picha

MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA

Maumivu wakati wa tendo la ndoa kitaalamu huitwa dyspareunia.

MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA

MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA

Maumivu wakati wa tendo la ndoa kitaalamu huitwa dyspareunia. Maumivu haya hutokea kwa namna mbalimbali. Mara nyingi maumivu haya huwapata wanawake. Mara chache wanaume wanapokuwa na maradhi flani kama fangasi kwenye uume ama maradhi mengine ya ngono ndipo hupata maumivu haya.

 

Maumivu haya hutokea pindi:

  1. Pindi uume unapoingia ukeni kwa mara ya kwanza
  2. Kila wakati uume unapoingia ukeni
  3. Maumivu wakati wa kupushi na kutoka kwa uume
  4. Kuhisi kuungua ukeni
  5. Maumivu baada ya kufanya tendo la ndoa

 

Sababu za maumivu haya

  1. Kutokuwepo kwa uteute wa kutosha wa kulainisha uke
  2. Majeraha na makovu ukeni kama waliotahiriwa
  3. Kuvimba kwa uke ama kuwa na mashambulizi ya bakteria
  4. Matatizo ya saikolojia
  5. Kukaza kwa misuli ya uke
  6. Maumbile ya uuke kama kuwepo kwa utando unaozuia njia ya uke kuwa wazi
  7. Kufanyiwa upasuaji kama hysterectomy ama matibabu ya saratani
  8. Kuwa na msongo wa mawazo
  9. Staili iliyotumika wakati wa kufanya tendo


  10.                    

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 4125

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 web hosting     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

siku za kupata mimba

Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba na dalili za siku hizo.

Soma Zaidi...
Faida za Uzazi wa mpango

Posti hii inazungumzia Faida za Uzazi wa mpango kwa watoto, mama, wanandoa, na jamii au JUMUIYA.

Soma Zaidi...
Madhara ya vidonge vya P2

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia mara kwa mara vidonge vya P2,

Soma Zaidi...
Faida za kula yai lililopikwa kwa mama mjamzito

Yai lililopikwa ni chanzo kizuri cha protini, vitamini, na madini muhimu kwa mama mjamzito. Husaidia katika ukuaji wa mtoto tumboni, afya ya mama, na kuimarisha kinga ya mwili.

Soma Zaidi...
Njia za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha.

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha kwa sababu kuna familia nyingi zinakosa watoto sio kwa sababu ni tasa ila kuna njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Sababu za kutokea kwa saratani ya matiti

Saratani ya matiti ji moja kati ya saratani zinazosumbuwa wqnawake wengi. Katika somo hili utajifunza chanzo cha kutokea saratani ya matiti

Soma Zaidi...