picha

Sababu za kuharibika kwa ujauzito na dalili zake

Dalili za kuharibika kwa ujauzito na dalili za kuharibika kwa ujauzo

Sababu za kuharibika kwa ujauzito na dalili zake

KUHARIBIKA KWA UJAUZITO



Kitendo cha kuharibika kwa ujauzito kitaalamu hutambulika kama spontaneous abortion. Ni kutoka kwa ujauzito ndani ya wiki 20 za mwanzo. Tafiti zinaonesha kuwa yapata asilimilia 50 ya mimba hutoka yaani nusu ya mimba zinazotugwa hutoka. Wengiwao hupatwa tu na ha;I ya kukosa siku zao bila ya kujuwa kama walikuwa na ujauzito na wengine wanajigundua. Pia tafiti zinaonyesha kuwa yapata asilimia 15 mpaka 25 ya mimba ambazo zimejulikana hutoka. Hata hivyo mimba nyingine hutoka siki chache tu baada ya kuingia. Sasa ni kwa nini mimba hutoka? Makala hii inakwenda kukupa elimu juu ya kutoka kwa mimba, dalili zake na sababu zake.


Dalili za kutoka kwa ujauzito
1.Kutokwa na damu ambayo inawza kuongezeka kadiri muda unavyoenda.
2.Maumivu ya tumbo
3.Kupata uchovu
4.Maumivu makali ya mgongo
5.Kupatwa na homa iliyochanganyikana na moja ya dalili zilizotajwa hapo juu.


6.Sababu za kutoka ujauzitoMaumivu ya chango kupitiliza

Mimba nyingi hutoka kwa sababu kuna matatizo kwenye genetics za mtoto na si kosa la mama ama la baba. Hii ni kutokana na maumbile ya mtoto kuwa na shida katika ufanyikaji. Sababu nyingine za kutokwa na ujauzito ni:-
1.Maambukizi, watu waishio na baadhi ya maambukizi kama PID ama HIV wanaweza kuwa hatarini.
2.Kuwa na maradhi kama kisukari ama maradhi katika tezi ya thyroid
3.Matatizo katika homoni
4.Mfumo wa kinga kuondoa mimba
5.Shughuli na maumbile ya mama
6.Mfuko wa mimba kuwa na matatizo


Pia mwanamke anaweza kuwa na nafasi kubwa ya kutokwa na ujauzito kama:-
1-Atakuwa na umri wa zaidi ya miaka 35
2-Ana maradhi kama kisukari au maradhi ya tezi ya thyroid
3-Kama ana kawaida ya kutokwa na ujauzito zaidi ya mara tatu.



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2018-08-01 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2173

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

ZIJUWE DALILI KUU 5 ZA MIMBA CHANGA

Dalili za mimba, na m,imba changa

Soma Zaidi...
Kazi ya homoni ya testosterone

Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya testosterone, hii homoni kwa kiwango kikubwa ukutwa kwa wanaume ndiyo homoni ambayo umfanya mwanaume aonekane jinsi alivyokuwa na sifa zake zote.

Soma Zaidi...
Mimba iliyotunga nje

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mimba iliyotunga nje na madhara yake kiafya

Soma Zaidi...
Ni ipi hasa siku ambayo nitafute ujauzito

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kutafuta ujauzito

Soma Zaidi...
Imani potofu kuhusu uzazi wa mpango

Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu uzazi wa mpango, ni imani walizonazo Watu kuhusu matumizi ya uzazi wa mpango.

Soma Zaidi...
Mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo

Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo chini ya umri wa miaka mitano ili kuweza kuweka afya yake kwenye njia safi.

Soma Zaidi...
Fahamu siku za kubeba mimba na zisizo za kubeba mimba.

Posti hii inahusu zaidi siku za kubeba mimba na zisizo za kubeba mimba , tunapaswa kujua hivi Ili kuweza kupanga uzazi na kuepuka njia ambazo ni hatarishi kwa afya zetu.

Soma Zaidi...
mim ninaujauzito wa mwezi mmoja lakini naona kama hali fulani ya damu inanitoka sehemu ya Siri inafanana na damu ya wakati wa period

Kutokuwa na damu wakati wa ujauzito ni hali uliyo ya kawida lakini inapaswa kujuwa sifa za damu hiyo nabje unatoka kwa namna gani. Kama unasumbuliwa na tatizo hili makala hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
Ukifanya mapenzi siku hatari na ukameza P2 unaweza pata mimba?

Je umeshawahi kujiukiza kuwa, dawa ya P2 ni kweli inaweza kuzuia mimba, ukifanya mapenzi siku hatari?

Soma Zaidi...
Dalili za kujifunguwa, na dalili za uchungu wa kujifunguwa

Nitajuwaje kama mjamzito amekaribia kujifunguwa, ni dalili gani anaonyesha, dalili za uchungu wa kujifunguwa

Soma Zaidi...