msongo wa mawazo
  5. Kuwa na tatizo la uume kunywea mapema
  6. Uwoga na msongo wa mawazo
  7. Kutokupendezewa na umbo la mwenza
  8. Mahusiano yaliyo mabovu
  9. Kuogopa kumaliza tendo mapema


                   

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2018-08-01     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 210

Post zifazofanana:-

AINA ZA VYAKULA NA UPUNGFU WA VIRUTUBISHO
zijuwe aina za vyakula Soma Zaidi...

Utajiri wa Baba na kifo chake
UTAJIRI WA BABA NA KIFO CHAKE. Soma Zaidi...

VOCABULARY TEXT 05
learn English Vocabulary Soma Zaidi...


Soma Zaidi...

SIRI
Baada ya kutulia vizuri unaanza kukumbuka umefikaje hapa kwenye misitu. Soma Zaidi...

UHAKIKI WA HADITHI
Uhakiki wa Hadith za Mtume (s. Soma Zaidi...

Maudhui ya Qur-an na Mvuto wa Ujumbe Wake
Soma Zaidi...

UTUNZAJI WA BETRY YA KIFAA CHAKO
Namna ya kutunza betri yako iweze kudumu kwa muda mrefu Soma Zaidi...

Kitabu Cha Hadithi ya mvuvi
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet. Soma Zaidi...

kwa nini riba ni haramu?
Soma Zaidi...

Najis nina fangasi nawashwa sehem za sili pia korodan zinawaka kama moto pia nahsi kupungukiwa nguvu
Soma Zaidi...

Imam Ahmad bin Muhammad bin Hambal
Soma Zaidi...