image

Dalili za minyoo ya tumbo

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za minyoo ya tumbo ambapo minyoo hawa husababishwa na mtu kula vyakula vichafu ambavyo havijaiva vizuri au maji machafu pia au bacteria.

   Zifuatazo Ni dalili na ishara za minyoo ya tumbo

1.kula sana; baadhi ya watu wakiwa na minyoo huwa wanakula Sana kuliko hapo awali hivyo watu wwngine huwa na hamu ya kula.

 

2.kukosa hamu ya kula kabisa; baadhi ya watu wakipata minyoo ya tumbo hukosa hamu ya kula kabisa.

 

3.kutoa kinyesi chenye Damu pamoja na makamasi; wenye minyoo ya tumbo huona dalili za damu na makasi kwenye kinyesi chake .

 

4.tumbo kuchomachoma; hii pia Ni dalili ya minyoo ya tumbo ambapo mtu mwenye minyoo atasikia tumbo linachomachoma  na hupelekea maumivu makali sana.

 

5.kichefuchefu;  minyoo ya tumbo huleta kichefuchefu

 

6.kutapika; pia na hii Ni dalili Ila mda mwingine unaweza usitapike ukapata kichefuchefu.

 

Minyoo husababishwa na vitu vingi mfano kula nyama ambazo hazijaiva vizuri, maziwa ambayo hayajachemshwa vizuri,maji machafu ambayo hayajachemshwa, mboga mboga na vitu vingine vingi hupelekea minyoo .

     Mwisho; minyoo Ni za Hatari Kama zisipopatiwa matibabu pia Kuna dawa za minyoo ambazo Ni vyema Kila baada ya miezi mitatu kutumia.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1840


Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Kitabu cha Afya     ๐Ÿ‘‰2 Kitau cha Fiqh     ๐Ÿ‘‰3 Simulizi za Hadithi Audio     ๐Ÿ‘‰4 Madrasa kiganjani     ๐Ÿ‘‰5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     ๐Ÿ‘‰6 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Ni Nini husababisha kinjwaa kutoa harufu mbaya?
Posti hii inaelezea kuhusiana na sababu zinazosababisha kinjwa au mdomo kutoa harufu mbaya? Soma Zaidi...

fangasi wa kwenye Mdomo na koo
Soma Zaidi...

Je na kwa upande wa mwanaume kuumwa upande wa kushoto wa tumbo kuna shida gani?
Maumivu ya tumbo upande wa kushoti, kwa mwanamke huwenda ikawa ni ujauzito ama shida nyingine za kiafya kama tumbo kujaa gesi, kukosa choo na kadhalika. Sasa vipi kwa wanaume ni ipi hasa sababuรขยโ€ Soma Zaidi...

Njia ambazo VVU huambukizwa
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo VVU huambukizwa Soma Zaidi...

Vyakula hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo Soma Zaidi...

KAMA UNASUMBULIWA NA FANGASI
Post hii fupi inakwenda kukujuza juu ya tatizo la fangasi na nini ufanye. Soma Zaidi...

MTAMBUE MDUDU MBU ILI UWEZE KUJIKINGA NA UGONJWA WA MALARIA (yajuwe maajabu makubwa ya mdudu mbu)
Mbu ni katika wadudu wanaopatikana maeneo yenye joto hususan maeneo ynye hali ya hewa ya kitropik. Soma Zaidi...

Maumivu, kizunguzungu, kichefuchefu na kutoka na damu ni dalili zamimba?
Je unapata dalili zisizoeleweka ni ni za mimba ama laa. Hapa nitakujuza hali baadhi ya wanawake zinazowatokea. Soma Zaidi...

Maambukizi kwenye mifupa
Posti hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye mifupa ambayo kwa kitaalamu huitwa Osteomyelitis, ugonjwa huu uaribu zaidi kwenye mifupa na sehemu nyingine ambazo zinakaribia kwenye mifupa Soma Zaidi...

Fahamu Ugonjwa wa kifaduro kwa watoto chini ya miaka mitano
post hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kifaduro ambao hujulikana Kama Pertussis pia inajulikana kama kifaduro ni maambukizi ya bakteria ambayo huingia kwenye pua yako na koo. Soma Zaidi...

VYANZO VYA MINYOO: nyama isiyowiva, maji machafu, kinyesi, uchafu wa mazingira, udongo
VYNZO VYA MINYOO Kama tulivyoona hapo mwanzo kuusu aina za minyoo, pia tumeona vyanzo vya minyoo hao kulingana na aina zao. Soma Zaidi...

Dalili za kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu
Post hii inahusu Zaidi dalili za kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu, ni dalili ambazo zinaweza kujitokeza Kwa mgonjwa,Kwa hiyo baada ya kuona dalili hizi mgonjwa anapaswa kuwahi hospital mara moja Kwa ajili ya matibabu. Soma Zaidi...