MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA

MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA

Maumivu wakati wa tendo la ndoa kitaalamu huitwa dyspareunia.

MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA

MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA

Maumivu wakati wa tendo la ndoa kitaalamu huitwa dyspareunia. Maumivu haya hutokea kwa namna mbalimbali. Mara nyingi maumivu haya huwapata wanawake. Mara chache wanaume wanapokuwa na maradhi flani kama fangasi kwenye uume ama maradhi mengine ya ngono ndipo hupata maumivu haya.

 

Maumivu haya hutokea pindi:

  1. Pindi uume unapoingia ukeni kwa mara ya kwanza
  2. Kila wakati uume unapoingia ukeni
  3. Maumivu wakati wa kupushi na kutoka kwa uume
  4. Kuhisi kuungua ukeni
  5. Maumivu baada ya kufanya tendo la ndoa

 

Sababu za maumivu haya

  1. Kutokuwepo kwa uteute wa kutosha wa kulainisha uke
  2. Majeraha na makovu ukeni kama waliotahiriwa
  3. Kuvimba kwa uke ama kuwa na mashambulizi ya bakteria
  4. Matatizo ya saikolojia
  5. Kukaza kwa misuli ya uke
  6. Maumbile ya uuke kama kuwepo kwa utando unaozuia njia ya uke kuwa wazi
  7. Kufanyiwa upasuaji kama hysterectomy ama matibabu ya saratani
  8. Kuwa na msongo wa mawazo
  9. Staili iliyotumika wakati wa kufanya tendo


  10.                    

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu Rajabu
Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views: 5208

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 web hosting     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

Sabau za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Soma Zaidi...
Kifafa Cha mimba husababishwa na nini

Katika makala hii utakwenda kujufunza kuhusu sababu za kifafa Cha mimba.

Soma Zaidi...
Namna ya kuongeza na mjamzito ili kupata taarifa zake na kutoa msaada

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kugundua tatizo lake na kutoa msaada pale penye uhitaji.

Soma Zaidi...
Siku za kupata mimba

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba

Soma Zaidi...
SABABU ZA KUKOSA HAMU YA TENDO LANDOA

Hii ni hali inayompata mtu kukosa hamu kabisa ya kushiriki kitendo chochote kinachohusiana na kufanya tendo landoa au bunyeto.

Soma Zaidi...